uzi maalumu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Baba mtakatifu91

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu wa mkusanyiko wa vitabu vya zamani

    Wadau nimeona nianzishe uzi kwaajili ya kumbukumbu zetu. Sisi tuliosoma miongo mitatu iliyopita mtakumbuka baadhi ya vitabu ambavyo vilikuwa na masimulizi ya kuvutia yaliyobeba ujumbe kwaajili ya kuibadilisha jamii. Binafsi nilipenda kusoma kitabu cha darasa la 4 kilichojaa hadithi za...
  2. S

    JamiiForums Tanzania SPECIAL THREAD: Uzi maalumu kwa wapenzi wa usafiri wa anga

    Wakuu salaam, Huu ni uzi maalum kwa ajili ya kujadili na kupeana updates kuhusu usafiri wa anga, historia, na yajayo kwenye sekta hii. Karibuni sana wanazi wenzangu. === Kwa kuanza tuanze na story kubwa zaidi kwa sasa ambayo ni majaribio ya ndege aina ya Airbus 350-1000ULR. 1. Safari ya...
  3. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu wa maandamano 7/7

    Tunaanzia wapi wazee
  4. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu, MBUNGE Bora wako ni yupi? Mimi ni Baba Levo.

    Mi nshamaliza kwenye title
  5. Burn the bridge _Tz

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu kwa vijana wa kuomba kazi TAKUKURU

    Wakuu nafasi zimetoka 500 kwa bachelor na diploma naomba Uzi huu uwe maalumu kupeana abc za taratibu za kuomba ajira nk
  6. Loading failed

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu : Elezea kero unazo kumbana nazo / maoni yako kwa watoto walio zaliwa mwaka 2000 na kuendelea

    Ndugu zangu.. Uzi huu ni maalumu kwaajili ya kuelezea kero unazokumbana nazo kutoka kwa watoto waliozaliwa mwaka 2000 na kuendelea ,pia unatoa fursa ya kuweka maoni yako ni nini hasa kifanyike kuokoa kizazi hiki maarufu kama kizazi cha buku mbili ili kirudi kwenye maadili sahihi ukizingatia...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu wa kuagiza magari toka Japan na mikopo yake

    Habari Baada ya kuiona changamoto ambayo watu WENGI huipata wakiwa na uhitaji wa kuagiza magari nje ya nchi mbali mbali kama vile Japan China na marekani hususani kuhusu Bei za magari Kodi zake za tra na gharama zingine, nimeamua kuandaa Uzi huu makusud ili kuweza kusaidia wale wote WENYE...
  8. mwehu ndama

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu wa kumuambia chochote Lucas mwashambwa

    Katika Uzi huu naomba sote kwa pamoja tumuambie neno ndugu yetu Lucas Mwashambwa .Linaweza kua neno la faraja au lakufedhehesha ila kwa kifupi ujumbe ufike kwa ndugu yetu huyu kulingana na vile utakavowiwa
  9. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania GE2025 Uzi maalumu: Shuhuda mbalimbali uchakachuzi wa kura kutoka kwa Mwakala wa Uchaguzi

    GT Kinachoendelea ni maajabu ndugu zangu hakuna mtu kapiga kura nina shuhuda zifuatazo. 1. Dar tabata mawakala wamekimbia vituo.sa4 asubuhi hakukuwa na uchaguzi 2 Singida kituo kimoja waliojiandikisha 1000 waliopiga kura 50 wamepewa maelekezo wajaze 800. 3. Meatu huko kituo kimoja...
  10. Magayor Mongolian

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalumu wa kuwatag Keyboard warriors watupe mrejesho na kujikumbusha mikwara Yao humu

    Mzuka wana Jamvi ? Miezi kadhaa ilikuwa ukichungulia Jf na mitandao mingine Keyboard warriors kusema wameupiga mwingi sana kwa upande wa Kushambulia kupitia keyboard hatuwadai wameuwasha moto kisawasawa mpaka ikawa unadhani kama hawa ni Makamanda na nchi itaenda kukombolewa Tarehe 29 kama...
  11. Ertugrul Bey

