Hebu Weka walau kimoja tuuVigezo tutaweka tutajua tu huyu anazo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana mkuu nilitamani kuwaona tuu sio zaidi, Asante kwa kujanipo hapa bibie ebu njoo inbox tukayajenge
Vigezo cha kwanza aweze kukukatia tiketi ya ndege kumfata aliko na advance juu akupe,awe na uwezo wa kununua iphone x ikitoka tu akukabidhi tuHebu Weka walau kimoja tuu
Anzia hapa banaukifikia kwenye mamilionea uniitee
Soma uzi
Sawa karibu bilioneausihofu nitajitokeza baadaye kidogo saizi niko London kuangalia projects zinaendeleaje, nikitoka huku napitia Canada kuona my privete jet Gulfstream G650 inaendeaje maana ilipata hitilafu kidogo, then ndio nije Africa kumuona mr.Dangote nasikia ana matatizo kidogo ya kiuwekezaji Tz, pamoja na kumpatia kiasi kidogo kama Tsh. 2billions brother Manji akalipe deni la kodi TRA ila waache kumsumbua.
Baada ya hapo nitakushtua tuonane
[emoji484][emoji483][emoji484][emoji483][emoji484]
MmmmhVigezo cha kwanza aweze kukukatia tiketi ya ndege kumfata aliko na advance juu akupe,awe na uwezo wa kununua iphone x ikitoka tu akukabidhi tu
Ukimpa tu kimoja milioni 2 isiwe shida kukupa,,
kuka range iwe kama kakupa vitz
Zipo Mingi Sana, tuyajenge tu mama tena ukiwa na mimi nichune tu utakavyo [emoji56]Huna za mawazo tuyajenge?
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]Hebu niacheni kwanza najibu pm za mabilionea tu makapuku msije pm
Kwa hiyo humu maskini tu tulie tuBilionea uo mda wa kuperuzi jf anautoa waap
Eheheheh uwiii nakojoaaaaMabilionea wa kwenye keyboard teh teh
😀😀😀Zipo Mingi Sana, tuyajenge tu mama tena ukiwa na mimi nichune tu utakavyo [emoji56]
Nataka unipeleke ibiza tukale rahaNisome mara ngapi sasa mkuu,sisi mabilionea hatunaga muda wa kusomasoma Sana, hapa navyokujibu tu kwa dakika napoteza milioni nyingi sana, hebu rahisisha mjadala basi