Utumwa ulifanywa na Wazungu

Utumwa ulifanywa na Wazungu

Kweli nidhamu ya woga ni sumu..... Mababu zetu wa kipindi hicho walikuwa na nidhamu ya woga ndo maana walikuwa wana being taken as inferior ...thats why hiyo ndo historia tuliyo ikuta sisi.






SO SAD IN TEARS
 
Watu wote weupe ni wachawi
Well said na sasa kibao kimegeuka watakufa wote walio tutesa wao na vizazi vyao milele yote katika jina la Yahushua ha Mashaich, AMUN RA
 
Inasikitisha Rabuka Muumba wetu sikia vilio vyetu!
 
Kwahiyo ww unasifia babu yake babu yako kuuzwa??
Acha bange. Hujaelewa namaanisha nini? Mlikuwa mnatudanganya eti mwarabu pekee alihusika na kutesa watumwa...leo tumeona wenyewe picha....wazungu wanatesa na kunyonga weusi. Usijifanye hunielewi...
 
Bado kuna watu wanaabudu hao hao wazungu kama miungu yao na wako humu ndani, tukisema wanatuibia, kuna mabwege nyumbu bado wanaona wazungu ndio kila kitu kwao!!
Wengi sana mkuu. Yupo mmoja alisema kua bila mzungu bado tungekua tunavaa ngozi. Akasema sisi tulikua sawa na nyani tu. Inabidi tumshukuru mzungu kwa kututia ubinaadam. Nilitamani awe karibu nimnyonge
 
Hizi picha leo zimewaaibisha watu wanaodhani waliotesa watumwa ni waarabu. Tumeona wazungu ndio vinara wa kutesa na kutumikisha. Mwarabu alibeba bidhaa kisha akawauzia wazungu. Na wazungu wakawatesa na kuwatumikisha watumwa. Na waliobisha au kuleta ujuaji walinyongwa na wazungu na si kunyongwa na waarabu......!!!
Waarabu na wazungu hakuna mwenye afadhali katika hili. Ila kuna siku watalipa. Na watalipa ghali sana
 


Daaah haitatokea kujua uthaman wa rangi yetu zaid ya kutuigizia maigizo.


Alafu so ndo hawa was madin?
 
Waliokuja kueneza Dini nao wamo Ktk "MATOROLI" Na misalaba yao Mikubwaaa!!..
Huwa nawaheshimu sana Mashujaa kama Abushiri na Bwana heri, Kinjekitile ngwale, Mangi Sina, Na Jembe mmoja aliyejilipua kwa Baruti Nahisi km Mtemi Isike hvi, gooD thing thouGh watu walipigana na kujitoa for the sake of this GENERATION,Hawa watu walikua na Uthubutu wa Hali ya Juu aseeh,tusisahau tulipotoka Aseeh+Tusichukulie Poa juhuDi za MABABU zetu
 
Umenena vyema mkuu...hii picha UMEELEWA SANA MKUU....
.
2b4b01c43c6c11e7f728f036391a1589.jpg
Watu walikua washapewa neno "Akupigaye shavu la kulia mgeuzie...
Si nDio function ya Missionaries hiyo, ukishaambiwa hvyo unafanyaje Ss??
Walikuja kustuka muDa umekata sana, same thing hata leo hii Wanakuja kwa MWAMVULI WA KUKUSAIDIA, ola nyuma ya Pazia wana agenDa yao, concept ni Ileile tu sema wanabadilika kulingana na Mazingira
 
Wewe hujui lolote. Watumwa waliobebwa uarabuni wanaume walihasiwa hivyo huwezi kuwaona kule. Unyama uliofanywa na waarabu ukielezewa vema utafanya uasi mkubwa. Kaa kimya unanitia uchungu, marekani hawakufanya hivyo ndiyo maana mtu mweusi katapakaa kule.
 
Wewe ni muislam? Ubaya wa utumwa ni mateso tu kuuza sio kubaya? Muuazaji na mtesaji wote Lao moja binadamu sio bidhaa. Waarabu walikua wakiua na kuhasi wanaume ndiyo maana kizazi cha watu weusi kikapotea mashariki ya Kati jiongeze.
Waarabu na wazungu wote sawa tu kwenye hili. Wazungu walikua wakifuga watu weusi kama mbuzi tu. Waliwalazimisha wapandane hata kama ni ndugu ili wapate watumwa wengi zaidi. Sio eti waliwaacha wakiwafikiria kua nao ni binadamu.
Na ilipofikia kua hawakua productive in any case waliwaua. Hawakutaka gharama ya kuwalisha Bure. Percentagewise watu weusi walio uarabuni leo ni karibu sawa na watu weusi walio america. Na ni percent ndogo sana wapo UK. Wazungu na Waarabu kwa sisi watu weusi hatupati wa kumtetea kua labda kuna mwenye afadhali
 
