Simba wakitumia Kirumba ata nafasi ya tatu hawapati.Ule uwanja una mapungufu mengi hata sijui ninani alipendekeza ,uhuru ni uwanja wa mazoezi sio ligi
Simba hawezi kwenda Kirumba, anauogopa balaa. Atakwenda kote ila sio kule. Yanga ndiyo uwanja wao.Ule uwanja una mapungufu mengi hata sijui ninani alipendekeza ,uhuru ni uwanja wa mazoezi sio ligi