Jmn na Mimi natafuta Connection ya kupata tenda ya kusupply bidhaa za chakula Kama Mahindi,Maharage,Mchele,Nyama ya Ng'ombe,Kuku,Samaki n.k Kama mtu una hotel,kiwanda, Shule,Taasisi na maeneo mengine yenye uhitaji mkubwa naomba unichek kwa no.hii 0738-665702.Pia natafuta mtu mzuri wa Masoko tusaidiane kwa kazi hi Malipo maelewano