The Professor
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 2,223
- 4,587
Nipe bei yako ni how much ?
Na hilo pia[emoji23][emoji23],humuoni jackMmmmh
Mie anipe tu mbinu ya kufanikiwa!!! Hayo mengine hayatekelezeki
[emoji1] [emoji1]
Nataka unipeleke ibiza tukale raha
Hahaha bora uwaambieMabilionea wa manyokanyoka wanaovaa Neala name kupishanisha vifungo vya shati hatuwataki hapa
Hivi ile BMW ushaipokea?Mkuje huku jamani... Wale mnaomiliki meli
nipo hapa bilionea, nimekuja, kuna mtu kani pm kaniambia ninaitwa huku, unasemaje?Yes wakaribie tena hao ndio tunawataka haswaa
We ni kapuku?maisha yamekuwa magumu sasa unatafuta matajiri humu
Chawa kama nyinyi ndio mnafanya mabosi kujifungia ndani utawala huu wa magu
NakujaaZipo Mingi Sana, tuyajenge tu mama tena ukiwa na mimi nichune tu utakavyo [emoji56]
Nipo hapa nakuja nikusaidie matumiziMi ni mtoto wa mkulima ila last sunday nimeshinda Tatu mzuka milioni 75, yaani hapa zinaniwasha natafuta mtu anayejua kuzivuja kabla washauri wenye mawazo chanya hawajanichanganya
Kwa hiyo watusaidiajeKwa TZ ya v-wonder billionaire mmoja tuuu~Mohamedy Dewji.... Sasa nadhani unamlenga yy asiye.
Uache ubinafsi cc wengne tutakupataje?
I owe Negative $999millions [emoji23]
Karibuunipo hapa bilionea, nimekuja, kuna mtu kani pm kaniambia ninaitwa huku, unasemaje?
[emoji39] [emoji39] ukuje nakueubiri, Mama.Nakujaa
nishakaribia, I'm waiting for your PMKaribuu
Msaaada ni PM,otherwise let's keep chatting within yo threadKwa hiyo watusaidiaje
Vitu vipy vipy hakuna makeleleMmataka kutupatia nini kwani cha ajabu au kipya hapa j.f?
We mchepuko wangu ni changamoto... Umeituma kwangu kweeli au kuna ka mchepuko kengine tena!!!!Hivi ile BMW ushaipokea?