Uzi wa Mabilionea wa JF, jitokezeni!

Uzi wa Mabilionea wa JF, jitokezeni!

usihofu nitajitokeza baadaye kidogo saizi niko London kuangalia projects zinaendeleaje, nikitoka huku napitia Canada kuona my privete jet Gulfstream G650 inaendeaje maana ilipata hitilafu kidogo, then ndio nije Africa kumuona mr.Dangote nasikia ana matatizo kidogo ya kiuwekezaji Tz, pamoja na kumpatia kiasi kidogo kama Tsh. 2billions brother Manji akalipe deni la kodi TRA ila waache kumsumbua.
Baada ya hapo nitakushtua tuonane
[emoji484][emoji483][emoji484][emoji483][emoji484]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom