Uzi Maalumu wa Vitabu vya maendeleo binafsi (Personal Development)

Tuache porojo, utamu wa pesa ni kuitumbua na baadae kujutia, halafu unapanga mkakati upya ukiipata tena unaitumbua and life goes on!

Tangazo la kitabu tumelipata.
 
1616474085971.png

Hapo Zamani,

Mtaalamu – Benjamin_Franklin, Alinukuliwa Akisema,

“Sote tumezaliwa wajinga, tunahitaji bidii kidogo ili kuwa na maarifa, au bidii kubwa sana ili kuendelea kubaki wapumbavu. Baadhi huchagua njia ya pili.”

Mara zote huyu mtaalamu alikuwa anasisitiza umuhimu wa kuwa na maarifa,

Kwa hiyo kama na wewe unataka kuongeza kipato chako zaidi ya unavyopata sasa huna budi kujifunza.

Kipato unachopata kwa sasa ni matokeo ya elimu na ujuzi ulionao.

Hivyo kama unataka kuongeza kipato chako zaidi, anza kwa kujifunza zaidi.

Jifunze kuhusu kazi unayofanya, jifunze kuhusu biashara, jifunze kuhusu ushawishi na mengine yatakayokuwezesha kutoa thamani kubwa zaidi kwa wengine.

Na inapokuja kuhusu fedha yenyewe sasa , unapaswa kujifunza misingi sahihi ya kuipata zaidi , kuitunza na hata kuizalisha zaidi.

Kuna matatizo mawili TU! yanakuzuia usipate fedha.

Tatizo la kwanza ni kukosa maarifa sahihi ya kifedha, hivyo kutokujua kwako hatua sahihi za kuchukua kunakugharimu .

Tatizo la pili ni kutokuchukua hatua sahihi katika kuzipata fedha, mfano kutokutoa THAMANI KUBWA, kutokuweka AKIBA, kutokuwekeza na kadhalika.

Kwa uzoefu wangu , tatizo kubwa zaidi ni la kwanza, kwa sababu kutokuwa na maarifa sahihi , kumewafanya wengi kuchukua hatua ambazo siyo sahihi.

Hebu fikiria hujui unaenda wapi, lakini unakwenda kwa kasi sana, je utafika wapi? Hivi ndivyo wengi walivyo kwenye fedha, hawana maarifa sahihi lakini wanachukua hatua , hamnazo zinawapoteza zaidi.

Maarifa ni uwekezaji usiochuja . Ukiwekeza kwenye maarifa unapata gawio kubwa na la uhakika mara zote.

Hakuna anayeweza kukuibia wala kukudhulumu uwekezaji uliofanya ndani yako.

Mfano ukisoma kitabu cha ELIMU YA MSINGI YA FEDHA, utaondoka na maarifa yatakayokuwezesha kuongeza kipato chako na hakuna awezaye kukuzuia ukishakuwa na maarifa haya. Maana utaondoka na msingi muhimu sana kuhusu fedha ambao ni KUTOA THAMANI.

Kwa kuanzia hapo ulipo sasa, utaweza kuongeza kipato chako kadiri utakavyo. Jaribu LEO uwekezaji huu na hakika hutabaki hapo ulipo sasa.

Kinachoshangaza na kustaajabisha ni hiki,

Watu wakipewa nafasi ya kuchagua kati ya fedha na maarifa ya kifedha, wanakimbilia fedha na kuachana na maarifa ya kifedha.

Kinachotokea ni wanazipoteza fedha hizo kwa kukosa maarifa sahihi ya kuzisimamia na kuzitumia.

Kama bado hujasoma kitabu cha ELIMU YA MSINGI YA FEDHA, basi hujayapata maarifa sahihi ya kifedha na hivyo upo kwenye hatari ya kupoteza kila fedha unayoipata.

Usiendelee kujichelewesha TENA.

Swali la msingi ni, JE Unachukua Hatua Gani Kuongeza Kipato Chako?

Ndani Ya kitabu cha ELIMU YA MSINGI YA FEDHA, kimezungumzia “ MBINU ZILIZOWASAIDIA MAMILIONI YA WATU KUONGEZA VIPATO VYAO”

Kwa kusoma kikamilifu, na kufanyia kazi yale yote utakayojifunza kupitia kitabu hiki, mategemeo yangu ni kwamba;

  • Utaelewa misingi muhimu ya fedha na kuweza kuiishi, kuanzia kifikra mpaka kimatendo.
  • Utaweza kuongeza kipato chako kupitia shughuli unayofanya sasa na hata kuanzisha chanzo kipya cha kipato.
  • Utaweza kupunguza matumizi yako na kudhibiti matumizi.
  • Utaanza kuweka akiba kama bado, na kuendelea kuboresha uwekaji wako wa akiba kama ulishaanza.
  • Utaanza Kuwa Na Uwekezaji.
  • Utaanzisha biashara au kuimarisha biashara ambayo tayari umeshaanza.
  • Utakuwa na bima kwa maeneo muhimu ya maisha yako.
  • Utawafundisha watoto wako misingi muhimu ya kifedha.
  • Utatumia fedha zako kuyafanya maisha ya wengine kuwa bora zaidi.
  • Utaanza safari ya kuelekea kwenye utajiri na uhuru wa kifedha , hutarudi tena kwenye umasikini na madeni.
Rafiki, Kitabu hiki ni tofauti kabisa na vitabu vingine. Siyo kitabu cha kusoma na ukafurahia kwamba umekisoma, bali ni kitabu kinachokutaka uchukue hatua ili maisha yako yawe bora zaidi.

Hivyo baada ya kusoma kitabu hiki, nashauri uchukue hatua hizi tatu muhimu;

Moja; Kuwa na chanzo zaidi ya kimoja cha mapato. Kama umeajiriwa anzisha biashara ya pembeni , hata kama ni ndogo kiasi gani. Kuwa na kitu cha ziada unafanya , ambacho hata kama mwanzoni hakikupi kipato , kinakutengenezea njia ya kuwa na kipato zaidi baadaye.

Mbili; Kuwa na uwekezaji ambao unafanya. Uwekezaji huo uwe unafanya kidogo na kurudia rudia.

Tatu; Endelea kujifunza kuhusu fedha, biashara na hata mafanikio kwa ujumla.

Kwa kuchukua hatua hizi tatu, utaongeza kipato chako maradufu na hutadharaulika tena.

Kitabu hiki huwa kinauzwa TSH 20,000, Ila LEO nitakusaidia kukipata kitabu hiki kwa uwekezaji wa TSH 14,999Tu! .

