JF Hustlers pita hapa kabla ya kuanza mishemishe za siku na baada ya kumaliza..

Ze_Papirii

JF-Expert Member
Oct 12, 2018
419
818
Habari za Asubuhi wanaJF huu ni uzi wetu maalumu kwa wale hustlers ambao tunaingia kwnye mishemishe asubuhi na mapema(kuanzia saa 12- 3 asubuhi).

Hapa tutakua tunatakiana kila la kheri na kuomba baraka za Mwenyezi Mungu kbla ya kuanza mishemishe zetu unaruhusiwa kucomment neno lolote la kupeana moyo na kutiana nguvu.

Hapa itapendeza kila siku asubuhi kbla ya kupita kwny uzi wwte wa JF ukapitia hapa kuandika chochote cha kutiana hamasa.

Lakini pia baada ya kazi ya siku husika unaeza ukapita hapa kutoa mrejesho na changamoto mbalimbali ulizokumbana nazo kwny siku husika kwny mishe zako lakini pia hata mazuri uliyokutana nayo..

Karibuni Sanaa Hustlers..
 
Habari za Asubuhi wanaJF huu ni uzi wetu maalumu kwa wale hustlers ambao tunaingia kwnye mishemishe asubuhi na mapema(kuanzia saa 12- 3 asubuhi).

Hapa tutakua tunatakiana kila la kheri na kuomba baraka za Mwenyezi Mungu kbla ya kuanza mishemishe zetu unaruhusiwa kucomment neno lolote la kupeana moyo na kutiana nguvu.

Hapa itapendeza kila siku asubuhi kbla ya kupita kwny uzi wwte wa JF ukapitia hapa kuandika chochote cha kutiana hamasa.

Lakini pia baada ya kazi ya siku husika unaeza ukapita hapa kutoa mrejesho na changamoto mbalimbali ulizokumbana nazo kwny siku husika kwny mishe zako lakini pia hata mazuri uliyokutana nayo..

Karibuni Sanaa Hustlers..
Rizki zipo miguuni,twendeni mahustlers tukapambane
 
Back
Top Bottom