King Sae
JF-Expert Member
- Mar 22, 2018
- 2,833
- 5,346
Balaa gani hlo mkuu....ziandike apa huenda tukashawishika.ni hivo hivo mkuuu. Hizi earphones zina balaa lake
Kama znatoa pipi...au chakula sema tuu
Balaa gani hlo mkuu....ziandike apa huenda tukashawishika.ni hivo hivo mkuuu. Hizi earphones zina balaa lake
Naomba npate connection na ya biashara ya viatu na urembo kwa mtu alyeko dar es salaam
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka connection ya eneo au viatu?Nina eneo karume sina mtaji ukipata naomba uniunganishie mkuu tupate wote
Nina eneo sina mtaji hivyo nahitaji viatu ( eneo la kuviuzia ninalo mkuu)
Anza as middle man unadamka asubuhi unaenda kuuza wanaofungua bellos,i hope utapata viatu vinavyobakia wakikuaminiNina eneo sina mtaji hivyo nahitaji viatu ( eneo la kuviuzia ninalo mkuu)
Hahhahaa ukiona Bei huielewi jua sio league yako Bora uachane nayo kiroho safi na mapema...😀😀Balaa gani hlo mkuu....ziandike apa huenda tukashawishika.
Kama znatoa pipi...au chakula sema tuu
Ahahaaa league ndogo Sana hzo....sema muuzaji anazingua vtu kama hvyo una weka wazi iwe fahari ya macho wengne tunavutiwa kwa kuona na specifications ya kitu.Hahhahaa ukiona Bei huielewi jua sio league yako Bora uachane nayo kiroho safi na mapema...😀😀
Wauzaje kiloNina tani 30 za soya natafuta mteja ,anayehitaji aje tuyajenge
mkuu u hali gani, binafri sina nazi ila ka upo dar es salaam unaweza fika soko la sterio na ukapata japo kwa bei nafu kiasi chake japo haitofanana moja kwa moja na ya shambaNatafuta anayeuza nazi kwa bei ya shamban niwe najumua mzigo kwake.
Stereo, wanauzaje nazi mkuumkuu u hali gani, binafri sina nazi ila ka upo dar es salaam unaweza fika soko la sterio na ukapata japo kwa bei nafu kiasi chake japo haitofanana moja kwa moja na ya shamba
bei hutofautiana kulinganana na size, kiwango cha ubora, pia na siku ni vyema ukafika ka unaweza kufika na utapata bei sahihi kulingana na siku hiyoStereo, wanauzaje nazi mkuu
Aasante nimeidakaMkuu search kwenye mtandao kampuni ya Yara Milla wana mbolea kila aina, kampuni kubwa sana unaweza kupata uwakala kwao.
Kama ulipewa naomba piaMkuu nami nahitaji hii kitu kama inawezekana nipatie link za hayo magroup
Mimi Nahitaji connection ya kupata Mabelo ya Nguo za mtumba hasa Nguo zinazozuia Baridi .
Nina eneo la kuuzia viatu ila sina mtaji unanisaidiaje niwe wakala nikiuza tunagawana faidaNina-import viatu vya kike, nguo za watoto, mikoba na perfumes kutoka UTURUKI.
1. Viatu vya kumwaga (vya kupiga debe).
2. Viatu vya dukani.
3. Magauni ya watoto.
4. Mikoba na Mabegi
5. Chupi, Chupi na Brah na Night dress.
6. Perfume na Perfume Oils
Ninapatikana Tandika, Mtaa Chihota.
Nauza kwa jumla na rejareja.
Karibuni wakuu wana JF tufanye biashara
Mkuu mabalo ya mashati grad 1 yanapatikana kwa bei ganiUlipaata msaada wa kuhusu mabalo na wengine pia wenye shida hizo wanaweza niuliza ni vizuri ukunifata Dm nikipata nafasi nitakusaidia
Wakuu natafuta connection ya wauza baloo za mitumba hasa hasa nguo za kike.
Nina eneo la kuuzia viatu ila sina mtaji unanisaidiaje niwe wakala nikiuza tunagawana faida
Mkuu unapatikana wapi?? Nami nataka nianze hiyo biashara.ntakutumia Boss wangu
Mkuu nitakutafuta.Je wahitaji viatu vya KIMASAI OG kwa jumla na reja reja bas usihofu
Tunauza viatu vya kimasai kwa bei ya kiwandani
Jumla ni shilingi 5000 tu
Reja reja ni shilingi 7000 tu
Tunapatikana mwenge na mikoani tunatuma bila shida yyte
Wasiliana nasi call/whatsap 0672904720
View attachment 1537747View attachment 1537748View attachment 1537749View attachment 1537750View attachment 1537751View attachment 1537752View attachment 1537753