Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Ndugu zanguni ni kweli pesa ina mvuto wa Mapenzi mpaka ikafikia kipindi mtu ukavutiwa kimapenzi na mtu flani kwa sababu ana pesa? Ni kweli pesa ni moja ya chambo katika mapenzi?
Pesa unaweza ukaitumia kuvuta wapenzi wengi na wakakubali kutokana na pesa yako?
Ni kweli pesa ina mvuto katika penzi kuliko upendo wa moyoni?

Angalia pedeshee huyu hapa chini anavyo tumia pesa yake katika mapenzi,huyu jamaa tunaweza kusema aliwazalilisha hawa mabinti kwa kuwachezea ndimi na kila aina ya uchafu kutokana na njaa zao ya pesa walikubali huku wakikata kilaji.
Wanawake kweli mnakubali kufanyiwa hivi?Angalia warembo walivyo wazuri hao.
View attachment 4328
Pedeshee Pius Rutta 'Mzee wa Pamba' akibonyeza totoz Msasani Beach club.


View attachment 4329
Hapo Pedeshee akionekana katika malavidavi.
gonga hapa kwa full story Global Publishers - Tanzania Newspapers
Sasa hayo siyo mapenzi bali ni biashara ya ngono kwa kuwa hata dukani unamuuzia kila mtu bidhaa hata yule usiyempenda kwani unachoangalia ni fedha tuu na si sura ya mtu.
 
Ya kweli hayo? Ubarikiwe kama cha mtu hutaki! Lakini iko siku utakubali hata japo doti ya kanga!

Nayasema kutoka katika kilindi cha moyo wangu,cha mtu staki ndo maana nafanya kazi kwa bidii zote ili mambo yangu yawe let me tell u short story,it was last month one man came with longo longo nyingi,nitakufanyia hiki na kile,alipoona sielekei unajua sasa hivi anasemaje,unaringa sana we mdada,unajisikia,unajidai expensive,nikamwambia hivi niache niringe sihitaji hata soda ya 500 toka kwako
 
Nayasema kutoka katika kilindi cha moyo wangu,cha mtu staki ndo maana nafanya kazi kwa bidii zote ili mambo yangu yawe let me tell u short story,it was last month one man came with longo longo nyingi,nitakufanyia hiki na kile,alipoona sielekei unajua sasa hivi anasemaje,unaringa sana we mdada,unajisikia,unajidai expensive,nikamwambia hivi niache niringe sihitaji hata soda ya 500 toka kwako

Ndo maana nikakwambia ubarikiwe! Ni mmoja kwa 50 dada. Ongeza bidii katika kazi!
 
Sasa hayo siyo mapenzi bali ni biashara ya ngono kwa kuwa hata dukani unamuuzia kila mtu bidhaa hata yule usiyempenda kwani unachoangalia ni fedha tuu na si sura ya mtu.

Lakini hao hao wanao jiuza utakuta ana mtu wake akimfuma yupo na kiburudisho kingine ananuna au anachukia anakuwa na wivu wa mapenzi.
 
Wanawake wachache sana ambao mtu akiwa na pesa watakataa kumpa penzi, hata kama wanajua ameoa. Jambo la ajabu kabisa
 
Unajua kuna theory na reality.

Kwenye theory akina dada zetu na kaka zetu watakwambia mapenzi ni upendo..has nothing to do with money. Kama umempenda umempenda. Hii ni zama za mama na bibi zetu siyo akina dada wa kizazi cha dot com!

Reality ni kwamba bila mkwanja bana...ni ngumu..kwanza hata huyo msichana mzuri utamtoa wapi? Mtakutana wapi? supermarket? wewe huendi unaenda sokoni Tandale....? Bar? yeye anaenda mitaa ya holiday inn..wewe ndo huko na akina Masanja mitaa ya Ubungo..ukijitutumua mara chache ni Hongera au Rose Garden....hata ukitaka kukutana naye...kaka ni sleepway na mitaa kama hiyo..usitake kuniambia demu unayekutana naye mitaa ya Gongo la Mboto yuko HADHI moja na yule wa Level 8 pale Kempiski. Wapi bana.....

