Utumwa ulifanywa na Wazungu

Utumwa ulifanywa na Wazungu

Wewe ukiwa muislamu inatosha ila sipo hap kubishana na wewe ila kuongea ukweli wa hii hali. Hatujapewa maagizo ya kuua watu waliopo kwenye ibada zao iwe kanisani au kwenye masinagogi yao lakini jihadi za siku hizi hata kujitetea unashindwa jinsi wanavyofanya hao waarabu kwa kisingizio cha uislamu. Dunia sio sehemu ya amani tena kisa wao tu mkuu.

Mkuu.Isis,boko haram na makundi mengine hayapo kwenye uislamu. Uislamu haufundishi ivo mkuu. Ivo ni vikundi tu vilivyotengenezwa na wamarekani wenyewe kwenda kuchafua nchi za wa2. Samahani mkuu kama nimekuudh
 
Naona unatetea waarabu kwa nguvu zote kisa Dini. Hakuna Dini inayoruhusu utumwa ila wote walioleta hizo Dini wazungu na waarabu ndiyo walioleta utumwa actually walitumia dini kuleta utumwa. Kumstrip mtu tamaduni yake na kumfanya afuate yako kwa nguvu huo tu ni utumwa wa aina yake let alone ule wa kuteka, kusafirisha, kunyanyasa na kuua.

Kama wewe sio muarabu na upo hapa kutetea waarabu kwa nguvu zote utakua ni mpuuumbavu wa kiwango cha lami. Natilia mashaka elimu yako sijui kama umefika secondary sababu hii ni history ya form2 na kwa uandishi wako Ndo kabisa inaonyesha kichwani umejaa kamasi.

Poa mkuu nashukuru.
 
Watumwa waliokwenda Arabuni wanaume walihasiwa ili wasiendeleze uzao ndiyo sababu kubwa ta kutoona weusi wengi wenye asili ya utumwa Arabuni. Marekani watumwa waliachwa wazaliane pamoja na manyanyaso lakini hawakuhasiwa ndiyo maana tunawaona niger mpaka leo
Walipelekwa uarabuni kufanya nini? Tunaelewa wale walopelekwa marekani na ulaya nikwaajili ya kufanya kazi mashambani kabla ya mapinduzi ya viwanda
 
Walipelekwa uarabuni kufanya nini? Tunaelewa wale walopelekwa marekani na ulaya nikwaajili ya kufanya kazi mashambani kabla ya mapinduzi ya viwanda



Sexual pleasure na military workforce.
 
unajaribu kueleza ukweli na huku ukitoa ushaidi (evidence) dhaifu sana! mpaka sasa hakuna kitabu chochote kilicho jaribu kutoa takwimu sahihi za kiwango gani wafrika walio kamatwa, kusafirishwa na kuteswa enzi za watumwa. hiyo hoja ya kusema ukitembea nchi za urabuni kuna wafrika wachache si kweli! historia inaonyesha kuwa maeneo mengi yaliyofikiwa na watumwa wa kiafrika na kutwengwa kama USA wafrika wamekua wengi lakini maeneo kama uwarabuni wafrika waliolewa na hivyo wengi wakapotea kutokana na mchanganyiko wa damu, pia waarabu walikuwa ni maagents tu wa kununua na kuuza watumwa kwenda nchi za brazil, america , n.k.
 
Naona unatetea waarabu kwa nguvu zote kisa Dini. Hakuna Dini inayoruhusu utumwa ila wote walioleta hizo Dini wazungu na waarabu ndiyo walioleta utumwa actually walitumia dini kuleta utumwa. Kumstrip mtu tamaduni yake na kumfanya afuate yako kwa nguvu huo tu ni utumwa wa aina yake let alone ule wa kuteka, kusafirisha, kunyanyasa na kuua.

Kama wewe sio muarabu na upo hapa kutetea waarabu kwa nguvu zote utakua ni mpuuumbavu wa kiwango cha lami. Natilia mashaka elimu yako sijui kama umefika secondary sababu hii ni history ya form2 na kwa uandishi wako Ndo kabisa inaonyesha kichwani umejaa kamasi.
mwarabu hana faida kwanza akiri hana kma anaripua waislam wenzie anaamin kwenda peponi huyo

angaria wanao jilipua ni waarabu wanao chinja hadharan ni waarabu

wanakaa kariakoo.pale ata msibani hawaendi wanaoana ndugu waongeze kizaz hawa wanaakil?

waarabu waliwahas babu zetu.kwa chuki zao.bora mzungu kwang kidgo saiv kabadilika mwarabu ni yule yule
dada zetu anatak.dada zao wanabania hawajielew wali wahas sana bros miaka hiyo ndy maana uarabun tupo waswahil wachache tena.mwarabu ndy chanzo cha matatizo yooote
 
Kila kitu unachokitegemea sasa hivi kimetokana na efforts za wazungu katika kufikiri zaidi.

