Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Mm na asali mbichi lita za kutosha Bei zake
Lita moja 12000
Lita tano. 55000
Niko Dar es Salaam
Ukitaka zaid ya hapo pia unaweza pata
No 0746696878
 
Na
Mkuu kule nisha toka kuna shughuli tu nilienda kuzifanya kisha nikarejea.

Kuhusu msimu wa mavuno ni mwezi wa tatu na mwezi wa saba. Mwezi wa 3 huvuna mahindi na mwezi wa 7 huvuna maharagwe pamoja na mahindi.

Na kuhusu usafiri unapatikana maana huwa kuna magari yanaleta mizigo kutoka Dar es Salaam na kurudi na mizigo, kwahiyo kuhusu usafiri sio shida kabisa. Changamoto ipo kwenye barabara maana ni vumbi kutoka Songe, Kilindi mpka Handeni ama Kutoka Songe, Kilindi mpka Gairo. Changamoto inatokea hasa kipindi cha mvua
Na huu mwezi ujao wa sita kwa kule hakuna mavuno yyt ausio,Na je kwa kipindi hiki cha hili janga la Corona mpaka mwezi wasita ni wapi wana vuna kuweza ku changamkia Fursa,sa'bu kuna mtu ali pasifia sana Mlimba naww ukawa haupo nyuma kutupia mazuri ya kule 🙏
 
Na

Na huu mwezi ujao wa sita kwa kule hakuna mavuno yyt ausio,Na je kwa kipindi hiki cha hili janga la Corona mpaka mwezi wasita ni wapi wana vuna kuweza ku changamkia Fursa,sa'bu kuna mtu ali pasifia sana Mlimba naww ukawa haupo nyuma kutupia mazuri ya kule 🙏
mlimba kuvuna washaanza tangu mwezi wa tatu mahindi ,mwezi huu wameanza kuvuna mpunga watamaliza mwezi wa Saba, kuhusu usafiri labda utumie treni magari barabara ni changamoto kipindi hiki labda baada ya mwezi jua liwake wake
 
mlimba kuvuna washaanza tangu mwezi wa tatu mahindi ,mwezi huu wameanza kuvuna mpunga watamaliza mwezi wa Saba, kuhusu usafiri labda utumie treni magari barabara ni changamoto kipindi hiki labda baada ya mwezi jua liwake wake
Ok sawasawa,so mpaka sasa wana endelea na mavuno? Na je kwa swala la mpunga au mchele km kule barabara ni changamoto je kwa Ifakara au huko Mlimba wapi unaweza kupiga bao vzr>>> ww ndio Damian J ulio leta hii taarifa ya mlimba,nadhani Ifakara pia utakua una ijua kwa swala hili la Nafaka.
 
Kwa ifakara sifahamu sijawahi kutembelea huko ila huku mlimba barabara ipo kwenye matengenezo maana kunakipande kilijaa tope
Ok sawasawa,so mpaka sasa wana endelea na mavuno? Na je kwa swala la mpunga au mchele km kule barabara ni changamoto je kwa Ifakara au huko Mlimba wapi unaweza kupiga bao vzr>>> ww ndio Damian J ulio leta hii taarifa ya mlimba,nadhani Ifakara pia utakua una ijua kwa swala hili la Nafaka.
 
Mkuu kule nisha toka kuna shughuli tu nilienda kuzifanya kisha nikarejea.

Kuhusu msimu wa mavuno ni mwezi wa tatu na mwezi wa saba. Mwezi wa 3 huvuna mahindi na mwezi wa 7 huvuna maharagwe pamoja na mahindi.

Na kuhusu usafiri unapatikana maana huwa kuna magari yanaleta mizigo kutoka Dar es Salaam na kurudi na mizigo, kwahiyo kuhusu usafiri sio shida kabisa. Changamoto ipo kwenye barabara maana ni vumbi kutoka Songe, Kilindi mpka Handeni ama Kutoka Songe, Kilindi mpka Gairo. Changamoto inatokea hasa kipindi cha mvua
Umechanganya madesa huyu ana taka umpe taarifa za Mlimba kilombero Morogoro wewe umempa taarifa za Kilindi Tanga
 
Kama kichwa cha habari kinavyo someka ningependa uzi huu uwe maalum kwa kupeana connection mbalimbali za biashara. Biashara bila connection unaweza fanya bila mafanikio, hivyo basi ni vizuri tupeane connection mbalimbali za biashara.

Uzi huu utumike kuwakutanisha watu mbalimbali katika biashara tofauti tofauti na mwisho wa siku kupeana connection za biashara kutokana na ombi la muhusika. Wapo watu mbalimbali Katika duniani hii wana mitaji mizuri tu lakini kutokana na kuto kuwa na connection wametulia na mitaji yao. Hivyo basi uzi huu uwe msaada kwao.

Elezea unahitaji connection ipi katika biashara kisha subiri kupewa connection na wahusika katika biashara hiyo. Lengo ni kusaidiana na si vinginevyo. Tuweke roho mbaya pembeni kisha tuungane pamoja katika gurudumu la maendeleo.

Wadau karibuni katika uzi huu tupeane connection za biashara.
Nauza Soya Lishe kilo sh. 1,400 ipo Iringa mjini. Mwenye kuhitaji anicheki PM
 
Back
Top Bottom