Kifupi..kama huna kitu bwana ndo unaanza kusikia hizi hadithi "mke/mume mwema hutoka kwa bwana" lakini ukweli ni kwamba if you have money..its possible to date your dream garl or man. Kwa sababu you have something in common. Wewe jiulize..mtoto anakaa Masaki au Obay..wewe ni hustler unakaa mitaa ya Manzese Midizini..bwana weee..wapi na wapi...demu akitoka viwanja ni kule anakoendaga Yo Yo...sasa wewe kama huna uwezo wa kwenda atleast ununue hata Ice cream...utampata wapi? Na kumbuka huko dala dala hazifiki! Ohhh...

Jamani..I learned this but in a hard way..mapenzi yapo..lakini hela itadetermine unapata mpenzi wa namna gani. MAKE NO MISTAKE WASICHANA wako very strategic...kama huna pesa lakini ameona kitu fulani kama elimu yako au prospects....hapo mnaweza kuongea hata kulipa bill anaweza kulipa yeye. Sasa uende ukutane na mtu..ndo una hustle kwa muhindi na mshahara wa laki mbili na nusu....utaujua mji.

Hata hao mademu mnaowaponda hapa....kama huna kitu huwapati! Utaishia kulalamika..ohh..ni wahuni..ohh..wanapenda pesa..lakini zote ni "sour grapes" tuu. Ungekuwa na mkwanja..na wewe perhaps ungekwenda huko..ukakaa mpaka mida mida..kama hutegemei dala dala...Harafu maisha siku hizi yamebadilika..vitu kama gari si luxury tena...mtoto ndo huyo...anakwambia tutoke..sababu kibao..mkitoka anakuuliza twende wapi? Ukijitutumua ni brake point...Duh..Tafuta saizi yako...kama home uliaga kabla ya kuja mjini..rudi home utafute mke...ya mjini waachie wahusika..

Acheni bwana umasikini kwenye mapenzi ni sumu!

Ofcourse siyo wote hapa kuna wachache akina WoS, mwanajamii 1 na Pretty ambao hawaangalii hela wao ni mapenzi-lol!
 
Unajua kuna theory na reality.

Kwenye theory akina dada zetu na kaka zetu watakwambia mapenzi ni upendo..has nothing to do with money. Kama umempenda umempenda. Hii ni zama za mama na bibi zetu siyo akina dada wa kizazi cha dot com!

Reality ni kwamba bila mkwanja bana...ni ngumu..kwanza hata huyo msichana mzuri utamtoa wapi? Mtakutana wapi? supermarket? wewe huendi unaenda sokoni Tandale....? Bar? yeye anaenda mitaa ya holiday inn..wewe ndo huko na akina Masanja mitaa ya Ubungo..ukijitutumua mara chache ni Hongera au Rose Garden....hata ukitaka kukutana naye...kaka ni sleepway na mitaa kama hiyo..usitake kuniambia demu unayekutana naye mitaa ya Gongo la Mboto yuko HADHI moja na yule wa Level 8 pale Kempiski. Wapi bana.....

Kifupi..kama huna kitu bwana ndo unaanza kusikia hizi hadithi "mke/mume mwema hutoka kwa bwana" lakini ukweli ni kwamba if you have money..its possible to date your dream garl or man. Kwa sababu you have something in common. Wewe jiulize..mtoto anakaa Masaki au Obay..wewe ni hustler unakaa mitaa ya Manzese Midizini..bwana weee..wapi na wapi...demu akitoka viwanja ni kule anakoendaga Yo Yo...sasa wewe kama huna uwezo wa kwenda atleast ununue hata Ice cream...utampata wapi? Na kumbuka huko dala dala hazifiki! Ohhh...

Jamani..I learned this but in a hard way..mapenzi yapo..lakini hela itadetermine unapata mpenzi wa namna gani. MAKE NO MISTAKE WASICHANA wako very strategic...kama huna pesa lakini ameona kitu fulani kama elimu yako au prospects....hapo mnaweza kuongea hata kulipa bill anaweza kulipa yeye. Sasa uende ukutane na mtu..ndo una hustle kwa muhindi na mshahara wa laki mbili na nusu....utaujua mji.