Jiulize hivi haya magari tunayotumia yametoka wapi,viwanda vya nguo,simu,ndege,internet ns mengine mengi.

Kwa namna yoyote ile sisi waafrika hatuwezi kujilinganisha na wazungu hata siku moja.

Ikitokea bahati mbaya ukaumwa Leo halafu ukapelekwa Mhimbili ikashindikana basi hapo ndo utajua kwamba wazungu ni wazungu tu.

Sasa hivi umekaa unaingia JF kutokana na wazungu kutuletea mambo ya internet.

Amini usiamini bila hawa wazungu sisi waafrika tungekua gizani mpaka Leo maana hakuna nchi ya Africa iliyoweza kubuni maswala ya umeme.
Na bila ya Waafrika tusingekuwa na Internet wala gari, kwa maana maendeleo walio yapata kwa kupitia utumwa, Marekani imejengwa kwa watumwa na mataifa mengine kama nilio yaorezesha hapo.
 
Watumwa waliokwenda Arabuni wanaume walihasiwa ili wasiendeleze uzao ndiyo sababu kubwa ta kutoona weusi wengi wenye asili ya utumwa Arabuni. Marekani watumwa waliachwa wazaliane pamoja na manyanyaso lakini hawakuhasiwa ndiyo maana tunawaona niger mpaka leo
Na kuzaana kwa watumwa kulimaanisha hela zaidi/utajiri/vitendea kazi vya mzungu, ila wazungu wanadai machifu/viongozi wa kijadi walihusika nao katika biashara hii, waliuza ndugu zao walio mateka wa vita kati yetu, vibaka na wengine waliokuwa hatawakiwi na kuwa condemned, sijuwi sasa kwanini nasi hatuchukuwi lawama za mababu zetu...
 
Mzungu alifanya Hii slave trade ila sio kwa Kiwango cha Ukatili kama Mwarabu, America wapo weusi lakini Nchi za Kiarabu hakuna Blacks sana, Sababu ni kuwa Muarabu alikuwa Katili mno kiasi cha kukuasi ili tu usisimamishe Uume na Kuwapiga DUDU Wanawake zake huko nchi zao ila hayo hayakuwepo America ndio maana unaona rates ya black pale state ni Pana, Mwarabu ni Kiumbe mwenye Roho mbaya sana
 
wazungu kwa kiasi kikubwa walifanya Slavery..waarabu walifanya slave trade..msichanganye mambo
 
Mzungu alifanya Hii slave trade ila sio kwa Kiwango cha Ukatili kama Mwarabu, America wapo weusi lakini Nchi za Kiarabu hakuna Blacks sana, Sababu ni kuwa Muarabu alikuwa Katili mno kiasi cha kukuasi ili tu usisimamishe Uume na Kuwapiga DUDU Wanawake zake huko nchi zao ila hayo hayakuwepo America ndio maana unaona rates ya black pale state ni Pana, Mwarabu ni Kiumbe mwenye Roho mbaya sana
Mwenzio leo ametoa ishahidi kwamba wazungu walishiriki kwa kiasi kikubwa kutesa watumwa. Amebandika picha. Hebu bandika na wewe ka ushahidi wa picha mwarabu akimuhasi mweusi. Utaonekana wa maana kuliko kutulisha kasa.
 
wazungu kwa kiasi kikubwa walifanya Slavery..waarabu walifanya slave trade..msichanganye mambo
Wazungu walikwenda kuchukua watumwa pwani ya Africa Magharibi, waarabu walichukua watumwa kuanzia Songhai Empire mpaka Afrika Mashariki, watumwa wengi waliochukuliwa na waarabu walikufa njiani kwa mateso na ni wachache sana waliofika Arabuni pia hao waliofika walikiona cha moto.
 
Hata wakati wa utumwa America palikuwepo na watumwa wazungu.Waingereza waliwatumikisha wa Irish wengi sana ambao kutokana na wao kutokuweza kufanya kazi kama waafrika, waliishia kuteswa kuliko watu weusi.
Mbona unahamisha goli ndugu.hapa tunazungumzia utumwa wa mtu mweusi.Na bado ungalipo kifikra
 
Nina mashaka na elimu yako. Nini hasa unachopinga kwamba waarabu hawakuhusika kwenye utumwa au kwamba hawakuhasi wanaume, a quick Google search could give u some insight.
muwekee ushahidi kama yeye alivoweka,bila hivo ataona unataka kubalansi tu ukatili wa mzungu uliofichwa tangu elimu ya msingi
 
Wazungu walikwenda kuchukua watumwa pwani ya Africa Magharibi, waarabu walichukua watumwa kuanzia Songhai Empire mpaka Afrika Mashariki, watumwa wengi waliochukuliwa na waarabu walikufa njiani kwa mateso na ni wachache sana waliofika Arabuni pia hao waliofika walikiona cha moto.
Tupia picha tuone ushahidi. Mwenzio ametupia ya wazungu wakinyonga watumwa weusi.
 
Back
Top Bottom