Mzee Wa Republican
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 1,663
- 840
Yote yanataka ufafanuzi ulionyookaTushike lipi tuache lipi? Lakutumbuliwa ama la hakuna watanzania wengi? Nyoosha maelezo mkuu.
Yote yanataka ufafanuzi ulionyookaTushike lipi tuache lipi? Lakutumbuliwa ama la hakuna watanzania wengi? Nyoosha maelezo mkuu.
Mbumbumbu Fc, Polepole ana jeuri ya kuacha ugali?Utii kwa jamhuri kwa comrade polepole hauna shaka ila misingi yake ya heshima na utu na uzalendo kwa nchi yake na utii wa dhamira yake njema katika misimamo binafsi kuchanja chanjo ya corona, kufanyiwa fedhedha na dharau za kimkakati na za kusudi na za kihuni ni mwiko kwake.
Asiyemfuasi wa maswala ya chanjo analazimikaje kuchanja?
Waliomkomoa kwa fikra zao na upupu wao hawatashinda kamwe.
Malawi haendi na msimamo wa kutokuchanja haubadiliki.
Furahisha Jamhuri na mamlaka kisha tumia haki ya kikatiba ya uhuru na haki ya kujiuzulu simple and clear.
Unyamaunyamani kwa mnyamani wanakaa mbweha.
Ofside ya Berkane marinda jangwani.
Wajinga mpo wengi sana nchi hii, Polepole ameshakula kiapo cha utii kwa Rais.Pole pole ni mtu mwenye misimamo.
Pole pole ni mtu mwenye kujiamini
Kesho hataoneksna Ikulu. Trust me
Polepole ubunge wake ulishakoma tangu alipoteuliwa kuwa balozi, nafasi yake imeshajazwa na Shamsi Vuai Nahodha.Kuuliza si ujinga,pole pole ataendelea kulipwa mshahara wa Ubunge au ndiyo kwa heli Ubunge.
Ni mikakati ya kisiasa inayotazama mbali. Pole pole kanyamazishwa rasmi hawezi tena kuwa sehemu ya yoyote yule atakayekuwa nyuma ya kundi la hayati JPM atakayekuja kutaka kuwania urais.Muulize Makonda kwa nini aliacha ukuu wa mkoa ili awe mbunge au ukishindwa muulize Mrisho Gambo.
Au ukiweza muulize Dr Slaa ubalozi unalipa? Halafu ubalozi wenyewe Malawi? Mshahara unatoka Dar es salaam.
Hapo ndio Polepole mwenda ameshaumaliza rasmi, 2025 anawekwa rasmi nje ya mfumo ndio atajuwa kuwa alikuwa hajui.
Kwa hiyo saivi anaenda kutembelea V8...???Hii tanzania hii aiseee.
Yaani ni wale wale unatoka ofisi hii unaingia ile, hakuna wapya hakuna mapya.
Unakunya huku wanazoa unapelekwa pale ukanye teena.
Sasa kweli leo hii.
Mangu.
Polepole
Vuai.
Dah
Wasomi wajiulize kulikoni teuzi ni zile zile tu.Lands minister William Lukuvi announced in December that he was suspending Mr Mchechu to pave the way for investigations into various allegations which include abuse of office. Mr Lukuvi then tasked the NHC board of directors under the leadership of Ms Nyoni to conduct the investigations and handover the report to him.
Kwasababu utaratibu wa teuzi unakazimsha mteuliwa awe one of the inner cycle personnel....😊Wasomi wajiulize kulikoni teuzi ni zile zile tu.
Kwasababu utaratibu wa teuzi unakazimsha mteuliwa awe one of the inner cycle personnel....😊
Ifafanue hiyoKwasababu utaratibu wa teuzi unakazimsha mteuliwa awe one of the inner cycle personnel....😊
Mkuu mbona unatoka Nje ya mada? Au unataka kutuhabarisha nini juu ya Mhe. Huyu?
Nitampangia kazi nyingineMkuu mbona unatoka Nje ya mada? Au unataka kutuhabarisha nini juu ya Mhe. Huyu?
Mkuu ebu nijuzeni! Hivi vyeo vya Wenyeviti wa Bodi zetu za Makampuni ya UMAA ni kwa ajili ya Waasitaafu? Ndivyo ilivyo kwa mujibu wa KATIBA YETU?Hii tanzania hii aiseee.
Yaani ni wale wale unatoka ofisi hii unaingia ile, hakuna wapya hakuna mapya.
Unakunya huku wanazoa unapelekwa pale ukanye teena.
Sasa kweli leo hii.
Mangu.
Polepole
Vuai.
Dah
Mkuu ebu tuwe fair, hivi ni Kiongozi gani ambae hachagui wa kwake?Nakushauri utumie ubongo wako vizuri Mkuu sio unaandika tu kwakua Upo huru kuandika
Sawa Mkuu ila muda unakwenda mbio sana, uvumilivu na uzalendo unaweza ukamshindaNitampangia kazi nyingine
Haya maswali hako ninkama ya mwalimu kanja kanja iviMajengo ya nani? Wapi affordable housing kwa wananchi?
Ni mafisadi wanatutukana na kuutukana uadilifu mbele ya juala mchana,Nehemia Mchechu NHC tena? Ni sababu zipi zilipelekea kutumbuliwa? Hazikuwa genuine?Hivi hakuna watanzania wengine?
Ila jamaa enzi zake shirika lilikuwa hot sana kila sehemu ukienda ni nhcNehemia Mchechu NHC tena? Ni sababu zipi zilipelekea kutumbuliwa? Hazikuwa genuine?Hivi hakuna watanzania wengine?
Alishastaafu pamoja na akina Emmanuel Nchimbi na Dr Slaa mwishoni mwa mwakajana.Hivi, aliyekuwa balozi wa Malawi kabla ya Polepole alikuwa ni nani? Na amepelekwa wapi ili kumpisha Polepole? Barua haijasema ni nini kimemkuta balozi anayempisha Polepole