Aisee ndugu akikujibu nitag..Waarabu gani unao wazungumzia wewe? unakusudia waarabu hawa hawa ambao dada zetu huenda huko kwao kuwafanyia kazi za ndani?
Kila siku wao ni kulalamika kuhusu kuteswa lakini kitu cha kushangaza utawakuta wamejazana ndani ya ndege wanaelekea huko huko.