Utumwa ulifanywa na wazungu. Naona mada unaielekeza kwa waarabu tu.
Kwa Asilimia kubwa Whites nDio wali play part kubwaaa sana ktk Biashara hii, Maana ht mikataba ya ukomeshwaji wa biashara hii ilikua Campaigned na Whites kutokana na Gharama za uzalishaji wa Bidhaa ktk viwanDa kuwa nDogo kwa Baadhi ya mataifa mf Ufaransa ambao nguvu kazi kubwa ilikua ni Slaves, ila Uingereza iliona Itaingia Hasara zaidi kwakua walikua washaanza matumizi ya mashine ktk viwanDa na hivyo ikahofia kupigwa Bao ktk soko la Dunia kwakua Ufaransa ingenufaika zaiDi ktk uuzaji kwa kuuza kwa Bei rahisi zaidi kuliko UK...
So In short Utumwa umefanyika mpk kipinDi ambacho hawa wtu walipoona Inatosha, Pengine Isingekua maendeleo ya sayansi na teknolojia Bsi utumwa ungeenDelea kwa miaka mingi zaiDI Mpk hata karne ya 20 Mwishoni au hata zaiDilI
 
mwarabu hana faida kwanza akiri hana kma anaripua waislam wenzie anaamin kwenda peponi huyo.ni pumbav

angaria wanao jilipua ni waarabu wanao chinja hadharan ni waarabu

wanakaa kariakoo.pale ata msibani hawaendi wanaoana ndugu waongeze kizaz hawa wanaakil?

waarabu waliwahas babu zetu.kwa chuki zao.bora mzungu kwang kidgo saiv kabadilika mwarabu ni yule yule pumbav kabisa

dada zetu anatak.dada zao wanabania hawajielew wali wahas sana bros miaka hiyo ndy maana uarabun tupo waswahil wachache tena.mwarabu ndy chanzo cha matatizo yooote
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hatarii
 
Waarabu na wazungu wote sawa tu kwenye hili. Wazungu walikua wakifuga watu weusi kama mbuzi tu. Waliwalazimisha wapandane hata kama ni ndugu ili wapate watumwa wengi zaidi. Sio eti waliwaacha wakiwafikiria kua nao ni binadamu.
Na ilipofikia kua hawakua productive in any case waliwaua. Hawakutaka gharama ya kuwalisha Bure. Percentagewise watu weusi walio uarabuni leo ni karibu sawa na watu weusi walio america. Na ni percent ndogo sana wapo UK. Wazungu na Waarabu kwa sisi watu weusi hatupati wa kumtetea kua labda kuna mwenye afadhali
True
 
Mkuu.Isis,boko haram na makundi mengine hayapo kwenye uislamu. Uislamu haufundishi ivo mkuu. Ivo ni vikundi tu vilivyotengenezwa na wamarekani wenyewe kwenda kuchafua nchi za wa2. Samahani mkuu kama nimekuudh
Mkuu haujaniudhi wala nini ila tunajaribu kuwekana sawa tu ili kila mtu aweze kuelewa na kutokuwa na chuki na watu wa jamii fulani. Maana sasa hivi sisi Waislamu tunachukiwa sana kwa sababu ya haya matukio ya kuua watu kwenye halaiki na kuchinja kisha kusambaza video kwenye mitandao ya kijamii. Ndio maana huwa ninashangaa na wala sikubaliani na hizo itikadi kwa sababu hatukuelekezwa jihadi za hivyo katika dini.

Unatakiwa upigane na yule anayekupiga na wala sio kwa wale wasio na hatia maana hata katika vita Mtume alikataza kuua wazee ,watoto na wagonjwa iweje leo watu wanafanya hayo matukio then waseme jihadi???

So hakuna atakaye chukia kwa kuelekezwa ili na wengine waelewe mkuu.
 
Mzungu alifanya Hii slave trade ila sio kwa Kiwango cha Ukatili kama Mwarabu, America wapo weusi lakini Nchi za Kiarabu hakuna Blacks sana, Sababu ni kuwa Muarabu alikuwa Katili mno kiasi cha kukuasi ili tu usisimamishe Uume na Kuwapiga DUDU Wanawake zake huko nchi zao ila hayo hayakuwepo America ndio maana unaona rates ya black pale state ni Pana, Mwarabu ni Kiumbe mwenye Roho mbaya sana
Roho mbaya kweli ila utakuta wabongo wanawasifia mademu wa kiarabu
 
Back
Top Bottom