Na Ili Kupata Kitabu Chako Wasiliana na Namba 0752977170 na utaletewa au kutumiwa kitabu popote ulipo Tanzania na Afrika Mashariki.

MUHIMU;
Kama utanunua na kusoma kitabu hiki na ukaona hakina manufaa yoyote kwako, unaruhusiwa kukirudisha na ukarejeshewa fedha zako. Hivyo chukua hatua sasa, huna cha kupoteza lakini una mengi ya kupata.

NYONGEZA; Unaposoma kitabu hiki, kuwa na kijitabu ambacho unaandika yale unayojifunza.

Mwisho wa kila somo kutakuwa na maswali ya kujiuliza na kujijibu na hatua za kuchukua. Yote hayo yaandike kwenye kijitabu chako kwa rejea ya baadaye.

Jambo muhimu sana ambalo nitaendelea kukusisitiza kila mara ni kwamba hakuna kitu kitakachofanya kazi kama wewe hutachukua hatua.

Nikutakie usomaji mwema, upate maarifa sahihi na uweze kuchukua hatua kwa ajili ya mafanikio yako.

NB; OFA Hii Inaisha Tarehe 27 Mwezi Machi 2021, Siku Ya Jumamosi.
 
1616646600087.png


Alisikika Akisema,

Kuzaliwa Maskini Siyo Kosa Lako, Ila…

Tajiri Bill Gates, amewahi kunukuliwa akisema;

“Kuzaliwa Maskini Siyo Kosa Lako”. Lakini hakuishia hapo, akaendelea kusema ; “ Lakini Ukifa Maskini, Basi Hilo ni Kosa Lako Kabisa.”

Sijui kuhusu wewe, lakini pale tajiri anapoongea kuhusu fedha , basi huna budi kumsikiliza.

Na kama alivyosema hapo , siyo kosa lako kuzaliwa maskini, kwa sababu hatupati nafasi ya kuchagua tuzaliwe na wazazi gani.

Lakini Ukifa maskini , hilo ni tatizo lako, kwa sababu haijalishi umezaliwa kwenye mazingira gani, kuna fursa nyingi sana kwako kufikia utajiri kama utaziona na kuzitumia.

Umaskini ni dhambi kubwa sana.

Na siyo tu kwamba umaskini ni dhambi, bali pia ni ubinafsi wa hali ya juu.

Iko hivi, fedha na utajiri ni zao la thamani, ni matokeo ya bidhaa au huduma ulizotoa kwa wengine , ambao wanazihitaji na wapo tayari kuzilipia.

Hivyo kama huna fedha, maana yake hakuna thamani kubwa unayotoa kwa wengine.

Sasa je, huoni kuwa ni ubinafsi, kwa mtu wewe ambaye umepewa uwezo wa kipekee, kukaa hapa duniani bila kutumia uwezo huo kuwasaidia wengine?

Kama kweli unafanya kilicho sahihi , basi matokeo lazima yaonekane kwenye kipato chako.

Kama kipato siyo kizuri , basi ni kiashiria hufanyi kilicho sahihi au hujaijua misingi sahihi ya fedha.

Rafiki usiendelee kujichelewesha TENA.

Swali la msingi ni, JE Unachukua Hatua Gani Sasa Kutoka Kwenye Umaskini?

Ndani Ya kitabu cha ELIMU YA MSINGI YA FEDHA, kimezungumzia “ MBINU ZILIZOWASAIDIA MAELFU YA WATU KUFIKIA KWENYE UHURU WA KIFEDHA NA UTAJIRI”

Kwa kusoma kikamilifu, na kufanyia kazi yale yote utakayojifunza kupitia kitabu hiki, mategemeo yangu ni kwamba;

  • Utaelewa misingi muhimu ya fedha na kuweza kuiishi, kuanzia kifikra mpaka kimatendo.
  • Utaweza kuongeza kipato chako kupitia shughuli unayofanya sasa na hata kuanzisha chanzo kipya cha kipato.
  • Utaweza kupunguza matumizi yako na kudhibiti matumizi.
  • Utaanza kuweka akiba kama bado, na kuendelea kuboresha uwekaji wako wa akiba kama ulishaanza.
  • Utaanza Kuwa Na Uwekezaji.
  • Utaanzisha biashara au kuimarisha biashara ambayo tayari umeshaanza.
  • Utakuwa na bima kwa maeneo muhimu ya maisha yako.
  • Utawafundisha watoto wako misingi muhimu ya kifedha.
  • Utatumia fedha zako kuyafanya maisha ya wengine kuwa bora zaidi.
  • Utaanza safari ya kuelekea kwenye utajiri na uhuru wa kifedha , hutarudi tena kwenye umasikini na madeni.
Rafiki, Kitabu hiki ni tofauti kabisa na vitabu vingine. Siyo kitabu cha kusoma na ukafurahia kwamba umekisoma, bali ni kitabu kinachokutaka uchukue hatua ili maisha yako yawe bora zaidi.

Hivyo baada ya kusoma kitabu hiki, nashauri uchukue hatua hizi tatu muhimu;

Moja; Kuwa na chanzo zaidi ya kimoja cha mapato. Kama umeajiriwa anzisha biashara ya pembeni , hata kama ni ndogo kiasi gani. Kuwa na kitu cha ziada unafanya , ambacho hata kama mwanzoni hakikupi kipato , kinakutengenezea njia ya kuwa na kipato zaidi baadaye.

Mbili; Kuwa na uwekezaji ambao unafanya. Uwekezaji huo uwe unafanya kidogo na kurudia rudia.

Tatu; Endelea kujifunza kuhusu fedha, biashara na hata mafanikio kwa ujumla.

Kwa kuchukua hatua hizi tatu, utaongeza kipato chako maradufu na hutakuwa maskini tena.

Ifahamu kanuni iliyowasaidia maelfu ya wateja wangu.

Nipe elfu 20 nikupe laki mbili(2)…

Ipo kanuni moja ambayo nimekuwa naitumia kwenye huduma ninazotoa.

Kanuni hiyo ni ya THAMANI MARA KUMI.

Kwamba Kiasi chochote ambacho mtu atalipia kupata huduma ninayotoa , basi apate thamani mara kumi ya kiasi alicholipia.

Na hii pia ndivyo ilivyo kwenye kitabu cha ELIMU YA MSINGI YA FEDHA.

Kitabu hiki kinauzwa elfu 20, lakini nina uhakika , ukinunua , ukikisoma na kufanyia kazi , ndani ya mwaka mmoja utakuwa umepata siyo chini ya laki 2.

