Kila siku nasikia watu tena hata vijana wa dot.com baadhi wakisema pesa sio mapenzi, kama bado upo na mawazo haya au unajisemea tu kujofurahisha au uonekane na watu
Unajidanganyaaa au umepitwa na wakati.
Feel free kuongea ukweli, dunia ya leo, wote mnajua ukweli ni nani atapendwa bila pesa kimapenziii..?
Mm nasema wazi straight, pesa ndio kichocheo kikubwa cha mapenzi dunia ya leo, huu ndio ukweli, na mm naukubali, ila TAMAA YA PESA NDIO MBAYA, na maanisha mwanamke akinipenda sababu nina pesa ni sawa kabisa, ila akianza TAMAA, nataka hiki, kile, twende beach leo, kesho, kesho kutwa, ooohh tule hotelini tuache pika home, yaani huyo mwanamke awe mtu wa kutumia tuuuu hawazi maendeleo kwa pesa zangu au kushauriana kufungua kampuni, kujenga nyumba nk, hapo nitamwagaaa
ILA MAPENZI NI PESA NI UKWELI