Paulsylvester
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 1,467
- 3,381
Upo?Nilijua kwa Kalemani. Huo mchezo wao walioufanya umemkost. Bado Majaliwa maana nae ana mkono katika hili
Ndo nini sasa anachokifanya Huyo nduguyo mwezi wa kwanza?
Upo?Nilijua kwa Kalemani. Huo mchezo wao walioufanya umemkost. Bado Majaliwa maana nae ana mkono katika hili
Tayari ameshaulaBado Nape, naye akae mkao wa kula.. Muda wao huu sasa, kutesa kwa zamu.
As long as Mwigulu bado yupo kwenye Baraza, naweza kusema hii haitoshi-alituambie tuhamie Burundi.
Halafu hawa kina Makamba ndio watu pekee wa kuwa Mawaziri? Ni kweli wanawazidi wenzao uwezo au ni influence tu za wazazi wao ndio zinawafanya wapate kipaumbele?
Kama si hivyo, basi ni wazi CCM kuna ombwe kubwa la watu wanaofaa kuwa viongozi katika hii nchi.
Watanzania tuendelee kudai Katiba mpya tupate watu wapya kuongoza hii nchi kwani hata hawa walioenguliwa bado kesho wanaweza kurudi tena katika Baraza la Mawaziri.
Chama kilekile, Watu walewale (wanaachiana tu viti) na matokeo yake maisha ya watanzania yanabaki kuwa yale yale miaka nenda, miaka rudi.
Pathetic!
Problems can not be solved by the same level of thinking that created them-Mchungaji Msigwa.
Kazi iendelee.
Hivi mawasiliano ni jambo la muungano? Mbona Makame ameteuliwa kwenye wizara ambayo sio ya Muungano wakati yeye ni Mzanzibari?
Ama ndio zamu ya wazanzibari?
Ni mapema sana kuwaamini sisiemMakamba amekaa Jukwaani muda mrefu. Nafikiri ameusoma mchezo. Ko tutegemee pengine atakuja na matokeo chanya