Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

FB_IMG_1632858989065.jpg


Sent from my SM-J810F using JamiiForums mobile app
 
Kiungo wa Roma Steven Nzonzi anakaribia kutua klabu ya Al Rayyan ya Qatari ambapo dirisha la usajili huko linafungwa Septemba 30 na mkataba wa kiungo huyo mfaransa mwenye umri wa miaka 32 unamalizika mwaka 2022. (Calciomercato - in Italian
 
Kiungo wa zamani wa Hispania Juan Mata, 33, anaangalia mustakabali wake kufuatia kukosa nafasi ya kucheza mara kwa mara Manchester United msimu huu. (Manchester Evening News)
 
Back
Top Bottom