Umomi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 677
- 983
Mi huwa ni utan tu jmn, wakat mwingine unakuta nmejikalia zangu naanza kuwaza ujinga tyuAhahh kaileta kweny hui uzi! Huyu atajicontrol mwenyewe akikua aisee!sasa hivi mwili unachemkaa
Mi huwa ni utan tu jmn, wakat mwingine unakuta nmejikalia zangu naanza kuwaza ujinga tyuAhahh kaileta kweny hui uzi! Huyu atajicontrol mwenyewe akikua aisee!sasa hivi mwili unachemkaa
Ndo maana nilikua wewe bado mtoto sana sanaMi huwa ni utan tu jmn, wakat mwingine unakuta nmejikalia zangu naanza kuwaza ujinga tyu
Mkuu kama upo kanda ya ziwa yan Mwanza, Simiyu, Shinyanga geita na Mara isipo kuwa Kagera njoo nikupe mchongo huo utakuja kunishukuruMwenye connection ya soko au sehemu nzuri ambapo MANANASI yanauzika sana na kuna mzunguuko mkubwa wa watu, anicheki tuyajenge.
Mimi ni nafahamu sehemu yanapopatikana kwa wingi na uhakika kipindi cha msimu.
Pia mimi ninamashamba yangu hivyo tutafanya sana biashara tukishirikiana..
Wassalam!!
Mkuu mie siyo mtoto hakunaga kaz ambayo haina utani, yan ww muda wote unataka tuongelee hela tu. Na utani mara moja moja ili maisha yaende kiulani na ukiwa na fweza mkuu tumia piga hata Konyagi ili akili ikaye goodNdo maana nilikua wewe bado mtoto sana sana
Mkuu mie siyo mtoto hakunaga kaz ambayo haina utani, yan ww muda wote unataka tuongelee hela tu. Na utani mara moja moja ili maisha yaende kiulani na ukiwa na fweza mkuu tumia piga hata Konyagi ili akili ikaye good
Mkuu nanasi geita?Mkuu kama upo kanda ya ziwa yan Mwanza, Simiyu, Shinyanga geita na Mara isipo kuwa Kagera njoo nikupe mchongo huo utakuja kunishukuru
Humu kuna mbwembwe hatari mtu kaweka uzi wake huku mavhozi yakimlengalenga. "Eti ndo kubwa bei gani?"
Geita ndipo kuna mananas mkuu ila ukiyaleta huku mwanza yan utapga pesa sanaMkuu nanasi geita?
Ohh sawaGeita ndipo kuna mananas mkuu ila ukiyaleta huku mwanza yan utapga pesa sana
Karibu sana ukipita mzigo unishitue nikupe kiportion cha kuuzia pale milongo mkuuOhh sawa
😄😄😄! Sina hizo deals mkuu! Nilishapita hizo level! Asante!Karibu sana ukipita mzigo unishitue nikupe kiportion cha kuuzia pale milongo mkuu
Hahahahahah! Nipe deal za level za juu bac mkuu! Sina hizo deals mkuu! Nilishapita hizo level! Asante!
Sina mkuu nipo tu napiga misele...sikumanisha hivyo..nilimanisha nilishapita huko, ! We pambana majimama yanakusubiri😉Hahahahahah! Nipe deal za level za juu bac mkuu
yako wapi?Natafuta wanunuzi wa ma-limao
mkuu nliifanya hii mwanzoni mwa mwaka huu ila Bei ya sokoni dar haikuwa good kivilee,..nkaacha kwanza vipi Kama kisiwani Bei Ni hiyo sokoni inatembeaje kwa kilo?Ok wapo wengi sana mkuu ni wewe. Tena kwa leo debe linauweza uzwa kwa Tsh 6000 mpaka 8000. Fanya mpango nikutumie leo
hahaah labda hujamwelewa,anataka umfanyie dili la kumwelekeza sehemu ambayo majimama yanapatikanaSina mkuu nipo tu napiga misele...sikumanisha hivyo..nilimanisha nilishapita huko, ! We pambana majimama yanakusubiri😉
Papaa ww si upo Mlimba? Hebu nambie msimu wa mavuno ni miezi ipi na usafiri upoje,maskia barabara ni changamoto na je Tren vp ina lipa?Naam wanalima sana, zile nanasi unakula ukiwa Mwanza zinatokea huko.