Kiungo wa Roma Steven Nzonzi anakaribia kutua klabu ya Al Rayyan ya Qatari ambapo dirisha la usajili huko linafungwa Septemba 30 na mkataba wa kiungo huyo mfaransa mwenye umri wa miaka 32 unamalizika mwaka 2022. (Calciomercato - in Italian
Kiungo wa zamani wa Hispania Juan Mata, 33, anaangalia mustakabali wake kufuatia kukosa nafasi ya kucheza mara kwa mara Manchester United msimu huu. (Manchester Evening News)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.