Uungwana: BAVICHA yatoa Shukrani kwa wote waliochangia pesa za kulipa faini ya Yericko Nyerere Mahakama ya Kisutu

Inategemea na hujuma unayopangiwa kufanyiwa , wakina Mbowe walipewa masaa mengi ila Akaunti zao za benki zilifungwa kwa maelekezo ya serikali , yericko alipewa masaa matatu tu , lakini wadau wamechanga zaidi ya mil 6 ndani ya dk 60 tu !
Aiseee!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…