second9
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 294
- 628
Part 1:
Hawa boda boda nilikuwa nawachukulia poa sana ila kuna siku jamaa alifanya jambo positive sana kwangu nikaona kumbe zile speed zao muda mwingine wanawahi kusave maisha ya watu.
Jamaa nilimuagiza apeleke dawa sehemu ambayo najua kwa gari huwa natumia 1hr na ikiwa public hata masaa 3. Ila huyu bwana nilipomwambia hii ni dose muhimu inatakiwa mgonjwa anywe asubuhi hii, nilishangaa home napigiwa simu after 20min wamepokea mzigo niliwaza sanaa. Ila ilibidi tu nimtumie na elfu 10 nyingine ya ziada yule bwana kwa risk aliyoichukua.
Part 2:
Nipo zangu nimechill home mara naona jamaa wa boda kwa dirishani amesimama muda mrefu maana nlisikia pikipiki ikiingia getini.
Ile nainuka niangalie vizuri nini kinaendelea naona wife wa jirani anatoka na pichu na vest anapokea mzigo ... daah hapa nimerudi tu kukaa na kuwakumbusha ndugu zangu mnapotoka home muwe mnasali maana vijana wanategwa sana na hawa kina mama sio kama wao ndio wanapenda wake za watu.
Kama unajambo lingine kuhusu hawa jamaa nakukaribisha hapo chini ... 🏍🏍
Hawa boda boda nilikuwa nawachukulia poa sana ila kuna siku jamaa alifanya jambo positive sana kwangu nikaona kumbe zile speed zao muda mwingine wanawahi kusave maisha ya watu.
Jamaa nilimuagiza apeleke dawa sehemu ambayo najua kwa gari huwa natumia 1hr na ikiwa public hata masaa 3. Ila huyu bwana nilipomwambia hii ni dose muhimu inatakiwa mgonjwa anywe asubuhi hii, nilishangaa home napigiwa simu after 20min wamepokea mzigo niliwaza sanaa. Ila ilibidi tu nimtumie na elfu 10 nyingine ya ziada yule bwana kwa risk aliyoichukua.
Part 2:
Nipo zangu nimechill home mara naona jamaa wa boda kwa dirishani amesimama muda mrefu maana nlisikia pikipiki ikiingia getini.
Ile nainuka niangalie vizuri nini kinaendelea naona wife wa jirani anatoka na pichu na vest anapokea mzigo ... daah hapa nimerudi tu kukaa na kuwakumbusha ndugu zangu mnapotoka home muwe mnasali maana vijana wanategwa sana na hawa kina mama sio kama wao ndio wanapenda wake za watu.
Kama unajambo lingine kuhusu hawa jamaa nakukaribisha hapo chini ... 🏍🏍