MUHIMU; Na iwapo utapata kitabu hiki , ukakisoma na kufanyia kazi halafu usipate zaidi ya laki 2 ndani ya mwaka mmoja , nijulishe na nitakurudishia fedha uliyolipia.

Nina uhakika sana na maarifa yaliyopo kwenye kitabu hiki , yatakusaidia sana kutoka pale ulipokwama kifedha.

Kitabu hiki huwa kinauzwa TSH 20,000, Ila LEO nitakusaidia kukipata kitabu hiki kwa uwekezaji wa TSH 14,999Tu! .

Na Ili Kupata Kitabu Chako Wasiliana na Namba 0752977170 na utaletewa au kutumiwa kitabu popote ulipo Afrika Mashariki.

NYONGEZA;
Unaposoma kitabu hiki, kuwa na kijitabu ambacho unaandika yale unayojifunza.

Mwisho wa kila somo kutakuwa na maswali ya kujiuliza na kujijibu na hatua za kuchukua. Yote hayo yaandike kwenye kijitabu chako kwa rejea ya baadaye.

Jambo muhimu sana ambalo nitaendelea kukusisitiza kila mara ni kwamba hakuna kitu kitakachofanya kazi kama wewe hutachukua hatua.

Nikutakie usomaji mwema, upate maarifa sahihi na uweze kuchukua hatua kwa ajili ya mafanikio yako.

NB; OFA Hii Inaisha Tarehe 27 Mwezi Machi 2021, Siku Ya Jumamosi.
 
Tatizo huku AFRICA unasikini tunaletewa na wanasiasa kupitia sera zao mbovu na ubabe mavi wao.We haingii akilini mtu anasema nataka nitengeneze mabilionea wa KITANZANIA kesho yake anatuma TRA wakachote hela za wafanya biashara bank,Anasema nchi ya viwanda alafu anaunda TUSK FORCE ya majeshi yakakamue wafanyabiashara na viwanda mpaka TONE la mwisho bila kujali kesho ya huyo mwenye kiwanda.
 
Tatizo huku AFRICA tunaletewa na wanasiasa kupitia sera zao mbovu na ubabe mavi wao.We haingii akilini mtu anasema nataka nitengeneze mabilionea wa KITANZANIA kesho yake anatuma TRA wakachote hela za wafanya biashara,Anasema nchi ya viwanda alafu anaunda TUSK FORCE ya majeshi yakakamue wafanyabiashara na viwanda mpaka TONE la mwisho bila kujali kesho ya huyo mwenye kiwanda.
Asante mkuu,nchi ina fursa kibao shida ni mfumo.

Biashara ya kuwaza ni nzuri ila uhalisia ni tofauti changamoto zake ni kama ulivosema juu
 
1616818155378.png

Mwanzoni mwa miaka ya 2000 nilikuwa nina tabia ya kivivu ya kusema “ NITAFANYA KESHO”.

Niliendelea na hiyo tabia mpaka pale nilipokutana na hii kauli ya ushindi inayosema.

“Kesho ndio kifo cha watu wengi kufikia ndoto zao kubwa za ushindi. Watu hawa wanajua kabisa ni kitu gani wanataka. Na wanajua ni hatua gani wanahitaji kuchukua, lakini inapofikia kuchukua hatua nguvu zote zinawaishia na kusema nitafanya kesho. Hii inakuwa njia rahisi sana ya kutoroka kufanya mambo makubwa ambayo yangepelekea kufikia ushindi mkubwa kwenye maisha yao.”

Kiukweli hii kauli ndiyo iliyonibadilisha kutoka kuwa na tabia ya kivivu mpaka kuwa na tabia ya kishujaa.

Rafiki, Wakati Ulionao Ni Sasa.

Hakuna wakati mwingine ambao una uhakika nao kwenye maisha yako zaidi ya wakati ulionao sasa.

Hakuna siku nyingine ambayo una uhakika nayo kwenye maisha yako zaidi ya siku hii nzuri ya leo.

Kama kuna kitu kizuri unataka kufanya kwenye maisha yako, huna wakati mwingine mzuri wa kufanya zaidi ya wakati huu.

Hakuna siku itakuwa nzuri kwako kufanya kitu hiki zaidi ya siku ya leo.

Leo ni siku ya kipekee, leo unaweza kuianza safari ya mafanikio, leo unaweza kuimarisha safari yako ya mafanikio, leo unaweza kuanza kufanya kile ambacho kitaleta tofauti kubwa kwenye maisha yako.

Ni leo na sio siku nyingine yoyote.

Ni rahisi kufikiri kwamba kesho itakuwa siku bora sana kwako kuanza.

Ni rahisi kuona kesho ndio wakati mzuri wa kuanza safari ya ushindi.

Lakini huku ni kujidandanya. Hakuna aliyekuhakikishia kesho. Hujui kesho ni mambo gani yataibuka ambayo hukuyategemea.

Pamoja na mategemeo yako mazuri, kesho itaanza kwa namna nyingine na huwezi kujua ni kipi kitakuja hiyo kesho.

Rafiki kama mpaka sasa hujapata ELIMU YA MSINGI YA FEDHA, bila kupepesa macho unajichelewesha. Chukua hatua sasa hivi usiendelee kujichelewesha TENA.

Ndani Ya kitabu cha ELIMU YA MSINGI YA FEDHA, kimezungumzia “ MBINU ZILIZOWASAIDIA MAELFU YA WATU KUFIKIA KWENYE UHURU WA KIFEDHA NA UTAJIRI”

Kwa kusoma kikamilifu, na kufanyia kazi yale yote utakayojifunza kupitia kitabu hiki, mategemeo yangu ni kwamba;

  • Utaelewa misingi muhimu ya fedha na kuweza kuiishi, kuanzia kifikra mpaka kimatendo.
  • Utaweza kuongeza kipato chako kupitia shughuli unayofanya sasa na hata kuanzisha chanzo kipya cha kipato.
  • Utaweza kupunguza matumizi yako na kudhibiti matumizi.
  • Utaanza kuweka akiba kama bado, na kuendelea kuboresha uwekaji wako wa akiba kama ulishaanza.
  • Utaanza Kuwa Na Uwekezaji.
  • Utaanzisha biashara au kuimarisha biashara ambayo tayari umeshaanza.
  • Utakuwa na bima kwa maeneo muhimu ya maisha yako.
  • Utawafundisha watoto wako misingi muhimu ya kifedha.
  • Utatumia fedha zako kuyafanya maisha ya wengine kuwa bora zaidi.
  • Utaanza safari ya kuelekea kwenye utajiri na uhuru wa kifedha , hutarudi tena kwenye umasikini na madeni.
Rafiki, Kitabu hiki ni tofauti kabisa na vitabu vingine. Siyo kitabu cha kusoma na ukafurahia kwamba umekisoma, bali ni kitabu kinachokutaka uchukue hatua ili maisha yako yawe bora zaidi.