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalumu Wa Video Za Kuelimisha

    Wapendwa hapa nitakuwa napost video mbali mbali ambazo zitakuwa na manufaa na kuelimisha mambo mbali mbali ya kila siku Leo tuanze na hii:
  12. X

    JamiiForums Tanzania UZI MAALUMU: Ballon d'Or

    Maisha hayana formula kabisa Hivi nani alitegemea eti siku moja Ousmane Dembélé au Lamine Yamal anaweza kutangulia kunyanyua tuzo kubwa ya Ballon d'Or kabla ya Mbappé Msimu huu ni mchuano mkali kati ya janja machachari Lamine Yamal na Ousmane Dembélé
  13. U

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu wa picha mbalimbali za Kijana tajiri na maarufu sana barani Afrika Wicknell Chivayo

    Moderator uache Uzi huu uwe huru Tafadhali, mdau weka picha yako
  14. britanicca

    JamiiForums Tanzania Mwendelezo wa 2018: Uzi maalumu: Rwanda wanavyotumia wadada warembo katika ujasusi wao

    Tanzania kuna viongozi zaidi ya 12 wameoa wanyarwanda na Mpaka mmoja amepewa tenda kubwa sana ya kusambaza Mpaka vifaa vya ulinzi IKAWA IJUMAA TAREHE 13/05/**** Nawarudisha nyuma Kidogo Tuna sababu za kuilinda nchi yetu, Kuna viongozi ambao wamepewa dhamana na kulijua jeshi letu kwa ndani ...
  15. jamaikatz

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu wa memes

    Uzi huu ni special kwa memes za picha na maandishi , karibuni
  16. Black nyeti

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu wa emoji tu🧢🧢🧢🧢

    Uzi huu ni wa emoji tu kuchati kwa emoji🐷🐷🐷🐷
  17. T

    JamiiForums Tanzania UZI MAALUMU KWA WALE TULIOWAHI KWENDA KWA WAGANGA WA KIENYEJI

    Je, wewe ulishawahi kwenda kwa waganga wa jadi?. Tupe baadhi ya visa ulivyokutana navyo huko kwa mganga/waganga wa jadi. Karibuni
  18. 1Africa54

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu wa kuchagua mkoa unao penda uishi 🤑😎 TUAMBIE ni mkoa gani unapenda uishi kwa sababu ya maslahi yapi

    Moja ya ndoto ya mwanadamu ni kuishi maisha mazuri yenye mafanikio amani pia Pia sehemu ya kuishi au mkoa ni Moja ya ndoto ya watu wengi kutokana na fursa za eneo Hilo ikiwemo Bata nyingi, hali ya maisha, huduma nzuri za JAMII nk Tuandukie APO CHINI KWENYE COMMENT SECTION unapenda ungeishi...
  19. Burn the bridge _Tz

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu kwa wahitimu wa chuo 2025

    Huu uzi unakutanisha wahitimu wa vyuo mbalimballi kujadili masuala tofauti kuhusu taaluma, ajira na kujiajiri. Njooni tupeane michongo, mawazo na ushauri kuhusu maisha baada ya kumaliza chuo Toa experience Toa maoni Toa mawazo yoyote kuhusu maisha baada ya kuhitimu chuo . Majobless...
  20. L

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalumu Kwa Ajili ya Matukio Yote Ya Uchukuaji na Urejeshaji wa Fomu Za Ubunge Kupitia CCM 2025.

    Ndugu zangu Watanzania, Nimeona niweke uzi huu uwe maalumu kwa ajili ya matukio yote ya uchukuaji na urejeshaji wa Fomu za Ubunge kupitia CCM Katika Majimbo yote Tanzania Bara. Hii itasaidia kufahamu nani na nani wamechukua Fomu sehemu Fulani. Lakini pia baadaye kutakuwepo na Uzi wa Majina...
Back
Top Bottom