malisak
JF-Expert Member
- Mar 16, 2006
- 535
- 509
Kuna suala hua linaniumiza kichwa nikiwa najiuliza kila wakati juu ya viongozi kuwa wakweli ktk kutaja mali walizonazo.serikali imekua ikilifumbia macho jambo hili huku uchumi ukididimia pasi na sababu za wazi.
Viongozi wamekua na tabia ya kujilimbikizia mali wao na familia zao bila kujali hali duni ya wananchi masikini ktk kuwezeshwa.
Wamekua waongo pindi waombapo kura huku wakitoa ahadi hewa pasi nakujali athari zitakazojitokeza.matokeo yake mnaaambiwa serikali haina pesa,tuna madeni mengi ya nchi za nje,mara hivi mara vile.
Ukienda kununua shamba utaambiawa eneo lote hili la hekari 300 ni la kigogo fulani, mtu anaamua tu kuzuia ardhi kubwa bila kuwafikiria wananchi wake wanyonge.muda ukiisha wa uongozi anaanza tena kampeni za ulaghai ilimuradi kuharibu fikra za wanachi.
Suala hili lazima liangaliwe kwa kina, viongozi lazima watoe habarai sahihi juu ya mali wazimilikizo na sio blablah wanatukatisha tamaa.
Viongozi wamekua na tabia ya kujilimbikizia mali wao na familia zao bila kujali hali duni ya wananchi masikini ktk kuwezeshwa.
Wamekua waongo pindi waombapo kura huku wakitoa ahadi hewa pasi nakujali athari zitakazojitokeza.matokeo yake mnaaambiwa serikali haina pesa,tuna madeni mengi ya nchi za nje,mara hivi mara vile.
Ukienda kununua shamba utaambiawa eneo lote hili la hekari 300 ni la kigogo fulani, mtu anaamua tu kuzuia ardhi kubwa bila kuwafikiria wananchi wake wanyonge.muda ukiisha wa uongozi anaanza tena kampeni za ulaghai ilimuradi kuharibu fikra za wanachi.
Suala hili lazima liangaliwe kwa kina, viongozi lazima watoe habarai sahihi juu ya mali wazimilikizo na sio blablah wanatukatisha tamaa.
Last edited by a moderator: