Wewe labda unaongelea mapenzi ya pesa. yani kupenda pesa hata mimi napenda pesa nani asiye penda pesa.
Kama unaongelea mapenzi ya mtu na mke wake, mbona yapo wala pesa haihusiki hapo.
Wewe labda unaongelea mapenzi ya pesa. yani kupenda pesa hata mimi napenda pesa nani asiye penda pesa.
Kama unaongelea mapenzi ya mtu na mke wake, mbona yapo wala pesa haihusiki hapo.
always remember more money, more problems
Yani watu wengine mnachekesha kweli kweli....hivi kuoa mtu anaoa kama hana uwezo? unapo ongelea kuishiwa pampers huwa zinakwisha kila siku, au mara moja moja ndo anakuwa hana pesa.siku umeishiwa hakuna amani wala mapenzi ya mme na mke .uje uishiwe pesa hata ya kumnunulia pamposi utaona kama kuna mapenzi
m-pesa tigo pesa,aittel money,atm,tembo card,master card...........
Inatoka myoni na kutokana na experiance yangu....mapenzi ni mapenzi tu na pesa ni pesa tu.Mh! Point yako kama unasema toka moyoni,basi good!
Inatoka myoni na kutokana na experiance yangu....mapenzi ni mapenzi tu na pesa ni pesa tu.
Sijasikia mapenzi yakawa pesa na pesa zikawa mapenzi leo ndo nasikia.
Matatizo wengine wamerukia kuoa wale wanao penda pesa ndo sababu...walidhani wanapendwa kumbe wanapendwa kwa pesa.
unapigwa chini fasta.......kijana unazo ? Sina! Sasa unataka nini?
ndo umejua leo?? then umechelewa
ndekoje umeweka mapenzi kwenye pesa nini?
Jamani mapenzi na pesa yanategemeana bila pesa hakuna mapenzi .
u a not serious ndokeji,wangapi wanaanza mapenzi hawana hela then wanakuwa na malengo na wanafanikiwa,hela zinatafutwa ila penzi la kweli ni ngumu kupata!