mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,920
Ambao waliwatumikisha kwenye mashamba ya miwa Reunion.... Hio ni kwa afrika mashariki.
Hivi kwann Argentina haina weusi najiulizaga Mara nyingi sanaUsiangalie utumwa kwa miwani ya Dini. Binadamu sio bidhaa muuzaji na mtesaji wote Lao moja. Waarabu waliua na kuhasi wanaume ndiyo maana watu weusi hawapo huko, tunaona hadi leo jinsi weusi wanavyonyanyaswa uarabuni kuliko hata uzunguni.
Nchi kama Argentina weusi ni almost hawapo hata wakusingiziwa umewahi kujiuliza kwanini? Mbona nchi zote za karibu na Argentina Zina weusi maelfu kwa malaki iweje Argentina?
Hujui historia, soma How the whites colonised Africans. Utaelewa zaidiIla babu zetu nao walikua wanazingua sana ni picha kama hizi huwa zinafanya nitilie Shaka uwezo wa akili wa mtu mweusi. Hapo kuna picha mizungu imebebwa na weusi wengi walishindwa kuwabwaga chini na kuwaua kweli! Unakuta mzungu mmoja au wawili wanaenda kwenye kijiji na kutawala kijiji kizima na weusi bado wakakubali. Mzungu mmoja anatembea huku amezingirwa na weusi kibao kama walinzi na makuli wake bila ya kumfanya kitu huyo mzungu au kumuua kabisa. Smh
Msome huyu bwana kaeleza vizuri hapaHivi kwann Argentina haina weusi najiulizaga Mara nyingi sana
Argentina ni taifa pekee katika Amerika ya Kusini lililo na weusi wachache sana. Hawa jamaa ingawa tunawashabikia sana kwenye mpira lakini hawakuwa na huruma kwa mtu mweusi. Hawa walikuwa na sera maalum ya kuondoa weusi katika nchi yao.
Kwa mujibu wa maelezo ya kihistoria, Waafrika wa kwanza kufika katika Argentina katika karne ya 16 mwishoni mwa katika eneo sasa linaitwa Rio de la Plata, ambayo ni pamoja Buenos Aires. Kufikia karne ya 18 na mapema karne ya 19, Waafrika weusi walikuwa wengi katika maeneo ya Argentina, takwimu zinaonyesha waliweza kufikia hadi nusu ya idadi ya watu katika baadhi ya mikoa, ikiwa ni pamoja Santiago del Estero, Catamarca, Salta na Córdoba.
Kama nilivyoeleza hapo mwazo kulikuwa na sera maalum za kutokomeza mtu mweusi. Kwanza walihakikisha katika vita watu weusi wanakuwa mstari wa mbele huku wakiwapatia vifaa duni vya kupigana nahivyo ni wachache sana waliokuwa wanasalimika vitani. Mfano mzuri ni vita ya Argentina na Paraguay ya 1865-1870.
Pia kulikuwa na wanawake wachache sana wenye asili ya kiafrika na ambaowanaolewa na wazungu hivyo wale jamaa zangu weusi wakaona bora kusepa na kwenda Brazil na Uruguay ambako walikuwa kwa kiasi fulani walionyesha ukarimu kwao.
Kama hilo halitoshi mtawala wa Agentina anaeitwa Domingo Faustino Sarmiento (1868 hadi 1874) alianzisha sera ya mauaji ya halaiki kisiri kupitia sera za ukandamizaji sana (ikiwa ni pamoja uwezekano wa kuajiri Waafrika kwa kulazimishwa katika jeshi na kwa kulazimisha weusi kubaki katika vitongoji ambapo kulikuwa na magonjwa mengi na kukosekana kwa huduma za afya za kutosha)
Hii taarifa ni kwa Hisani ya:
Blackout: How Argentina ‘Eliminated’ Africans From Its History And Conscience
Kwa kuwa wametajwa wazungu unataka tusahau? Maana ingekuwa ni waarabu pekee usingesema hivyo...mandera said."poverty it's not an acident like slavery and apertheid poverty can be removed by the actions of human beings" HIVYO IYO ILIKUWA AJARI TUU MSAAU YALIYO PITA
ata mzungu nae alishikwa utumwa sehem nyingi wakapelekwa marekani au hujui?Kwa kuwa wametajwa wazungu unataka tusahau? Maana ingekuwa ni waarabu pekee usingesema hivyo...
Hata mwarabu naye alishikwa utumwa akapelekwa marekani au hujui,?ata mzungu nae alishikwa utumwa sehem nyingi wakapelekwa marekani au hujui?
Ukitaka kujua kuhusu utumwa tembelea mataifa kama America, United Kingdom, Portugal, Italy, France and Germany
Waarabu walifanya biashara ya utumwa lakini kwa silimia ndogo sana, hata ukitembea mataifa yao, watu weusi ni wachache sasa. View attachment 521021View attachment 521022View attachment 521023View attachment 521024View attachment 521025View attachment 521026View attachment 521027View attachment 521028View attachment 521029View attachment 521030View attachment 521031View attachment 521032View attachment 521033View attachment 521034View attachment 521035View attachment 521036View attachment 521037View attachment 521038
ata babu wa bibi yako nae au hujui?Hata mwarabu naye alishikwa utumwa akapelekwa marekani au hujui,?
Daah hizi picha zinasisimua na kutia hasira. Jamaa walikuwa na roho mbaya hawa.
Watumwa waliokwenda Arabuni wanaume walihasiwa ili wasiendeleze uzao ndiyo sababu kubwa ta kutoona weusi wengi wenye asili ya utumwa Arabuni. Marekani watumwa waliachwa wazaliane pamoja na manyanyaso lakini hawakuhasiwa ndiyo maana tunawaona niger mpaka leo
Hawa watu hawahitajiki kusamehewa hata kidogo