Tukivuka hapa vigezo vya urais na ubunge vikazwe sana viwe vigumu ili kutopitisha wajinga chanzo cha kuharibika kwa nchi mauwaji, rushwa na utekaji

Tukivuka hapa vigezo vya urais na ubunge vikazwe sana viwe vigumu ili kutopitisha wajinga chanzo cha kuharibika kwa nchi mauwaji, rushwa na utekaji

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
3,558
Reaction score
7,930
Tukivuka hapa vigezo vya urais na ubunge vikazwe sana viwe vigumu ili kutopitisha wajinga chanzo cha kuharibika kwa nchi mauwaji, rushwa na utekaji.

Hatua hii itajenga uongozi bora wa kisheria na kuwepo kwa uwajibikaji mzuri na kuhakikisha usalama wa rasilimali za nchi, vinginevyo mtaona mambo ya ajabu ajabu sana.
 
Tukivuka hapa vigezo vya urais na ubunge vikazwe sana viwe vigumu ili kutopitisha wajinga chanzo cha kuharibika kwa nchi mauwaji, rushwa na utekaji.

Hatua hii itajenga uongozi bora wa kisheria na kuwepo kwa uwajibikaji mzuri na kuhakikisha usalama wa rasilimali za nchi, vinginevyo mtaona mambo ya ajabu ajabu sana.
Gentleman,
ugumu katika kupata uongozi kaweke kwenye familia ya chama na serikali yako nyumbani kwenu,
mTanzania yeyote alietimiza umri wa kuanzia miaka18 atabaki kua na haki, uhuru na wajibu wa kuchagua au kuchaguliwa kua kiongozi wa ngazi yoyote katika Taifa hili ikiwapendeza wananchi.

hizo porojo, dharau na chuki zako dhidi ya waTanzania wazalendo na viongozi vibaki tu kua hadaa za kuwafurahisha wanaokutuma kuandika hizo nonsense humu jukwaani :NoGodNo:
 
Tukivuka hapa vigezo vya urais na ubunge vikazwe sana viwe vigumu ili kutopitisha wajinga chanzo cha kuharibika kwa nchi mauwaji, rushwa na utekaji.

Hatua hii itajenga uongozi bora wa kisheria na kuwepo kwa uwajibikaji mzuri na kuhakikisha usalama wa rasilimali za nchi, vinginevyo mtaona mambo ya ajabu ajabu sana.
Hatuwezi fika kwa sababu hatutaki maridhiano na no way hatuwezi kupata Katika Mpya
 
Ila kweli mtu amepata Div IV O Level aje kuwa Rais lazima nchi itayumba tu kama ilivyo sasa hivi.
 
Huyu aliyesema hivi atakua lazima ni Msigwa.
20260202_074616.jpg
 
Tukivuka hapa vigezo vya urais na ubunge vikazwe sana viwe vigumu ili kutopitisha wajinga chanzo cha kuharibika kwa nchi mauwaji, rushwa na utekaji.

Hatua hii itajenga uongozi bora wa kisheria na kuwepo kwa uwajibikaji mzuri na kuhakikisha usalama wa rasilimali za nchi, vinginevyo mtaona mambo ya ajabu ajabu sana.
Tatizo la nchi yetu wenye akili na maarifa hawapendi kuyaishi maisha ya mwanasiasa wanaishia kujipa kazi ya kukosoa anachofanya mwanasiasa.

Alianza JK akatengeneza fursa kwa Ridhiwani, wasomi waliishia kumkosoa JK na bachelor yake ya uchumi ya Mlimani ya mwaka 1975 hawakujiuliza kwamba wakati huo waliyemkosoa alikuwa njiani akipanda juu kikazi na kisiasa.

Wajinga wengi hawana aibu wala uoga wowote ule, wapo tayari kutoa boko mpaka mtazamaji aliye nyumbani mbele ya runinga anajikuta akiona aibu mpaka akitaka kujificha chini ya meza!, lakini mjinga wala hajali.

Msomi asimlaumu mjinga kuwa na maisha ya juu akumbuke yanaambatana na kule kutoona aibu ambayo ni tabia inayombeba mjinga.

Kigoma ina mbunge la saba, Baba Levo, hakuanza kuona aibu kwenye muziki mpaka akaingia kwenye media wakati huo kuna wasomi wengi wanaotoka Kigoma mjini wanaoishia kumkosoa Baba Levo kila siku ya maisha yake kule instagram, facebook, tiktok na humu JF wanazeeka wakikosoa wakati mbunge wao aliuona upenyo akaamua kufaidika nao mazima.
 
Tukivuka hapa vigezo vya urais na ubunge vikazwe sana viwe vigumu ili kutopitisha wajinga chanzo cha kuharibika kwa nchi mauwaji, rushwa na utekaji.

Hatua hii itajenga uongozi bora wa kisheria na kuwepo kwa uwajibikaji mzuri na kuhakikisha usalama wa rasilimali za nchi, vinginevyo mtaona mambo ya ajabu ajabu sana.
Tatizo wabadilisha katiba ndiyo hao hao walengwa kwahiyo hawawezi kukata tawi waliokalia ,ndiyo maana wao wakimaliza miaka mitano wanalamba NSSF zao zote ila mwenzangu na mimi mpaka miaka 55/60.
 
sidhani kama hiyo ni dawa, angalia alhaji kabudi kasoma madarasa kama yote lkn angalia mambo yake, tatizo liko juu kama tukifiksi uraisi huku kwingine kote hamna shida …
 
sidhani kama hiyo ni dawa, angalia alhaji kabudi kasoma madarasa kama yote lkn angalia mambo yake, tatizo liko juu kama tukifiksi uraisi huku kwingine kote hamna shida …
Hapo sizungumzii elimu tu bali achujwe vikali kwenye mambo mengine yote na historia yake
 
Back
Top Bottom