naija-lojja
Senior Member
- May 13, 2017
- 163
- 64
Bao moja shs ngapi?? Naona mnapata tabi baada ya kufukuzwa bugurud na kimbokaaa
MakapukuuSisi wa level za laki tunaitwaje? na sisi wa level za elfu kumi je?
Sasa upewe bure ya dada zakoBao moja shs ngapi?? Naona mnapata tabi baada ya kufukuzwa bugurud na kimbokaaa
Mmekidhi vigezo au mnaulizia mabilionea tuu?mabilionea tunataka mabikra!Vitu vipy vipy hakuna makelele
Dah kwahiyo sisi watumishi wa umma wengi ni makapuku?Makapukuu
Duh! bro umefunga uzi.If Monkeys had money, some of the ladies would have been in the forest by now...[emoji2] [emoji2]
Duh! bro umefunga uzi.If Monkeys had money, some of the ladies would have been in the forest by now...[emoji2] [emoji2]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]If Monkeys had money, some of the ladies would have been in the forest by now...[emoji2] [emoji2]
[emoji12] [emoji12]Duh! bro umefunga uzi.
mnahitaji mabilioni ya nini akati level za kuhonga ndio zile zile sijui kodi ya nyumba, gari la milioni 13, vi laki vya hapa na pale, mnapoteza bahati mjueAnzia hapa bana
bilionea aje kutafuta mwanamke humu tena kwa kubahatisha kiasi hiki maana humu unaweza panga apointment ukajuta kupoteza nauli yako ya daladala kwa aina ya mwanamke utakayekutana naye, polygon wa hatari, mabilionea wanakutana na vitu real bhana, nyie komaeni na sisi tu wachovu wenzenu.Hivi mabilionea wa jf mpo wapi hebu jitokezeni mnyakue totozi kali,,tumechoka maskini tunataka tuonje ladha ya mabilionea ipoje
Maana huwa tunaona tu humu kila mwanaime ana pesa,ana gari,msomi,ana kazi nzuri,ana biashara nzuri ana nyumba kali?
Jitokezeni hadharani tuwaheshimu sie hatujali hata pesa zimetokana na ujambazi ,ufisadi pesa tamu haijalish imetoka wapi
Huu uzi uwe special kwa mabilionea ambao hawana mawazo ya pesa ndogo ndogo,,makapuku muende makapuku forum kulee
Maisha ndio haya haya ,wadada wa jf wamechoka kupata makapuku wanataka pelekwa visiwa vya ibiza ,,
Wadada wa jf mje hapa mchague mabilionea mtaniuliza ni vigezo gani gani ili ujue huyu hana pesa za mawazo,,tupo hapa kupata raha maisha mafupi
Pia mtupe mrejesho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa ni zamu yetu
Mtakaojileta eti ooh mapenzi ya kweli sijui nin na nini mapenzi yakweli tushayafanya sana tu mpaka tumechoka,
Ni mim mwenyekiti Mama Sabrina
Katibu wangu ni miss chagga
Haya karibuni wenye jeuri zenu
Hivi mabilionea wa jf mpo wapi hebu jitokezeni mnyakue totozi kali,,tumechoka maskini tunataka tuonje ladha ya mabilionea ipoje
Maana huwa tunaona tu humu kila mwanaime ana pesa,ana gari,msomi,ana kazi nzuri,ana biashara nzuri ana nyumba kali?
Jitokezeni hadharani tuwaheshimu sie hatujali hata pesa zimetokana na ujambazi ,ufisadi pesa tamu haijalish imetoka wapi
Huu uzi uwe special kwa mabilionea ambao hawana mawazo ya pesa ndogo ndogo,,makapuku muende makapuku forum kulee
Maisha ndio haya haya ,wadada wa jf wamechoka kupata makapuku wanataka pelekwa visiwa vya ibiza ,,
Wadada wa jf mje hapa mchague mabilionea mtaniuliza ni vigezo gani gani ili ujue huyu hana pesa za mawazo,,tupo hapa kupata raha maisha mafupi
Pia mtupe mrejesho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa ni zamu yetu
Mtakaojileta eti ooh mapenzi ya kweli sijui nin na nini mapenzi yakweli tushayafanya sana tu mpaka tumechoka,
Ni mim mwenyekiti Mama Sabrina
Katibu wangu ni miss chagga
Haya karibuni wenye jeuri zenu
Ehhehehehe ndiodoh..!!
sisi akina kajamba nani hatuhusuki ktk huu uzi