Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,833
Tulidhani ujio wa verified USER ID ya TANESCO italeta neema kwetu, kumbe ni bora isingeanzishwa.
Tulijua TANESCO wangekuwa wakitujulisha mambo mbalimbali ili tujiandae lakini wapi.
Leo tumeshindwa kununua umeme wa Luku, TANESCO wako kimya, wangeweza kabisa kutujulisha mapema kwamba tununue umeme kuna maboresho yanakuja ambayo yatasabibisha wateja wakose huduma.
TANESCO hapa wangeweza kuwa wanatoa taarifa mbalimbali, mathalani ratiba za mgao wa umeme lakini wako kimya
Juzi kuna member kasema Mwenge wamekosa umeme kwa masaa zaidinya 42, TANESCO hawakuona hata haja ya kulitolea ufafanuzi jambo hilo.
Sasa TANESCO kama nyie ni mabubu kuna haja gani ya kuwepo hapa jamvini?
You are useless
Tulijua TANESCO wangekuwa wakitujulisha mambo mbalimbali ili tujiandae lakini wapi.
Leo tumeshindwa kununua umeme wa Luku, TANESCO wako kimya, wangeweza kabisa kutujulisha mapema kwamba tununue umeme kuna maboresho yanakuja ambayo yatasabibisha wateja wakose huduma.
TANESCO hapa wangeweza kuwa wanatoa taarifa mbalimbali, mathalani ratiba za mgao wa umeme lakini wako kimya
Juzi kuna member kasema Mwenge wamekosa umeme kwa masaa zaidinya 42, TANESCO hawakuona hata haja ya kulitolea ufafanuzi jambo hilo.
Sasa TANESCO kama nyie ni mabubu kuna haja gani ya kuwepo hapa jamvini?
You are useless