Hata hao mademu mnaowaponda hapa....kama huna kitu huwapati! Utaishia kulalamika..ohh..ni wahuni..ohh..wanapenda pesa..lakini zote ni "sour grapes" tuu. Ungekuwa na mkwanja..na wewe perhaps ungekwenda huko..ukakaa mpaka mida mida..kama hutegemei dala dala...Harafu maisha siku hizi yamebadilika..vitu kama gari si luxury tena...mtoto ndo huyo...anakwambia tutoke..sababu kibao..mkitoka anakuuliza twende wapi? Ukijitutumua ni brake point...

Acheni bwana umasikini kwenye mapenzi ni sumu!

Ofcourse siyo wote hapa kuna wachache akina WoS, mwanajamii 1 na Pretty ambao hawaangalii hela wao ni mapenzi-lol!

Lol hadi nimecheka kwa nguvu. Bahati mbaya kwangu mimi ndie ambaye mara nyingi huishia kuchunwa. Si kwamba ninazo nyingi sana la hasha nadhani ni moyo wa kupenda vibaya ndio unaoniponza. Nway nitajirekebisha kwa sababu nimeshaona hailipi. 😡
 
Ndugu zanguni ni kweli pesa ina mvuto wa Mapenzi mpaka ikafikia kipindi mtu ukavutiwa kimapenzi na mtu flani kwa sababu ana pesa? Ni kweli pesa ni moja ya chambo katika mapenzi?
Pesa unaweza ukaitumia kuvuta wapenzi wengi na wakakubali kutokana na pesa yako?

...mpaka pale hiyo pesa 'itapokata mawasiliano' na mfuko wako, ndipo utapogundua Pesa na mapenzi ni vitu viwili tofauti!
 
Hongera Msindimba, mwanamke unatakiwa kuwa hivyo! wanawake sikuhizi wana fanya kazi sana, wala hawahitaji visenti vywa akina kaka, sio enzi zile eti mwanamke sifa yake awe mama wa nyumbani,
wanaume kwa kuchuna sikuhizi hawajambo ila kwakuwa huwa hawasemi naomaba ndio maana, oh wife nikopeshe hapo kiasi fulani kama unacho, Mama vipi unahela karibu hapo tuongeze mafuta kidogo naona gauge inashuka nk, tumwashtukia!!!! wanawake wanaohongwa sikuhizi wachache na wengi ni wale wanaofanya ngono ni businesss ndio wanaoambulia magari meupe na mekundu, magari tunanunua siku hizi na wanume wanaendesha wala hatuwanyanyasi kama wao ukinunuliwa gari na mwanamme lazima watu wajue
 
Unajua kuna theory na reality.

Kwenye theory akina dada zetu na kaka zetu watakwambia mapenzi ni upendo..has nothing to do with money. Kama umempenda umempenda. Hii ni zama za mama na bibi zetu siyo akina dada wa kizazi cha dot com!

Reality ni kwamba bila mkwanja bana...ni ngumu..kwanza hata huyo msichana mzuri utamtoa wapi? Mtakutana wapi? supermarket? wewe huendi unaenda sokoni Tandale....? Bar? yeye anaenda mitaa ya holiday inn..wewe ndo huko na akina Masanja mitaa ya Ubungo..ukijitutumua mara chache ni Hongera au Rose Garden....hata ukitaka kukutana naye...kaka ni sleepway na mitaa kama hiyo..usitake kuniambia demu unayekutana naye mitaa ya Gongo la Mboto yuko HADHI moja na yule wa Level 8 pale Kempiski. Wapi bana.....

Kifupi..kama huna kitu bwana ndo unaanza kusikia hizi hadithi "mke/mume mwema hutoka kwa bwana" lakini ukweli ni kwamba if you have money..its possible to date your dream garl or man. Kwa sababu you have something in common. Wewe jiulize..mtoto anakaa Masaki au Obay..wewe ni hustler unakaa mitaa ya Manzese Midizini..bwana weee..wapi na wapi...demu akitoka viwanja ni kule anakoendaga Yo Yo...sasa wewe kama huna uwezo wa kwenda atleast ununue hata Ice cream...utampata wapi? Na kumbuka huko dala dala hazifiki! Ohhh...

Jamani..I learned this but in a hard way..mapenzi yapo..lakini hela itadetermine unapata mpenzi wa namna gani. MAKE NO MISTAKE WASICHANA wako very strategic...kama huna pesa lakini ameona kitu fulani kama elimu yako au prospects....hapo mnaweza kuongea hata kulipa bill anaweza kulipa yeye. Sasa uende ukutane na mtu..ndo una hustle kwa muhindi na mshahara wa laki mbili na nusu....utaujua mji.