Hivyo baada ya kusoma kitabu hiki, nashauri uchukue hatua hizi tatu muhimu;

Moja; Kuwa na chanzo zaidi ya kimoja cha mapato. Kama umeajiriwa anzisha biashara ya pembeni , hata kama ni ndogo kiasi gani. Kuwa na kitu cha ziada unafanya , ambacho hata kama mwanzoni hakikupi kipato , kinakutengenezea njia ya kuwa na kipato zaidi baadaye.

Mbili; Kuwa na uwekezaji ambao unafanya. Uwekezaji huo uwe unafanya kidogo na kurudia rudia.

Tatu; Endelea kujifunza kuhusu fedha, biashara na hata mafanikio kwa ujumla.

Kwa kuchukua hatua hizi tatu, utaongeza kipato chako maradufu na hutakuwa maskini tena.

MUHIMU; Na iwapo utapata kitabu hiki , ukakisoma na kufanyia kazi yale yote uliyojifunza halafu usipate zaidi ya laki 2 ndani ya mwaka mmoja , nijulishe na nitakurudishia fedha uliyolipia.

Nina uhakika sana na maarifa yaliyopo kwenye kitabu hiki , yatakusaidia sana kutoka pale ulipokwama kifedha.

Kitabu hiki huwa kinauzwa TSH 20,000, Ila LEO nitakusaidia kukipata kitabu hiki kwa uwekezaji wa TSH 14,999Tu! .

Na Ili Kupata Kitabu Chako Wasiliana na Namba 0752977170 na utaletewa au kutumiwa kitabu popote ulipo ndani ya Afrika Mashariki.

NYONGEZA;
Unaposoma kitabu hiki, kuwa na kijitabu ambacho unaandika yale unayojifunza.

Mwisho wa kila somo kutakuwa na maswali ya kujiuliza na kujijibu na hatua za kuchukua. Yote hayo yaandike kwenye kijitabu chako kwa rejea ya baadaye.

Jambo muhimu sana ambalo nitaendelea kukusisitiza kila mara ni kwamba hakuna kitu kitakachofanya kazi kama wewe hutachukua hatua.

Nikutakie usomaji mwema, upate maarifa sahihi na uweze kuchukua hatua kwa ajili ya mafanikio yako.

NB; Zimebaki Nafasi 10 Pekee Na OFA Hii Inaisha LEO Tarehe 27 Mwezi Machi 2021, Siku Ya Jumamosi, Saa Nne(4) Kamili Usiku.

Wakati Mzuri Ni Leo, Wakati Mzuri Ni Sasa.
 
1617081012855.png

Kabla ya kuendelea , tujikumbushe kidogo walicho ki sema wahenga.

“kulijua tatizo ni nusu ya kulitatua.”

Kwa kuwa umekuwa unatumia simu yako kila siku , ni rahisi kuamini kwamba unafanya hivyo kwa mapenzi yako mwenyewe .

Mtu akikuambia umenaswa na kuwa mtumwa utakataa na hata kugombana naye.

Utajiambia simu ni yako , ulinunua mwenyewe na huwa unachagua kuitumia pale unapotaka.

Na jua utashangaa lakini ukweli ni kwamba wengi ambao wanakuwa na matatizo huwa hawajui tatizo walilonalo ni nini. Na hivyo wanapokazana kulitatua wanashindwa , kwasababu kama hujajua kiini cha tatizo huwezi kulitatua.

Mara nyingi watu wamekuwa wakiangalia madhara ya tatizo, badala ya kuangalia chanzo kikuu cha tatizo .

Huwezi kutibu tatizo kwa kutibu madhara , badala yake unahitaji kuzama ndani na kujua chanzo hasa cha tatizo ni nini.

Na njia ya uhakika ya kufikia hilo ni kujiuliza maswali.

Na maswali yote unayohitaji kujiuliza yote nimekuwekea kwenye Kitabu Kipya Kinachoitwa EPUKA UTUMWA WA KIDIJITALI.

Na kwa kuwa teknolojia hizi ni mpya, hakuna mwenye uzoefu wa jinsi ya kukabiliana nazo, hivyo watu wanaingia kwenye teknolojia hizo mpya kwa kuhadaiwa watanufaika sana, lakini kinachotokea ni wanageuzwa kuwa wafungwa.

Leo nina habari njema kwako, habari hizo ni kupatikana kwa mwongozo wa kuzitumia teknolojia hizi mpya vizuri na ukombozi wa ufungwa ambao teknolojia hizo zimetengeneza kwako.

Nimekuandalia kitabu kinachoitwa EPUKA UTUMWA WA KIDIJITALI, kitabu kinachokuonesha jinsi teknolojia mpya zinavyokufanya mtumwa na njia za kuondoka kwenye utumwa huo.

Kupitia kitabu hiki utajifunza mambo saba makubwa ambayo yatakufanya uwe huru na utumie teknolojia hizi kwa manufaa makubwa kwako.

Moja utajifunza jinsi ubongo wako unavyofanya kazi na namna teknolojia mpya zinavyotumia ubongo huo kukufanya kuwa mtumwa. Teknolojia mpya zimetengenezwa kwa namna ambayo zitajenga uteja/uraibu kwenye ubongo wako. Kwa kujua njia hiyo utaweza kuepuka kuingia kwenye utumwa wa teknolojia hizo.

Mbili utajifunza kuhusu zama tunazoishi sasa, zama za maarifa na taarifa lakini ambazo zimegeuka kuwa zama za usumbufu. Utajifunza zama hizi za usumbufu zimetengeneza makundi makubwa mawili, wachache wanaonufaika sana, kama Mark Zuckerberg ambaye ni mmiliki wa Facebook na wengi ambao ni kama watumwa wa wachache hao wanaonufaika.

Tatu utajifunza jinsi ya kujua kama tayari umeshanasa na kuwa mtumwa wa teknolojia hizo mpya. Unaposoma hapa unaweza kusema wewe hujawa mtumwa, unatumia kwa kupanga mwenyewe, lakini nikuambie kitu kimoja, kwa sehemu kubwa sana umeshakuwa na utaziona dalili kwa kusoma kitabu hiki.

