kokudo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 2,546
- 1,667
Unatafuta camera Ipi mkuuWauza camera hawapo hum?
Unatafuta camera Ipi mkuuWauza camera hawapo hum?
Dawa gani unataka?Dawa za nywele za bei ya kiwandan napata wapi? Kama zile tinazonunuaga kariakoo kwenye Maduka. I'm sure wanapaa kwa bei rafiki zaidi
Ushapata mtu wa kufanya display dukani kwako?Natafuta MTU anayeweza kunipangia/kuweka mpangilio mzuri na unaoeleweka WA bithaa za kwenye min market dukani akiwa Dodoma itapendeza zaidi.
Nitaomba tutafutane DM
Endelea kuwa mvumilivuAisee humu sijawahi Kuona connection ya biashara zaidi ya matangazo ya biashara .
Hapo ni sawa na kusubiri meli iweke nanga airport.Endelea kuwa mvumilivu
Itakua watu hawakumuelewa mleta threadHapo ni sawa na kusubiri meli iweke nanga airport.
Nikon yeyote ya bei cheeUnatafuta camera Ipi mkuu
IPO canon d750Nikon yeyote ya bei chee
Mkuu habari yako na mimi naitaji connection ya kuuza mahindi hayo niko nayo
nipe no inbox nikuunganishe na mkulimakwema wadau,mwenye connection ya maboga lishe (butternut) kutoka arusha tujulishane
Mkuu habari yako mimi nina dagaa wanyama hao njoo ufanye biashara.wapi nitapata dagaa wa zanzibar waliokatwa vichwa au maarufu kama dagaa wa nyama kwa bei ya jumla na mm nikauze. wajuzi mnijuze chimbo
Mkuu habari yako hizo mbao ziko wapi mkuu mimi nina wanunuzi wa hizo mbao. Ebu fanya kunipa mawasiliano tufanye biashara mkuu...Mimi nina mbao ngumu za mninga na mkurungu nina kibali cha Serikali cha kuvuna miti ya asili , naomba konekisheni
Upo wap mkuuMimi nina mbao ngumu za mninga na mkurungu nina kibali cha Serikali cha kuvuna miti ya asili , naomba konekisheni