Nesi mkunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 701
- 1,842
Hapa majuzi nilipata email kutoka shirika moja la Afya hapa Marekani jina kapuni kutokana na usiri( privacy) ya kimkataba na sheria ya hilo shirika na pia naweza kushitakiwa na then ninaweza kukosa madili mengi mengi ya hapa ya hapo ukimani kwenu
Kutokana na uzalendo wangu nimeamua kurudi Tanzania au hapo ukimani kwenu kuja kuwatumikia nyie kwenye shirika moja ambalo lipo chini kwa watu wa Marekani ila mshahara ni kiduvhu tu eti milioni 2 kwa mwezi aisee ila.kutoka na uzalendo wangu nimeona sio kesi ngja nije tu kuwatumia hapo kwenu ukimani
Kusema za ukweli nimetoka Tanzania kitambo kidogo naomba nipate mwenyeji wa kuniekekeza hapo kwwnu ukimani
Bye bye Chicago,.hodi Dar eSsalaam au ukimani
Kutokana na uzalendo wangu nimeamua kurudi Tanzania au hapo ukimani kwenu kuja kuwatumikia nyie kwenye shirika moja ambalo lipo chini kwa watu wa Marekani ila mshahara ni kiduvhu tu eti milioni 2 kwa mwezi aisee ila.kutoka na uzalendo wangu nimeona sio kesi ngja nije tu kuwatumia hapo kwenu ukimani
Kusema za ukweli nimetoka Tanzania kitambo kidogo naomba nipate mwenyeji wa kuniekekeza hapo kwwnu ukimani
Bye bye Chicago,.hodi Dar eSsalaam au ukimani