Nne utajifunza jinsi ya kuondoka kwenye utumwa wa kidijitali ambao umeshaingia. Baada ya kuona jinsi ambavyo umenasa kwenye utumwa huo, utajifunza njia za kujinasua. Hapa utajifunza jinsi ya kuizidi ujanja simu janja yako.

Tano utajifunza falsafa mpya ya kuendesha maisha yako kwa uhuru katika zama hizi za usumbufu. Pamoja na kujifunza kuhusu zama hizo na jinsi ya kuondokana na utumwa wake, usumbufu wake hautaisha, teknolojia mpya zinaendelea kugunduliwa kila siku na zikiwa na ushawishi mkubwa. Hivyo unahitaji kuwa na falsafa unayoitumia kuchagua huduma za kidijitali utakazochagua kutumia kwa manufaa yako.

Sita utajifunza jinsi ya kutumia akili yako kuvunja uraibu wowote ambao umeshajijengea. Kama tulivyoona, huduma za kidijitali zinatumia jinsi ubongo unavyofanya kazi kukuingiza kwenye utumwa. Hivyo wewe unapaswa kuutumia ubongo wako vizuri kuondoka kwenye utumwa huo.

Saba utajifunza sababu kumi kwa nini unapaswa kuondoka kwenye mitandao yote ya kijamii sasa hivi. Hizi ni sababu ambazo zimechambua jinsi matumizi ya mitandao ya kijamii yalivyo na athari kwenye akili yako, utulivu wako, mahusiano yako, uchumi wako na hata imani yako. Kwa kuzijua sababu hizi kumi, utajionea mwenyewe jinsi ulivyorudi nyuma tangu umeanza kutumia mitandao hiyo na hivyo kuachana nayo ili kuepuka madhara yake.

Mwisho kabisa utajifunza njia za kutumia kufanya maamuzi iwapo utumie huduma ya kidijitali. Utajifunza jinsi ya kutumia vigezo vitatu vya AFYA, UTAJIRI na HEKIMA katika kuchagua na kutumia teknolojia mpya, ambazo zitakuwa na manufaa kwako badala ya kukufanya mtumwa.

Tuko kwenye vita, adui mkuu anajua yuko vitani ila wanaolengwa hawajui. Hivyo unapaswa kuwa na maandalizi mazuri ya kupambana na vita hii ili uweze kutoka salama na siyo kuwa mfungwa.

Pata na usome kitabu cha EPUKA UTUMWA WA KIDIJITALI ili upate mbinu za kupambana kwenye vita hii na kutoka ukiwa mshindi. Kitabu hiki kimechapwa kwa nakala ngumu (hardcopy).

Kitabu kinauzwa TSH elfu 20 (20,000/=) na ili kukipata wasiliana na 0752 977 170 na utaletewa au kutumiwa kitabu popote ulipo Tanzania na Afrika Mashariki.

MUHIMU; Kama utanunua na kusoma kitabu hiki na ukaona hakina manufaa yoyote kwako, unaruhusiwa kukirudisha na ukarejeshewa fedha zako. Hivyo chukua hatua sasa, huna cha kupoteza lakini una mengi ya kupata, yatakayokuweka huru kwenye zama tunazoishi sasa.
 
1:Umeongelea uraibu wa mitandao! Vp uraibu wa pombe nk!?

2:umeongea maneno matupu bila kutoa suluhisho, yote ulioeleza huoni ni ya kufikirika tu!?

3: unataka tununue kitabu 20,000! Unataka watu wapate uraibu wa kusoma hicho kitabu chako!?

Maoni yangu:
simu tunatembea nazo ndo sababu muda mwingi tunazitumia na wewe ukitaka tukisome hicho kitabu chako kiweke kielektroniki, tecnologia imerahisisha, tutanunua magazeti/vitabu vingapi?
 
1617278496616.png


Tangu enzi na enzi, binadamu wamekuwa wakipata maono makubwa na ya tofauti , kupata suluhisho la matatizo makubwa na hata kujitambua wao wenyewe baada ya kupata muda wa kuwa peke yao.

Tunaelezwa Kwamba Mwanasayansi Newton aligundua sheria ya mvutano akiwa amekaa peke yake chini ya mti na kuangalia tunda likianguka.

Kadhalika Mwanasayansi Albert Einstein aliweza kuja na kanuni bora kabisa za kisayansi kwa kuwa na muda wa kukaa peke yake.

Na hata viongozi bora kuwahi kutokea duniani , ambao waliweza kuendesha nchi zao na kuvuka magumu na changamoto mbalimbali , walihakikisha wanakuwa na muda wa kukaa peke yao.

Kama ambavyo tumejifunza hapo juu, watu waliofanya mambo makubwa hapa duniani , wote walikuwa na muda wa kuwa peke yao.

Hakuna yeyote aliyefanya makubwa ambaye muda wote walikuwa amezungukwa na usumbufu.

Kwa maana hiyo hata wewe leo hii unaweza kufanya makubwa endapo tu utaamua kutenga muda wa kukaa peke yako.

Unaweza ukawa unajiuliza kuna faida gani utakazozipata kwa kutenga muda wa kukaa peke yako na mawazo yako.

Ili uweze kuzipata faida za kutenga muda wa kukaa peke yako na mawazo yako kama walivyokuwa wanafanya kina ISAAC NEWTON, ALBERT EINSTEIN , huna budi kusoma kitabu kipya kinachoitwa EPUKA UTUMWA WA KIDIJITALI.

Imegundulika kinachosababisha mamilioni ya watu kushindwa kutenga muda wa kukaa peke yao ni TEKNOLOJIA MPYA, zimefanikiwa kwa kiasi kikubwa kunasa umakini wa watu wengi na kusababisha kuwa watumwa wa teknolojia hizo bila ya wao wenyewe kujijua.

Na kwa kuwa teknolojia hizi ni mpya, hakuna mwenye uzoefu wa jinsi ya kukabiliana nazo, hivyo watu wanaingia kwenye teknolojia hizo mpya kwa kuhadaiwa watanufaika sana, lakini kinachotokea ni wanageuzwa kuwa wafungwa.

Leo nina habari njema kwako, habari hizo ni kupatikana kwa mwongozo wa kuzitumia teknolojia hizi mpya vizuri na ukombozi wa ufungwa ambao teknolojia hizo zimetengeneza kwako.

Nimekuandalia kitabu kinachoitwa EPUKA UTUMWA WA KIDIJITALI, kitabu kinachokuonesha jinsi teknolojia mpya zinavyokufanya mtumwa na njia za kuondoka kwenye utumwa huo.

