Mwanagenzi
JF-Expert Member
- Sep 11, 2006
- 700
- 212
MKJJ,
Wanasemaje hao wanene kuhusu "viongozi wasipotangaza mali zao wakati wanatoka madarakani?" Sheria inasemaje? Tume imewafuatilia kwa mfano, viongozi waliokuwa katika awamu iliyopita, kina BM na FS,na wengine?
Wanasemaje hao wanene kuhusu "viongozi wasipotangaza mali zao wakati wanatoka madarakani?" Sheria inasemaje? Tume imewafuatilia kwa mfano, viongozi waliokuwa katika awamu iliyopita, kina BM na FS,na wengine?