Uungwana: BAVICHA yatoa Shukrani kwa wote waliochangia pesa za kulipa faini ya Yericko Nyerere Mahakama ya Kisutu

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
116,456
215,253
FB_IMG_1616529830180.jpg
 
Inategemea na hujuma unayopangiwa kufanyiwa , wakina Mbowe walipewa masaa mengi ila Akaunti zao za benki zilifungwa kwa maelekezo ya serikali , yericko alipewa masaa matatu tu , lakini wadau wamechanga zaidi ya mil 6 ndani ya dk 60 tu !
Aiseee!!!!!
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom