Dah hizi teuzi sijui zitanifikia lini na Mimi Nile shushu kidogo maana sijawahi kupanda wala kuendesha/endeshwa na Vieitee ..unayijua mavieitee wewe??
 
I think we are missing back ups, alivyofariki Mh Kuandikwa imeshindikana kureplace kutoka kundi la wabunge waliopo mpaka akatafutwa nje yao. Nashauri watu mbadala wawe wanaandaliwa katika hizi nafasi kubwa.

CCM si huwa wanawaza hapa na hapo tu...

Ukifika uchaguzi wanawekana makada wataopiga porojo jukwaani kuwashinda Chadema, halafu likija suala la uwaziri ndio unakutana na kina Kalemani wazee wa kuamrisha tu
 
Kazi iendelee.

Hivi mawasiliano ni jambo la muungano? Mbona Makame ameteuliwa kwenye wizara ambayo sio ya Muungano wakati yeye ni Mzanzibari?

Ama ndio zamu ya wazanzibari?
Katiba haimzuii Rais wa Jamhuri ya Muungano kuteua mtu toka Zanzibar. Mwalimu Nyerere aliwahi kuulizwa swali hilo na hilo ndiyo jibu lake.
 
Rais Samia Suluhu kafanya mabadiliko madogo kwenye baraza la Mawaziri na mwanasheria mkuu wa Serikali kama ifuatavyo

  1. Rais Samia Suluhu amemteua Dkt. Stergomena Tax kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa, anachukua nafasi ya marehemu Elias Kwandikwa
  2. Dkt. Ashatu Kijaji ameteuliwa kuwa waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya habari kuchukua nafasi ya Dkt. Faustine Ndugulile ambae uteuzi wake umetenguliwa
  3. January Makamba anachukua nafasi ya Merdard Kalemani wizara ya Nishati
  4. Makame Mbarawa anachukua nafasi ya Chamuriho wizara ya ujenzi na uchukuzi
  5. Dkt. Feleshi anachukua nafasi ya Kilangi kuwa Mwanasheria mkuu wa Serikali


View attachment 1935268
View attachment 1935270
Feleshi tunamjua, atapwaya, makando kando yake ni mengi kuliko hata ya huyu SUKUMA GANG kilangi.
Hii nchi inahitaji katibakuo doa udini na ukabila, the rest tunajazia maji baharini.
 
Sasa Ndungulile amefanya nini kwenye hiyo wizara?
Mnaouliza ndungulile amefanya nn hampo sawa kichwani nafasi ya uteuzi aliyekuteuwa hapangiwi kukuondoa au kukuacha aidha umefanya vizuri au vibaya

Tz inawatu wengi tu wanaotosha kuhudumu hiyo nafasi,muacheni hangaya apige kazi

Kipindi kile akina katambi wanapewa nyadhifa hamkuja kupiga domo, sasa za chini ya kapeti Nape anakuja kumtoa bashungwa
 
Ha ha ; hakuna cha kuchange mzee whether kuna jambo lipo sawa au lah : kubalini tu hadi 2025. Na mkikaa vibaya anaendelea au atamkabidhi mwinyi.

Mwinyi anakuja kuwapigisha kwato. Nchi inatema cheche ...... checheee. Mtaishia ku comment tu but mambo ndiyo yapo hivo Fire Fire .

Makanja wameshaanza kusogea jikoni na wote watakuja jikoni ni suala la muda tu.

Komboeni nchi yenu; acheni kupoteza poteza muda kwa social media ; fanyeni maamuzi sahihi.

Hopefully unayajua maamuzi sahihi ni yapi.

Mzee wa Msoga, from a disant ..... Mzee yule kwake ana Warehouse kabjsa Ina USD kama bank; yaani humo ndani unaingia Na Forklifts hatari sana.

Mama ni Ubavu wa Mzee wa Msoga. Hawezi kupindua chochote hata akitaka kupindua.

Mama anaupiga mwingi safi sana

Nyumbani kwake wp ulikofika Kuna hicho kitu unachokisema anawekea hizo USD?
 
Kazi iendelee.

Hivi mawasiliano ni jambo la muungano? Mbona Makame ameteuliwa kwenye wizara ambayo sio ya Muungano wakati yeye ni Mzanzibari?

Ama ndio zamu ya wazanzibari?
Soma
JamiiForums1150787862.jpg
 
Mbona mama timu magufuli. Mkuuu JPM Ni marehemu. Rais wetu Ni mama Samia. Kadiri mnavyopenda kuongea kuhusu JPM, Ndivyo mnavyozidi kuonyesha ukubwa Wake. Je. Timu ya kikwete na mkapa na mwinyi Ni ipi? Samia na mwinyi kama ndo kijiti kupeana wamepewa na JPM. Jifunzeni kumove on. Muwe consistency hata kwa ujinga wenu.

Nakumbuka JPM alivyomtumbua mbunge wa Kigamboni, alishambuliwa na hata kwenye Kugombea ubunge kigamboni, watu mliingia moyoni mwa JPM. Mkasema mwanaye Makonda lazima apite! Mkasahau kuwa Makonda cheo chake cha ukuu wa Wilaya alipewa na JMK. Na Hata bunge la katiba aliingia na kina mama Samia. Rais wetu mpendwa wa Sasa. Huwa mnamjua sana JPM hata uko kaburini bado mnadownload mind yake.

Hawa wanasiasa tofauti Yao ndogo sana. Vijana fanyeni kazi. Nani Kawa waziri wakati wewe sio Katibu wa wizara hizo haikusaidii lolote. Huwa mnajifariji sana kwa matatizo ya wengine. Ni Alama ya kufell na kuchanganyikiwa. Jaribuni kuishi maisha yenu. Solange uwaziri Ni kuteuliwa. Kila kitu Ni possible. Love and live your life.
Waache watu watoe sumu zao humu mafichoni unataka waongee upenuni wamulikwe we vp Jo.
 
Problems can not be solved by the same level of thinking that created them-Mchungaji Msigwa.
Hapa nikusahihisehe kidogo. Aliyewahi kutamka maneno haya kwa mara ya kwanza ni mwanasayansi mahiri wa karne ya 20, Albert Einstein (1879-1955)

 
Back
Top Bottom