Ze_Papirii
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 419
- 818
Habari za Asubuhi wanaJF huu ni uzi wetu maalumu kwa wale hustlers ambao tunaingia kwnye mishemishe asubuhi na mapema(kuanzia saa 12- 3 asubuhi).
Hapa tutakua tunatakiana kila la kheri na kuomba baraka za Mwenyezi Mungu kbla ya kuanza mishemishe zetu unaruhusiwa kucomment neno lolote la kupeana moyo na kutiana nguvu.
Hapa itapendeza kila siku asubuhi kbla ya kupita kwny uzi wwte wa JF ukapitia hapa kuandika chochote cha kutiana hamasa.
Lakini pia baada ya kazi ya siku husika unaeza ukapita hapa kutoa mrejesho na changamoto mbalimbali ulizokumbana nazo kwny siku husika kwny mishe zako lakini pia hata mazuri uliyokutana nayo..
Karibuni Sanaa Hustlers..
Hapa tutakua tunatakiana kila la kheri na kuomba baraka za Mwenyezi Mungu kbla ya kuanza mishemishe zetu unaruhusiwa kucomment neno lolote la kupeana moyo na kutiana nguvu.
Hapa itapendeza kila siku asubuhi kbla ya kupita kwny uzi wwte wa JF ukapitia hapa kuandika chochote cha kutiana hamasa.
Lakini pia baada ya kazi ya siku husika unaeza ukapita hapa kutoa mrejesho na changamoto mbalimbali ulizokumbana nazo kwny siku husika kwny mishe zako lakini pia hata mazuri uliyokutana nayo..
Karibuni Sanaa Hustlers..