ldd
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 790
- 128
Semeni yoooooooooote!!!! Lakini Mambo ni POCHI(FWEZA), tusidanganyane ASHADII!
Mkulima wajembe la mkono-full peasant au matonya wangeoa?
Semeni yoooooooooote!!!! Lakini Mambo ni POCHI(FWEZA), tusidanganyane ASHADII!
Uimara wa penzi ndio kitu kinachowatatiza wengi kwenye uhusiano wa mapenzi.
Jambo hili limewafanya wengi kuishi kwa mashaka wakishindwa kujua nini hatima ya penzi alilonalo.wapo baadhi ya watu waliopo kwenye ndoa wanaothubutu kuwaacha wapenzi wao kwa sababu ya mapenzi mapya.
HIVI PENZI IMARA NI PESA,UPENDO WA DHATI AU MVUTO?
Mvuto..
Semeni yoooooooooote!!!! Lakini Mambo ni POCHI(FWEZA), tusidanganyane ASHADII!
Mapenzi bila pesa - kwa tafsiri ya haraka haraka hayaendani. Lakini ki msingi, katika mahusiano mengi ambayo yanadumu muda mrefu watu huangalia mambo mengi - kunahilo swala la hisia zenyewe, upendo, na vile uwezo wa kumudu hayo maisha.
Kama mke na mume, kabla ya ndoa watu wanauliza je mwenzio anajikimu kimaisha -basi kunammoja ndio ambaye mambo yake yanaeleweka - kama wapenzi tu lazima swala la pesa linakuwepo katika mawasiliano na vitu mbalimbali - napo kunammoja anayesimamia mambo hayo. Wale wasio nazo basi wanafanya kubangaiza na kusaidiana wanavyoweza.
Sisemi mapenzi ni pesa, ila maisha sikuhizi yanahitaji pesa - hata kama ni chumba cha elfu kumi kinalipiwa. hata meseji inalipiwa