Juma Ayo: Simba labda waombe uwanja wa CCM Kirumba Mwanza siyo Zanzibar

Labani og

JF-Expert Member
Sep 15, 2020
15,783
24,215
SIMBA WASIKUBALIWE KUTUMIA UWANJA WA AMAAN

Bodi ya Ligi isiruhusu hili Zanzibar Wana ligi yao na wanautumia huo uwanja kwenye michezo ya ligi kuu ya Zanzibar

Bado hakuna muungano kwenye michezo ndiyo maana Kuna wizara 2 huko Zanzibar na huku bara ,ndio maana michezo bado inazikutanisha timu za bara na Znz kwenye michuano mbalimbali.

Kanuni za Ligi kuu zinahitaji timu kutumia uwanja au viwanja vilivyoanishwa na kukaguliwa na kamati ya leseni ya vilabu kwa Tanzania bara.
Nani atavisafirisha klabu kutoka huku Bara kwenda Zanzibar? Gharama za kuishi huko?

Tuache masihara na ligi .....Simba wachague hata Kirumba lakini sioni mantic ya kuomba mechi kwenda Zanzibar

Je mapato ya FA itachukuliwa na ZFF au TFF?

Ameandika Juma Ayo kuhusu klabu ya Simba kutaka kutumia uwanja wa New Amaan Zanzibar.

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Wivu una msumbua.

kuna timu moja ya taifa Stars hivyo kuna muunganiko.
Gharama za Club kwenda Zanzibar ni sawa na gharama za kwenda kuwafuata Mashujaa Kigoma..
Bodi ya ligi ita enda kukagua uwanja wa Amaan ikiona una faa utumike

Mapato watachukua wamiliki wa uwanja , ZFF, TFF na Timu washiriki.. kama ilivyo Azam complex .
 
Wivu una msumbua.

kuna timu moja ya taifa Stars hivyo kuna muunganiko.
Gharama za Club kwenda Zanzibar ni sawa na gharama za kwenda kuwafuata Mashujaa Kigoma..
Bodi ya ligi ita enda kukagua uwanja wa Amaan ikiona una faa utumike

Mapato watachukua wamiliki wa uwanja , ZFF, TFF na Timu washiriki.. kama ilivyo Azam complex .
Anamaansha kuwa...nao Wana ligi yao

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
SIMBA WASIKUBALIWE KUTUMIA UWANJA WA AMAAN

Bodi ya Ligi isiruhusu hili Zanzibar Wana ligi yao na wanautumia huo uwanja kwenye michezo ya ligi kuu ya Zanzibar

Bado hakuna muungano kwenye michezo ndiyo maana Kuna wizara 2 huko Zanzibar na huku bara ,ndio maana michezo bado inazikutanisha timu za bara na Znz kwenye michuano mbalimbali.

Kanuni za Ligi kuu zinahitaji timu kutumia uwanja au viwanja vilivyoanishwa na kukaguliwa na kamati ya leseni ya vilabu kwa Tanzania bara.
Nani atavisafirisha klabu kutoka huku Bara kwenda Zanzibar? Gharama za kuishi huko?

Tuache masihara na ligi .....Simba wachague hata Kirumba lakini sioni mantic ya kuomba mechi kwenda Zanzibar

Je mapato ya FA itachukuliwa na ZFF au TFF?

Ameandika Juma Ayo kuhusu klabu ya Simba kutaka kutumia uwanja wa New Amaan Zanzibar.

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Unakumbuka juzi ulileta uzi wa mwanasheria wa Yanga aliyetoa ushauri wa kuunganisha TFF na ZFF na kuwa na ligi moja na mimi nikasema ni moja ya mawazo ya hovyo. Hii ni moja ya sababu za kupinga jambo hilo maana halitekelezeki.

Simba imekaa kinyonge sana wakati mwingine. Hivi pamoja na kujipendekeza kote kwa wanasiasa, viongozi wameshindwa kushawishi mamlaka husika ili Simba iendelee kutumia uwanja wa Mkapa hata kipindi cha marekebisho?
 
Wivu una msumbua.

kuna timu moja ya taifa Stars hivyo kuna muunganiko.
Gharama za Club kwenda Zanzibar ni sawa na gharama za kwenda kuwafuata Mashujaa Kigoma..
Bodi ya ligi ita enda kukagua uwanja wa Amaan ikiona una faa utumike

Mapato watachukua wamiliki wa uwanja , ZFF, TFF na Timu washiriki.. kama ilivyo Azam complex .

Usitumie reference ya timu ya Taifa kama ndio kigezo kwa sababu, Zanzibar hana uanachama CAF wala FIFA hivyo tunakuwa pamoja kwenye michuano yeyote CAF na FIFA kwa ngazi ya timu ya taifa...

Inapokuja michuano ya kikanda (CECAFA) na ligi za ndani, mamlaka ya TFF na ZFA zinachukua mafasi stahiki...
 
Wivu una msumbua.

kuna timu moja ya taifa Stars hivyo kuna muunganiko.
Gharama za Club kwenda Zanzibar ni sawa na gharama za kwenda kuwafuata Mashujaa Kigoma..
Bodi ya ligi ita enda kukagua uwanja wa Amaan ikiona una faa utumike

Mapato watachukua wamiliki wa uwanja , ZFF, TFF na Timu washiriki.. kama ilivyo Azam complex .
Kaka unajua gharama za hotel zanzibar?
 
Usitumie reference ya timu ya Taifa kama ndio kigezo kwa sababu, Zanzibar hana uanachama CAF wala FIFA hivyo tunakuwa pamoja kwenye michuano yeyote CAF na FIFA kwa ngazi ya timu ya taifa...

Inapokuja michuano ya kikanda (CECAFA) na ligi za ndani, mamlaka ya TFF na ZFA zinachukua mafasi stahiki...
Mda wowote kuanzia sas Zanzibar anapewa uwanachama wa CAF
Hayo ameyasema Rais mwinyi wakat anazindua jezi za timu ya taifa ya Zanzibar
 
Huyo mshamba, la liga kama sikosei, kuna timu walishatumia uwanja nje ya hispania.
Kucheza kule simba kuna faida nyingi kuliko hasara kwa wao.
 
Unakumbuka juzi ulileta uzi wa mwanasheria wa Yanga aliyetoa ushauri wa kuunganisha TFF na ZFF na kuwa na ligi moja na mimi nikasema ni moja ya mawazo ya hovyo. Hii ni moja ya sababu za kupinga jambo hilo maana halitekelezeki.

Simba imekaa kinyonge sana wakati mwingine. Hivi pamoja na kujipendekeza kote kwa wanasiasa, viongozi wameshindwa kushawishi mamlaka husika ili Simba iendelee kutumia uwanja wa Mkapa hata kipindi cha marekebisho?
Ukiona mbali .....

Tatizo Simba ikiomba ...timu zingine nazo zitahitaji

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Usitumie reference ya timu ya Taifa kama ndio kigezo kwa sababu, Zanzibar hana uanachama CAF wala FIFA hivyo tunakuwa pamoja kwenye michuano yeyote CAF na FIFA kwa ngazi ya timu ya taifa...

Inapokuja michuano ya kikanda (CECAFA) na ligi za ndani, mamlaka ya TFF na ZFA zinachukua mafasi stahiki...
So unadhani Simba wako Sahihi??

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom