Yooote yana nafasi yake katika Mapenzi.... (walau that is what I believe)
"MVUTO"
Hiki mara nyingi saana ndio hatua ya kwanza kabisa kwa penzi kuweza ibuka na hatimae kukua.... Ni wachache saana ambao hua na penzi la dhati kwa kuonana tu kwa mara nya kwanza, Kwa kweli ni ngumu! Lazima vitu kama mvuto ndio kikufanye um-recognise the person in question. Anaweza asiwe mzuri but akawa na mvuto ambao unayakamata macho na akili yako kutaka tu uendelee kuangalia. Hilo ndio humfanya mwanaume mara nyingi amfuate mwanamke (na ndio maana kila mmoja huvutiwa na wa aina yake i.e butt, booms, legs etc) na hicho ndicho humfanya mwanamke kuvutiwa kwa mara ya kwanza (hasa kama muonekano wa mwanaume unatoa hints ya the value yake i.e ana uwezo ama lah!)
"PESA"
Mie naamini kua Pesa ni muhimu saana katika kujenga mapenzi... Sio lazima uwe nazo hadi kwenye mto, BUT atleast uwe na pesa ya ku-sustain maisha yako. Kwamba waweza kula kuvaa na mahitaji ya hapa na pale. Mara nyingi saana Pesa katika penzi ina nguvu saana kuweza lijenga mpaka likakomaa na kufika mahala pake. Thou kuna tofauti kubwa saana kwa ile ya pesa zipo upande gani zaidi? (Kwa mwanaume ama mwanamke?) Naomba tuache hio topic na tuzungumzie tu pesa in general.... Ukiwa na pesa mwenzio atapopata dharula yoyote ile you will be there for her/him. Ukiwa na pesa daima utahakikisha mwenzi wako yupo safe, mahala anaishi, yupo wapi umchukue, ki/vitu gani vya msingi ahitaji na the like.... With money ni rahisi kumuonesha mwenzi wako to what extent you can go.... kwa ajili yake. For other wise zinabaki porojo tu! Na ndio maana as much as wasema mapenzi hayachagui... It is better sometimes kua na mtu wa level yako....
"UPENDO"
Upendo sasa ndio huja in time... baada ya mvuto... baada ya pesa kujenga nafasi yake (take note: ninaposema pesa simaanaishi kua mtu mwenye uwezo mkubwa, bali nina maana mtu ambae anaweza kukusimamia katika mambo ya kawaida); Upendo ni wa ajabu sana na hauna ADABU. Upendo waweza kua wa mwisho katika process ya Mapenzi but hilo ndo hu-overrun umuhimu wa mambo yooote hayo in time.... Na hatimae huota mizizi na kuweka Mapenzi, Mapenzi ya dhati ama kawaida it depends.... Na huu huu upendo mtu aweza poteza mvuto na pesa lakini bado akaendelea kupenda (thou sio necessarily wakati waoote)
Hivo basi IMO, Yooote ni muhimu - ni entity ambazo kila moja na nafasi yake katika kujenga Mapenzi.
I wish you happy Holidays.