ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 7,089
- 13,014
Duh!View attachment 2150866
Ulimi upi huo uliobaki boss…!?
Duh!View attachment 2150866
Ulimi upi huo uliobaki boss…!?
Atakuwa mjinga.HIVI ITAKUWAJE KAMA POLEPOLE AKIGOMA KUWA BALOZI HUKO MALAWI
Hizi teuzi haziendi kienyeji tu kama watu wanavyodhani.Wengi hawalijui hili dubwashana linalotaga pesa za kampeni zetu
Akifanya hiyo atakuwa ni Mjinga... Endeleeni kumdanganya.Pole pole ni mtu mwenye misimamo.
Pole pole ni mtu mwenye kujiamini
Kesho hataoneksna Ikulu. Trust me
Hujui siasa wewe. Nakusihi tulia.
Ila wacha nikufunde kidogo. Kisiasa Polepole kapotezwa, sasa hawezi tena endelea na shule ya uongozi. Wala hawezi tena kukosoa.
Nakushauri utumie ubongo wako vizuri Mkuu sio unaandika tu kwakua Upo huru kuandikaSasa hiyo uliyo underline unaona ni sababu yenye mashiko?
Ni upuuzi tuu wa Jiwe alitaka apachike watu wake...
Umejibu concern yangu au unajisemesha tuuNakushauri utumie ubongo wako vizuri Mkuu sio unaandika tu kwakua Upo huru kuandika
Kumbe kweli jina lako si kejeli linasadifu uhalisia wako. Kwamba hauoni touti iliyopo duu!
Sasa ona tofauti utakayo "imiss" na itakayokuumiza wewe kama mfuasi wa Polepole...
swali fikirishi na lenye kuhitaji mjadala mpana zaifiNehemia Mchechu NHC tena? Ni sababu zipi zilipelekea kutumbuliwa? Hazikuwa genuine?Hivi hakuna watanzania wengine?
Fafanua kidogo mkuu kwa manufaa ya wana JF wengi.Hizi teuzi haziendi kienyeji tu kama watu wanavyodhani.
Lakini kama shirika linajiendesha Kwa faida,acha watu walipwe vizuri tu,sioni sababu ya kubaniana na mtu akiwa na maisha ya choka mbaya ndiyo anaonekana mzalendoHiyo ndiyo ilikuwa sababu. Wakati ule kila DG su CEO akipata mshahara huo, Mkuu alikuwa anakasirika sana na akaifyeka yote. " kwa kazi gani anayofanya?" Aliuliza. As such Nehemiah is very smart upstairs.
Daa! Tabasamu lake safi sana! Bravooo brother keep it up!!
Mpaka wametangaza means amekubali
Atakataa!! Kikwazo ni chanjo!! Keenda Malawi ni lazima ukubali kuwa antenna ya mabeberu kwa kuchanjwa!! Hii kitu Polepole atakataa!Exile for Humphrey. Tuone kama atakataa
Kwa bahati mbaya sana mamlaka ya uteuzi haijaleta sababu za kwa nini jamaa alitolewa na sasa imekuwaje karudishwaNehemia Mchechu NHC tena? Ni sababu zipi zilipelekea kutumbuliwa? Hazikuwa genuine?Hivi hakuna watanzania wengine?
Hawezi kukataa . . . Soon tuta-format hard drive subirini muoneExile for Humphrey. Tuone kama atakataa