mjusilizard
JF-Expert Member
- Nov 7, 2019
- 923
- 1,586
Natafuta connection ya uandishi wa makala za mitandaoni ama za hard copy, mada yoyote, au kuandikia website za masuala mbalimbali, 0718829826. kwa kizungu naita Content Writing.
Kuku hao ni saiz ya kuliwa au wadogo iyo bei
Mie sina kibali, kibali anacho mwenye gari. Kuna sehem tu ndio wanasumbua kibali nacho ni Ifakara, kwingine hakuna!Wangari Maathai njoo huku tafadhali
Funguka mkuu fursa za huko MlimbaNina Kama wiki tatu huku Kuna fursa nyingi sana upande wa biashara ya mazao mchawi mtaji tu
Nina Kama wiki tatu huku Kuna fursa nyingi sana upande wa biashara ya mazao mchawi mtaji tu
Nina Kama wiki tatu huku Kuna fursa nyingi sana upande wa biashara ya mazao mchawi mtaji tu
Mie sina kibali..kibali anacho mwenye gari...! Kuna sehem tu ndo wanasumbua kibali nacho ni Ifakara ..kwingine hakuna !
So km anaweza anapiga picha kibali cha mwenye gari kwa whtsap anakua anatembea nacho!
UNAPRINT AU UNATOA KOPI MKUU!!!My dear kwa serikali hii utembee na picha ya kibali kweli.!!!??
Sio ifakara ila ni mji mdogo katika wilaya ya kilombero huku kwanza mashamba ni Bei nafu unapata 200000 kwa hekali tena vijiji vyake vina umeme vile vile ardhi inakubali kila aina ya mazao mpunga gunia unapata kwa 50000 vilevile Kuna kilimo cha ufuta afu Kuna mazao ya mboga mboga nyanyachungu wanauza debe 5000 na Kuna wakulima wengi wa ndizi ndizi tunazonunuaga dar 250 mojahuku mkungu unapata kwa1500 Kijiji Cha mbingu afu Kwenye mavazi wanauziwa Bei kubwa lakini wananunua afu ukiwa na mashine ya kupukuchua mahindi unapiga sana pesa Kuna jamaa anayo anawakusanya sana.
Mkuu hebu funguka zaidi hizo fursa ulizo ziona huko
Sio ifakara ila ni mji mdogo katika wilaya ya kilombero huku kwanza mashamba ni Bei nafu unapata 200000 kwa hekali tena vijiji vyake vina umeme vile vile ardhi inakubali kila aina ya mazao mpunga gunia unapata kwa 50000 vilevile Kuna kilimo cha ufuta afu Kuna mazao ya mboga mboga nyanyachungu wanauza debe 5000 na Kuna wakulima wengi wa ndizi ndizi tunazonunuaga dar 250 mojahuku mkungu unapata kwa1500 Kijiji Cha mbingu afu Kwenye mavazi wanauziwa Bei kubwa lakini wananunua afu ukiwa na mashine ya kupukuchua mahindi unapiga sana pesa Kuna jamaa anayo anawakusanya sana
Bei ya viwanja huko ikojeSio ifakara ila ni mji mdogo katika wilaya ya kilombero huku kwanza mashamba ni Bei nafu unapata 200000 kwa hekali tena vijiji vyake vina umeme vile vile ardhi inakubali kila aina ya mazao mpunga gunia unapata kwa 50000 vilevile Kuna kilimo cha ufuta afu Kuna mazao ya mboga mboga nyanyachungu wanauza debe 5000 na Kuna wakulima wengi wa ndizi ndizi tunazonunuaga dar 250 mojahuku mkungu unapata kwa1500 Kijiji Cha mbingu afu Kwenye mavazi wanauziwa Bei kubwa lakini wananunua afu ukiwa na mashine ya kupukuchua mahindi unapiga sana pesa Kuna jamaa anayo anawakusanya sana
Sio ifakara ila ni mji mdogo katika wilaya ya kilombero huku kwanza mashamba ni Bei nafu unapata 200000 kwa hekali tena vijiji vyake vina umeme vile vile ardhi inakubali kila aina ya mazao mpunga gunia unapata kwa 50000 vilevile Kuna kilimo cha ufuta afu Kuna mazao ya mboga mboga nyanyachungu wanauza debe 5000 na Kuna wakulima wengi wa ndizi ndizi tunazonunuaga dar 250 mojahuku mkungu unapata kwa1500 Kijiji Cha mbingu afu Kwenye mavazi wanauziwa Bei kubwa lakini wananunua afu ukiwa na mashine ya kupukuchua mahindi unapiga sana pesa Kuna jamaa anayo anawakusanya sana
Nikirudi nataka niitafute hiyo mashine vijijini ni dili sana.Hiyo mashine ya kupukuchua mahindi umenikumbusha sehemu moja wilayani kilindi kuna jamaa ana hiyo mashine aisee jamaa anasepa na kijiji balaa. Ujue kule kilindi, Tanga wanalima mahindi sijapata kuona watu wanalima balaa ukiwa na mashine hiyo hasa kipindi hichi utawakusanya watu balaa. Labda ushidwe ww tu
Mlimba mjini laki tano mpaka milioni nakuendelea inategemeana na ukubwa wa kiwanja vijiji vingi nilivyotembelea wanauza kwa laki mbilinahamsini mpaka tatu kiwanja Cha 30 kwa 40.
Saved!Sio ifakara ila ni mji mdogo katika wilaya ya kilombero huku kwanza mashamba ni Bei nafu unapata 200000 kwa hekali tena vijiji vyake vina umeme vile vile ardhi inakubali kila aina ya mazao mpunga gunia unapata kwa 50000 vilevile Kuna kilimo cha ufuta afu Kuna mazao ya mboga mboga nyanyachungu wanauza debe 5000 na Kuna wakulima wengi wa ndizi ndizi tunazonunuaga dar 250 mojahuku mkungu unapata kwa1500 Kijiji Cha mbingu afu Kwenye mavazi wanauziwa Bei kubwa lakini wananunua afu ukiwa na mashine ya kupukuchua mahindi unapiga sana pesa Kuna jamaa anayo anawakusanya sana
Ndugu yangu hapa mjini bila connection utaula wa chuya😄!..My dear kwa serikali hii utembee na picha ya kibali kweli.!!!??