secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 15,527
- 29,161
Wasikukule wewe siyo, I'll take care of you so don't worry.Kuwa nao makini wasimle mkeo😁😁
Wasikukule wewe siyo, I'll take care of you so don't worry.Kuwa nao makini wasimle mkeo😁😁
Shusha ushuhuda... baada ya hapo inakuaje...Kuna muda hao boda boda wenyewe ndiyo wanatutaka sisi wake za watu, mimi sipendi kabisa mazoea nao maana siku mbili tu ukiwa unamuagiza unashangaa anaanza kukutongoza
Mzee wangu usiumie unajikaza kiume kuna mdau mwingine na yeye unakuta anapewa taarifa zako then wote mnaishi kwaNimepitia kwa demu wangu fulani aliniagiza nimpelekee mzigo fulani kutoka mjini, nikaenda na boda, nikakabidhi mzigo kisha nikaondika nae yule boda njiani akaniuliza yule mwanamke ni nani yako? Nikamwambia ni mke wangu mtarajiwa, akastuka! ..
Akauliza unasema kweli? Nikamjibu sitanii nasema ukweli.. akajibu daah!
Nikapata udadisi wa kumuuliza kulikoni mbona kama kuna jambo hakiko sawa?
Akaniambia bro! Kama ni kuoa achana nae, kama unamtumia endelea nae..
Sikumuelewa nikamuuliza kwanini? Akaniambia kwamba yule mwanamke ni mchumba wa daktari mmoja hivi wa hospitali ya rufaa, na pale home yeye ameshafika mara nyingi tu na wanafahamiana vyema na yule mwanamke.
Kabla hatujakaa sawa mwanamke akapiga kwenye simu ya boda akimuuliza vipi umeshamshusha huyo kaka, akamjibu ndio, mwanamke akamsihi boda asiseme chocchote kama wanajuana.
Walipomaliza maongezi boda akanieleza jinsi alivyoagizwa.
Nilimshukuru sana kwa kunisanua, lakini niliumia sana
😁😁😁ila weweWasikukule wewe siyo, I'll take care of you so don't worry.
Ndo hivyo bibie😁😁😁ila wewe
🤣🤣Nimepitia kwa demu wangu fulani aliniagiza nimpelekee mzigo fulani kutoka mjini, nikaenda na boda, nikakabidhi mzigo kisha nikaondika nae yule boda njiani akaniuliza yule mwanamke ni nani yako? Nikamwambia ni mke wangu mtarajiwa, akastuka! ..
Akauliza unasema kweli? Nikamjibu sitanii nasema ukweli.. akajibu daah!
Nikapata udadisi wa kumuuliza kulikoni mbona kama kuna jambo hakiko sawa?
Akaniambia bro! Kama ni kuoa achana nae, kama unamtumia endelea nae..
Sikumuelewa nikamuuliza kwanini? Akaniambia kwamba yule mwanamke ni mchumba wa daktari mmoja hivi wa hospitali ya rufaa, na pale home yeye ameshafika mara nyingi tu na wanafahamiana vyema na yule mwanamke.
Kabla hatujakaa sawa mwanamke akapiga kwenye simu ya boda akimuuliza vipi umeshamshusha huyo kaka, akamjibu ndio, mwanamke akamsihi boda asiseme chocchote kama wanajuana.
Walipomaliza maongezi boda akanieleza jinsi alivyoagizwa.
Nilimshukuru sana kwa kunisanua, lakini niliumia sana
Hapo upo seriously kabisa yaaniNdo hivyo bibie
Bila shaka yoyote.Hapo upo seriously kabisa yaani
HayaBila shaka yoyote.
Pole sanaNimepitia kwa demu wangu fulani aliniagiza nimpelekee mzigo fulani kutoka mjini, nikaenda na boda, nikakabidhi mzigo kisha nikaondika nae yule boda njiani akaniuliza yule mwanamke ni nani yako? Nikamwambia ni mke wangu mtarajiwa, akastuka! ..
Akauliza unasema kweli? Nikamjibu sitanii nasema ukweli.. akajibu daah!
Nikapata udadisi wa kumuuliza kulikoni mbona kama kuna jambo hakiko sawa?
Akaniambia bro! Kama ni kuoa achana nae, kama unamtumia endelea nae..
Sikumuelewa nikamuuliza kwanini? Akaniambia kwamba yule mwanamke ni mchumba wa daktari mmoja hivi wa hospitali ya rufaa, na pale home yeye ameshafika mara nyingi tu na wanafahamiana vyema na yule mwanamke.
Kabla hatujakaa sawa mwanamke akapiga kwenye simu ya boda akimuuliza vipi umeshamshusha huyo kaka, akamjibu ndio, mwanamke akamsihi boda asiseme chocchote kama wanajuana.
Walipomaliza maongezi boda akanieleza jinsi alivyoagizwa.
Nilimshukuru sana kwa kunisanua, lakini niliumia sana
Ila we jamaa hapo mwisho umewaua sana wanangu wa Boda BodaKumbe mastori sio !?
Kuna brother mmoja kipindi cha nyuma alikuwa anasimamia kampuni ya wahindi sijui muhindi ,atajijua mwenyewe na usenge wake.Sasa kaka mkubwa kapanga nyumba ,nzima ana mke mmoja saafi .
Tatizo la kaka mkubwa alikuwa akipita maskani mikausho mikali na ujivuni mwingi.Kuna askari si akaanza kumtombea mke wake akitoka,akapewa taarifa akazipuuzia anadai anamuaminia wife.Siku hiyo askari kaingia boda wakamfata mpaka jobu akashuhudie makankasha.Baada ya hilo tukio kaka mkubwa kila alikuwa akipita lazima aache ulinzi.Sema boda nayo kazi ngumu yaani hulipwi mpaka upumuliwe kisogoni.
Hiyo ndio stori yangu ya leo.
Oiii.
Binafsi nawapa respect sana kuna jamaa niliwahi kumuachia Boda afanye biashara namna alikuwa anapambana na misuko suko na anasolve kwa hela ya Boda sikuamini na hapo ananiletea mpunga kama kawaida japo baadaye alizingua nikaachana kabisa na hii biashara.Boda wenye kujielewa ni kazi poa kwa hela ya maisha ya kawaida. Kuna wanaoendesha familia kwa kazi hii.
Kule Mgeta Moro milimani, asee ndo usafiri mkuu. Kuna mahali nauli ni 25,000!
Ila bonge la risk