JEKI
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 4,845
- 2,938
Ukifanikiwa naomba sample yako nione.Natafuta fundi anaeweza kutengeneza vile vibanda vya coffee shop movable
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukifanikiwa naomba sample yako nione.Natafuta fundi anaeweza kutengeneza vile vibanda vya coffee shop movable
Nasikia Lindi kilo moja ya mbaazi ni 100 tu.habri wakuu, nilikuwa naulizia anayejua kwa sasa mbaazi zinapatikana wapi kwa wingi na bei yake ikoje?
Ahsante Mkuu nimekupataWapi hiyo mkuu, tuchekiane PM
Hapana.Umewapata?
Lakini mkuu maduka ya mitumba nayajua M/mmoja kama upo Dar naweza kupeleka tukafanye uchunguzi maana mimi natamani mabaloo ya shati grade 1.Hapana.
Kwa sasa nipo Moro mkuu, siku nikija nitakutaarifu twende. Nilipewa hints kuwa baloo la silk/shifoni kilo 45 ni 400k mpaka 450k na kilo 90 ni 700k-850k.Lakini mkuu maduka ya mitumba nayajua m/mmoja kama upo Dar naweza kupeleka tukafanye uchunguzi maana mi natamani mabaloo ya shati grade 1
Nikumbushe juu ya huu ujumbe.
Mkuu nifanyeje nipate kinafasi cha kuweka meza ya machinga Kariakoo.Mwenye duka la viatu kkoo mimi nachukua mzigo nauzia kwenye meza yangu tunagawana faida au tuelewane jinsi ya kulipana
Unazo?Unataka kununua karanga boss?
Eneo ukiwa na pesa unaongea na wana unapata mkuuMkuu nifanyeje nipate kinafasi cha kuweka meza ya machinga kariakoo
Duh kumbe kuna watu wanapangisha hizo open spaces. Dar ni hatariEneo ukiwa na pesa unaongea na wana unapata mkuu
Kaka mtu anauziwa open mpka 1ml kukodi 40 per month usicheze kbsDuh kumbe kuna watu wanapangisha hizo open spaces. Dar ni hatari
Zanzibar unaletaMimi natafuta connection ya kuuza Mchele kuanzia kiwango cha kwanza 1500, kiwango cha pili 1300,pia kwa anaehitaji chenga mchele zipo, napatkana Igunga Tabora, mawasiliano 0789235822View attachment 1545478
sterio na mabibo wapi bei nafuu?mkuu u hali gani, binafri sina nazi ila ka upo dar es salaam unaweza fika soko la sterio na ukapata japo kwa bei nafu kiasi chake japo haitofanana moja kwa moja na ya shamba
Zanzibar bei ya mchele ikoje?Zanzibar unaleta
Nipigie au tuma sms nione namba yako tuyajenge, naweza kuleta ndioZanzibar unaleta