dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,907
- 8,245
Cdm haihitaji kuaminiwa na mbululaz kama weweJengeni ofisi ya kueleweka hili hata sisi wengine tuwaamini, Chama kinataka kupewa nchi kinashindwa hata kuwa na jengo la kueleweka, hizo milion 300 mia 3, kila siku kulipia fain mahakamani mnashindwa kutumia akili mkajenga ofisi nzuri na kubwa tuu.Mnaonekana wababaishaji kwa Watanzania wengi.