Kupitia kitabu hiki utajifunza mambo saba makubwa ambayo yatakufanya uwe huru na utumie teknolojia hizi kwa manufaa makubwa kwako.

Moja utajifunza jinsi ubongo wako unavyofanya kazi na namna teknolojia mpya zinavyotumia ubongo huo kukufanya kuwa mtumwa. Teknolojia mpya zimetengenezwa kwa namna ambayo zitajenga uteja/uraibu kwenye ubongo wako. Kwa kujua njia hiyo utaweza kuepuka kuingia kwenye utumwa wa teknolojia hizo.

Mbili utajifunza kuhusu zama tunazoishi sasa, zama za maarifa na taarifa lakini ambazo zimegeuka kuwa zama za usumbufu. Utajifunza zama hizi za usumbufu zimetengeneza makundi makubwa mawili, wachache wanaonufaika sana, kama Mark Zuckerberg ambaye ni mmiliki wa Facebook na wengi ambao ni kama watumwa wa wachache hao wanaonufaika.

Tatu utajifunza jinsi ya kujua kama tayari umeshanasa na kuwa mtumwa wa teknolojia hizo mpya. Unaposoma hapa unaweza kusema wewe hujawa mtumwa, unatumia kwa kupanga mwenyewe, lakini nikuambie kitu kimoja, kwa sehemu kubwa sana umeshakuwa na utaziona dalili kwa kusoma kitabu hiki.

Nne utajifunza jinsi ya kuondoka kwenye utumwa wa kidijitali ambao umeshaingia. Baada ya kuona jinsi ambavyo umenasa kwenye utumwa huo, utajifunza njia za kujinasua. Hapa utajifunza jinsi ya kuizidi ujanja simu janja yako.

Tano utajifunza falsafa mpya ya kuendesha maisha yako kwa uhuru katika zama hizi za usumbufu. Pamoja na kujifunza kuhusu zama hizo na jinsi ya kuondokana na utumwa wake, usumbufu wake hautaisha, teknolojia mpya zinaendelea kugunduliwa kila siku na zikiwa na ushawishi mkubwa. Hivyo unahitaji kuwa na falsafa unayoitumia kuchagua huduma za kidijitali utakazochagua kutumia kwa manufaa yako.

Sita utajifunza jinsi ya kutumia akili yako kuvunja uraibu wowote ambao umeshajijengea. Kama tulivyoona, huduma za kidijitali zinatumia jinsi ubongo unavyofanya kazi kukuingiza kwenye utumwa. Hivyo wewe unapaswa kuutumia ubongo wako vizuri kuondoka kwenye utumwa huo.

Saba utajifunza sababu kumi kwa nini unapaswa kuondoka kwenye mitandao yote ya kijamii sasa hivi. Hizi ni sababu ambazo zimechambua jinsi matumizi ya mitandao ya kijamii yalivyo na athari kwenye akili yako, utulivu wako, mahusiano yako, uchumi wako na hata imani yako. Kwa kuzijua sababu hizi kumi, utajionea mwenyewe jinsi ulivyorudi nyuma tangu umeanza kutumia mitandao hiyo na hivyo kuachana nayo ili kuepuka madhara yake.

Mwisho kabisa utajifunza njia za kutumia kufanya maamuzi iwapo utumie huduma ya kidijitali. Utajifunza jinsi ya kutumia vigezo vitatu vya AFYA, UTAJIRI na HEKIMA katika kuchagua na kutumia teknolojia mpya, ambazo zitakuwa na manufaa kwako badala ya kukufanya mtumwa.

Tuko kwenye vita, adui mkuu anajua yuko vitani ila wanaolengwa hawajui. Hivyo unapaswa kuwa na maandalizi mazuri ya kupambana na vita hii ili uweze kutoka salama na siyo kuwa mfungwa.

Pata na usome kitabu cha EPUKA UTUMWA WA KIDIJITALI ili upate mbinu za kupambana kwenye vita hii na kutoka ukiwa mshindi. Kitabu hiki kimechapwa kwa nakala ngumu (hardcopy).

Kitabu kinauzwa TSH elfu 20 (20,000/=) na ili kukipata wasiliana na 0752 977 170 na utaletewa au kutumiwa kitabu popote ulipo Tanzania na Afrika Mashariki.

MUHIMU; Kama utanunua na kusoma kitabu hiki na ukaona hakina manufaa yoyote kwako, unaruhusiwa kukirudisha na ukarejeshewa fedha zako. Hivyo chukua hatua sasa, huna cha kupoteza lakini una mengi ya kupata, yatakayokuweka huru kwenye zama tunazoishi sasa.
 
View attachment 1740449

Tangu enzi na enzi, binadamu wamekuwa wakipata maono makubwa na ya tofauti , kupata suluhisho la matatizo makubwa na hata kujitambua wao wenyewe baada ya kupata muda wa kuwa peke yao.

Tunaelezwa Kwamba Mwanasayansi Newton aligundua sheria ya mvutano akiwa amekaa peke yake chini ya mti na kuangalia tunda likianguka.

Kadhalika Mwanasayansi Albert Einstein aliweza kuja na kanuni bora kabisa za kisayansi kwa kuwa na muda wa kukaa peke yake.

Na hata viongozi bora kuwahi kutokea duniani , ambao waliweza kuendesha nchi zao na kuvuka magumu na changamoto mbalimbali , walihakikisha wanakuwa na muda wa kukaa peke yao.

Kama ambavyo tumejifunza hapo juu, watu waliofanya mambo makubwa hapa duniani , wote walikuwa na muda wa kuwa peke yao.

Hakuna yeyote aliyefanya makubwa ambaye muda wote walikuwa amezungukwa na usumbufu.

Kwa maana hiyo hata wewe leo hii unaweza kufanya makubwa endapo tu utaamua kutenga muda wa kukaa peke yako.

Unaweza ukawa unajiuliza kuna faida gani utakazozipata kwa kutenga muda wa kukaa peke yako na mawazo yako.

Ili uweze kuzipata faida za kutenga muda wa kukaa peke yako na mawazo yako kama walivyokuwa wanafanya kina ISAAC NEWTON, ALBERT EINSTEIN , huna budi kusoma kitabu kipya kinachoitwa EPUKA UTUMWA WA KIDIJITALI.

Imegundulika kinachosababisha mamilioni ya watu kushindwa kutenga muda wa kukaa peke yao ni TEKNOLOJIA MPYA, zimefanikiwa kwa kiasi kikubwa kunasa umakini wa watu wengi na kusababisha kuwa watumwa wa teknolojia hizo bila ya wao wenyewe kujijua.

Na kwa kuwa teknolojia hizi ni mpya, hakuna mwenye uzoefu wa jinsi ya kukabiliana nazo, hivyo watu wanaingia kwenye teknolojia hizo mpya kwa kuhadaiwa watanufaika sana, lakini kinachotokea ni wanageuzwa kuwa wafungwa.

Leo nina habari njema kwako, habari hizo ni kupatikana kwa mwongozo wa kuzitumia teknolojia hizi mpya vizuri na ukombozi wa ufungwa ambao teknolojia hizo zimetengeneza kwako.

Nimekuandalia kitabu kinachoitwa EPUKA UTUMWA WA KIDIJITALI, kitabu kinachokuonesha jinsi teknolojia mpya zinavyokufanya mtumwa na njia za kuondoka kwenye utumwa huo.

Kupitia kitabu hiki utajifunza mambo saba makubwa ambayo yatakufanya uwe huru na utumie teknolojia hizi kwa manufaa makubwa kwako.

Moja utajifunza jinsi ubongo wako unavyofanya kazi na namna teknolojia mpya zinavyotumia ubongo huo kukufanya kuwa mtumwa. Teknolojia mpya zimetengenezwa kwa namna ambayo zitajenga uteja/uraibu kwenye ubongo wako. Kwa kujua njia hiyo utaweza kuepuka kuingia kwenye utumwa wa teknolojia hizo.

Mbili utajifunza kuhusu zama tunazoishi sasa, zama za maarifa na taarifa lakini ambazo zimegeuka kuwa zama za usumbufu. Utajifunza zama hizi za usumbufu zimetengeneza makundi makubwa mawili, wachache wanaonufaika sana, kama Mark Zuckerberg ambaye ni mmiliki wa Facebook na wengi ambao ni kama watumwa wa wachache hao wanaonufaika.

Tatu utajifunza jinsi ya kujua kama tayari umeshanasa na kuwa mtumwa wa teknolojia hizo mpya. Unaposoma hapa unaweza kusema wewe hujawa mtumwa, unatumia kwa kupanga mwenyewe, lakini nikuambie kitu kimoja, kwa sehemu kubwa sana umeshakuwa na utaziona dalili kwa kusoma kitabu hiki.

Nne utajifunza jinsi ya kuondoka kwenye utumwa wa kidijitali ambao umeshaingia. Baada ya kuona jinsi ambavyo umenasa kwenye utumwa huo, utajifunza njia za kujinasua. Hapa utajifunza jinsi ya kuizidi ujanja simu janja yako.

Tano utajifunza falsafa mpya ya kuendesha maisha yako kwa uhuru katika zama hizi za usumbufu. Pamoja na kujifunza kuhusu zama hizo na jinsi ya kuondokana na utumwa wake, usumbufu wake hautaisha, teknolojia mpya zinaendelea kugunduliwa kila siku na zikiwa na ushawishi mkubwa. Hivyo unahitaji kuwa na falsafa unayoitumia kuchagua huduma za kidijitali utakazochagua kutumia kwa manufaa yako.

Sita utajifunza jinsi ya kutumia akili yako kuvunja uraibu wowote ambao umeshajijengea. Kama tulivyoona, huduma za kidijitali zinatumia jinsi ubongo unavyofanya kazi kukuingiza kwenye utumwa. Hivyo wewe unapaswa kuutumia ubongo wako vizuri kuondoka kwenye utumwa huo.

Saba utajifunza sababu kumi kwa nini unapaswa kuondoka kwenye mitandao yote ya kijamii sasa hivi. Hizi ni sababu ambazo zimechambua jinsi matumizi ya mitandao ya kijamii yalivyo na athari kwenye akili yako, utulivu wako, mahusiano yako, uchumi wako na hata imani yako. Kwa kuzijua sababu hizi kumi, utajionea mwenyewe jinsi ulivyorudi nyuma tangu umeanza kutumia mitandao hiyo na hivyo kuachana nayo ili kuepuka madhara yake.

Mwisho kabisa utajifunza njia za kutumia kufanya maamuzi iwapo utumie huduma ya kidijitali. Utajifunza jinsi ya kutumia vigezo vitatu vya AFYA, UTAJIRI na HEKIMA katika kuchagua na kutumia teknolojia mpya, ambazo zitakuwa na manufaa kwako badala ya kukufanya mtumwa.

Tuko kwenye vita, adui mkuu anajua yuko vitani ila wanaolengwa hawajui. Hivyo unapaswa kuwa na maandalizi mazuri ya kupambana na vita hii ili uweze kutoka salama na siyo kuwa mfungwa.

Pata na usome kitabu cha EPUKA UTUMWA WA KIDIJITALI ili upate mbinu za kupambana kwenye vita hii na kutoka ukiwa mshindi. Kitabu hiki kimechapwa kwa nakala ngumu (hardcopy).

Kitabu kinauzwa TSH elfu 20 (20,000/=) na ili kukipata wasiliana na 0752 977 170 na utaletewa au kutumiwa kitabu popote ulipo Tanzania na Afrika Mashariki.

MUHIMU; Kama utanunua na kusoma kitabu hiki na ukaona hakina manufaa yoyote kwako, unaruhusiwa kukirudisha na ukarejeshewa fedha zako. Hivyo chukua hatua sasa, huna cha kupoteza lakini una mengi ya kupata, yatakayokuweka huru kwenye zama tunazoishi sasa.
Promo zote hizi kumbe ni mauzo ya kitabu? Halafu mbona kama unatupanga eti kama utaona kitabu hakijafaa unarudisha unapewa hela zako? serious mmmh
 
Promo zote hizi kumbe ni mauzo ya kitabu? Halafu mbona kama unatupanga eti kama utaona kitabu hakijafaa unarudisha unapewa hela zako? serious mmmh
Kama tukikaa peke yetu ina maana hata andiko lake lingekosa msomaji. Dunia ya leo uepuke Utumwa wa kidigitali inawezekana kweli?
Elon musk mwanasayansi nguli anashinda mitandaoni kunadi gudunduzi zake.
Marehemu JPM alifanikiwa kujulikana kazi zake na umahiri wake kwa kutumia mitandao ya kujamii .
Anatumia mitando ya kijamii kisha anashawishi watu wasitumie hio mitandao, ana akili kweli?
 
1617418448979.png

Mitandao ya kijamii ambayo ni moja ya njia kuu ya kusambaza habari imechochea sana kuongezeka kwa msongo wa mawazo kwa watu wengi.

