Genius Man
JF-Expert Member
- Apr 7, 2024
- 3,560
- 7,914
Utekaji, mauwaji, rushwa, ufisadi, uongo sio siasa ni uhalifu na uhaini kwenye nchi haijalishi nani anafanya ni kinyume cha sheria kwa yoyote .
Anayetekeleza kati ya hayo ni adui wa Tanzania na anapaswa kukamatwa mara moja.
Anayetekeleza kati ya hayo ni adui wa Tanzania na anapaswa kukamatwa mara moja.