CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 4,986
- 4,083
HAWA HAPA KWA UPANDE WA ZANZIBAR
15 TuKati ya hao, ni wangapi wanatakiwa pita?
Muda wa kwenda kwa waganga ndio huu maana rushwa pekee yake haitoshi
Aiseee mbona wanaopita wanajulikana kabisa15 Tu
Kati ya hao, ni wangapi wanatakiwa pita?
Sio kwa Waganga ni kwa MunguMuda wa kwenda kwa waganga ndio huu maana rushwa pekee yake haitoshi
Ulifikili kukitukana Chadema ndio wangekukumbuka? Mr f Pole sana dogoWamenisahau
Salary Slip ni mwanachama wenu mbonaUlifikili kukitukana Chadema ndio wangekukumbuka? Mr f Pole sana dogo
Wa kwenu huyo ndio maana analalamika mumemsahau kwenye lile jumba la shetaniSalary Slip ni mwanachama wenu mbona
Gwajima atapitaje hapa 😄15 kwa bara
CCM Demokrasia ni ya kiwango cha juu SanaGwajima atapitaje hapa 😄