Hii ni kwasababu mitandao hiyo imekuwa inawachochea watu kuweka maisha yao kwenye mitandao hiyo.

Sasa kwa kuwa ni tabia yetu binadamu kupenda kuonesha mambo yetu ni mazuri kuliko yalivyo , watu wengi huweka maisha ambayo siyo halisi.

Mfano mtu anaweza kuwa na changamoto nyingi kwenye maisha yake , lakini akachagua kuweka picha nzuri za wakati ana furaha kwenye mitandao ya kijamii.

Mtu mwingine kwa kuona wenzake kila wakati anaweka picha nzuri akiwa na furaha na maeneo ya kifahari , anaona mtu huyo ana maisha mazuri kuliko yeye.

Hali hiyo ya kujilinganisha imekuwa chanzo cha msongo wa mawazo kwa wengine.

Kibaya zaidi ni kwamba ulinganisho ambao mtu anafanya siyo sahihi , maisha ambayo watu wanayaweka mitandaoni ni tofauti kabisa na maisha yao halisi.

Imegundulika chanzo cha ulinganisho huo ni matumizi ya teknolojia mpya hasa hasa mitandao ya kijamii.

Na kwa kuwa teknolojia hizi ni mpya, hakuna mwenye uzoefu wa jinsi ya kukabiliana nazo, hivyo watu wanaingia kwenye teknolojia hizo mpya kwa kuhadaiwa watanufaika sana, lakini kinachotokea ni wanageuzwa kuwa wafungwa.

Leo nina habari njema kwako, habari hizo ni kupatikana kwa mwongozo wa kuzitumia teknolojia hizi mpya vizuri na ukombozi wa ufungwa ambao teknolojia hizo zimetengeneza kwako.

Nimekuandalia kitabu kinachoitwa EPUKA UTUMWA WA KIDIJITALI, kitabu kinachokuonesha jinsi teknolojia mpya zinavyokufanya mtumwa na njia za kuondoka kwenye utumwa huo.

Kupitia kitabu hiki utajifunza mambo saba makubwa ambayo yatakufanya uwe huru na utumie teknolojia hizi kwa manufaa makubwa kwako.

Moja utajifunza jinsi ubongo wako unavyofanya kazi na namna teknolojia mpya zinavyotumia ubongo huo kukufanya kuwa mtumwa.

Teknolojia mpya zimetengenezwa kwa namna ambayo zitajenga uteja/uraibu kwenye ubongo wako. Kwa kujua njia hiyo utaweza kuepuka kuingia kwenye utumwa wa teknolojia hizo.

Mbili utajifunza kuhusu zama tunazoishi sasa, zama za maarifa na taarifa lakini ambazo zimegeuka kuwa zama za usumbufu.

Utajifunza zama hizi za usumbufu zimetengeneza makundi makubwa mawili, wachache wanaonufaika sana, kama Mark Zuckerberg ambaye ni mmiliki wa Facebook na wengi ambao ni kama watumwa wa wachache hao wanaonufaika.

Tatu utajifunza jinsi ya kujua kama tayari umeshanasa na kuwa mtumwa wa teknolojia hizo mpya. Unaposoma hapa unaweza kusema wewe hujawa mtumwa, unatumia kwa kupanga mwenyewe, lakini nikuambie kitu kimoja, kwa sehemu kubwa sana umeshakuwa na utaziona dalili kwa kusoma kitabu hiki.

Nne utajifunza jinsi ya kuondoka kwenye utumwa wa kidijitali ambao umeshaingia.

Baada ya kuona jinsi ambavyo umenasa kwenye utumwa huo, utajifunza njia za kujinasua. Hapa utajifunza jinsi ya kuizidi ujanja simu janja yako.

Tano utajifunza falsafa mpya ya kuendesha maisha yako kwa uhuru katika zama hizi za usumbufu. Pamoja na kujifunza kuhusu zama hizo na jinsi ya kuondokana na utumwa wake, usumbufu wake hautaisha, teknolojia mpya zinaendelea kugunduliwa kila siku na zikiwa na ushawishi mkubwa.

Hivyo unahitaji kuwa na falsafa unayoitumia kuchagua huduma za kidijitali utakazochagua kutumia kwa manufaa yako.

Sita utajifunza jinsi ya kutumia akili yako kuvunja uraibu wowote ambao umeshajijengea. Kama tulivyoona, huduma za kidijitali zinatumia jinsi ubongo unavyofanya kazi kukuingiza kwenye utumwa. Hivyo wewe unapaswa kuutumia ubongo wako vizuri kuondoka kwenye utumwa huo.

Saba utajifunza sababu kumi kwa nini unapaswa kuondoka kwenye mitandao yote ya kijamii sasa hivi. Hizi ni sababu ambazo zimechambua jinsi matumizi ya mitandao ya kijamii yalivyo na athari kwenye akili yako, utulivu wako, mahusiano yako, uchumi wako na hata imani yako.

Kwa kuzijua sababu hizi kumi, utajionea mwenyewe jinsi ulivyorudi nyuma tangu umeanza kutumia mitandao hiyo na hivyo kuachana nayo ili kuepuka madhara yake.

Mwisho kabisa utajifunza njia za kutumia kufanya maamuzi iwapo utumie huduma ya kidijitali. Utajifunza jinsi ya kutumia vigezo vitatu vya AFYA, UTAJIRI na HEKIMA katika kuchagua na kutumia teknolojia mpya, ambazo zitakuwa na manufaa kwako badala ya kukufanya mtumwa.

Tuko kwenye vita, adui mkuu anajua yuko vitani ila wanaolengwa hawajui.

Hivyo unapaswa kuwa na maandalizi mazuri ya kupambana na vita hii ili uweze kutoka salama na siyo kuwa mfungwa.

Pata na usome kitabu cha EPUKA UTUMWA WA KIDIJITALI ili upate mbinu za kupambana kwenye vita hii na kutoka ukiwa mshindi. Kitabu hiki kimechapwa kwa nakala ngumu (hardcopy).

Kitabu kinauzwa TSH elfu 20 (20,000/=) na ili kukipata wasiliana na 0752 977 170 na utaletewa au kutumiwa kitabu popote ulipo Tanzania na Afrika Mashariki.

MUHIMU; Kama utanunua na kusoma kitabu hiki na ukaona hakina manufaa yoyote kwako, unaruhusiwa kukirudisha na ukarejeshewa fedha zako. Hivyo chukua hatua sasa, huna cha kupoteza lakini una mengi ya kupata, yatakayokuweka huru kwenye zama tunazoishi sasa.
 
Back
Top Bottom