Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,634
- 46,277
Utawala wa Wahispania America ya Kusini na Mexico ulikuwa wa ki settler zaidi tofauti na sehemu nyingine walizotawala.
Chukulia mfano wa ukoloni wa Zimbabwe na Tanzania.Zaidi ni kwamba South America na Mexico hawakuondoka kabisa baada ya hayo mataifa kujipatia uhuru,walijetenga tu na Hispania.
Chukulia mfano wa ukoloni wa Zimbabwe na Tanzania.Zaidi ni kwamba South America na Mexico hawakuondoka kabisa baada ya hayo mataifa kujipatia uhuru,walijetenga tu na Hispania.