Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,007
- 13,799
Ulitaka zipi kiongozi madini au
Ulitaka zipi kiongozi madini au
Njoo mlimba Kuna Kijiji kinaitwa idui Kuna kuku Hadi wa elfu tano
Mkoa gan
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ni kweli biashara ya mazao esp. Michele uzuri Tazara imepita hapo unaweza transport mzigo paka DSM that day nauli kwa kiroba cha mchele 100kg ilikuwa 8000 itakuwa HVO paka sa HV I guessNina Kama wiki tatu huku Kuna fursa nyingi sana upande wa biashara ya mazao mchawi mtaji tu
Unahitaj vipodoz kuna connection ya body spray upo
Ndugu yangu hapa mjini bila connection utaula wa chuya!..
Karanga unauzaje?Konekshen ya uuzaji au kilimo cha karanga na mpunga kati ya tabora na morogoro
Sent using Jamii Forums mobile app
Natafuta connection ya biashara ya mbao
@YoungJigger
Mkuu nipo MbinguSio ifakara ila ni mji mdogo katika wilaya ya kilombero huku kwanza mashamba ni Bei nafu unapata 200000 kwa hekali tena vijiji vyake vina umeme vile vile ardhi inakubali kila aina ya mazao mpunga gunia unapata kwa 50000 vilevile Kuna kilimo cha ufuta afu Kuna mazao ya mboga mboga nyanyachungu wanauza debe 5000 na Kuna wakulima wengi wa ndizi ndizi tunazonunuaga dar 250 mojahuku mkungu unapata kwa1500 Kijiji Cha mbingu afu Kwenye mavazi wanauziwa Bei kubwa lakini wananunua afu ukiwa na mashine ya kupukuchua mahindi unapiga sana pesa Kuna jamaa anayo anawakusanya sana
Natafta eneo zuri la kufanya biashara ya mishkaki mwanza
Wenyeji nisaidieni plz.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenye kujua soko la ulanga au (mica) aje tupeane mchongo.Kama kichwa cha habari kinavyo someka ningependa uzi huu uwe maalum kwa kupeana connection mbalimbali za biashara. Biashara bila connection unaweza fanya bila mafanikio, hivyo basi ni vizuri tupeane connection mbalimbali za biashara.
Uzi huu utumike kuwakutanisha watu mbalimbali katika biashara tofauti tofauti na mwisho wa siku kupeana connection za biashara kutokana na ombi la muhusika. Wapo watu mbalimbali Katika duniani hii wana mitaji mizuri tu lakini kutokana na kuto kuwa na connection wametulia na mitaji yao. Hivyo basi uzi huu uwe msaada kwao.
Elezea unahitaji connection ipi katika biashara kisha subiri kupewa connection na wahusika katika biashara hiyo. Lengo ni kusaidiana na si vinginevyo. Tuweke roho mbaya pembeni kisha tuungane pamoja katika gurudumu la maendeleo.
Wadau karibuni katika uzi huu tupeane connection za biashara.
Iyo kilo 100 mchele wanauzajeNi kweli biashara ya mazao esp. Michele uzuri Tazara imepita hapo unaweza transport mzigo paka DSM that day nauli kwa kiroba cha mchele 100kg ilikuwa 8000 itakuwa HVO paka sa HV I guess
Wakukaanga au wale wa michanga?Anaehitaji connection ya soko LA dagaa wa Mwanza kuuza jumla karib PM
Sent using Jamii Forums mobile app