Hata hao mademu mnaowaponda hapa....kama huna kitu huwapati! Utaishia kulalamika..ohh..ni wahuni..ohh..wanapenda pesa..lakini zote ni "sour grapes" tuu. Ungekuwa na mkwanja..na wewe perhaps ungekwenda huko..ukakaa mpaka mida mida..kama hutegemei dala dala...Harafu maisha siku hizi yamebadilika..vitu kama gari si luxury tena...mtoto ndo huyo...anakwambia tutoke..sababu kibao..mkitoka anakuuliza twende wapi? Ukijitutumua ni brake point...Duh..Tafuta saizi yako...kama home uliaga kabla ya kuja mjini..rudi home utafute mke...ya mjini waachie wahusika..

Acheni bwana umasikini kwenye mapenzi ni sumu!

Ofcourse siyo wote hapa kuna wachache akina WoS, mwanajamii 1 na Pretty ambao hawaangalii hela wao ni mapenzi-lol!

Na hilo tunda tamu zuri likizaliwa huko midizini linachumwa na kupelekwa Masaki na Msasani kwa wenye vijicent wajinunulie. Demu akijua yeye mzuri hatojianika Manzese! Hata kama hana kitu utamkuta viwanja vikubwa.
Oops! Weita niongezee babana raha moja tafadhali
 
Pesa inaweza kufix a lots of thing! Na kama mjuavyo ili penzi lenu liimarike kuna vitu vingi vya kufanya ambavyo pesa itabidi itumike. Dunia ya sasa hata wanaume wanaangalia msichana aliosoma na mwenye kazi ndio atamuoa. Hivyo pesa ina mvuto mkubwa tu kwenye penzi kwa jinsia zote mbili.
 
Pesa inaweza kufix a lots of thing! Na kama mjuavyo ili penzi lenu liimarike kuna vitu vingi vya kufanya ambavyo pesa itabidi itumike. Dunia ya sasa hata wanaume wanaangalia msichana aliosoma na mwenye kazi ndio atamuoa. Hivyo pesa ina mvuto mkubwa tu kwenye penzi kwa jinsia zote mbili.


Nimeangalia comment zote nimeona hii kidogo ina POINT za maana na za kueleweka.
 
Lol hadi nimecheka kwa nguvu. Bahati mbaya kwangu mimi ndie ambaye mara nyingi huishia kuchunwa. Si kwamba ninazo nyingi sana la hasha nadhani ni moyo wa kupenda vibaya ndio unaoniponza. Nway nitajirekebisha kwa sababu nimeshaona hailipi. 😡


Natamani kama niwe asali wako wa moyo au spare.....mmhh
 
Hongera Msindimba, mwanamke unatakiwa kuwa hivyo! wanawake sikuhizi wana fanya kazi sana, wala hawahitaji visenti vywa akina kaka, sio enzi zile eti mwanamke sifa yake awe mama wa nyumbani,
wanaume kwa kuchuna sikuhizi hawajambo ila kwakuwa huwa hawasemi naomaba ndio maana, oh wife nikopeshe hapo kiasi fulani kama unacho, Mama vipi unahela karibu hapo tuongeze mafuta kidogo naona gauge inashuka nk, tumwashtukia!!!! wanawake wanaohongwa sikuhizi wachache na wengi ni wale wanaofanya ngono ni businesss ndio wanaoambulia magari meupe na mekundu, magari tunanunua siku hizi na wanume wanaendesha wala hatuwanyanyasi kama wao ukinunuliwa gari na mwanamme lazima watu wajue

Mh

Hapa sikubaliani aisee... kuna wadada wako njema kila idara hadi mshiko lakini wanaongoza kwa kupiga mikuki wanaume... na wao wanachapa in mega units!!! Tena sasa sasa pesa na favor vimekuwa kama dini, kama hutoi utasikia watu wanakusaidia hata kama mna assets na investiments kiasi gani... IMEKUWA KAMA LAANA FULANI SIJUI TOKA WAPI

Tukubaliane kwamba we need programs za social, kwa kutumia retreats, TV, and any other IEC and BCC kujaribu kusensitize watu kuhusu dhahama ya kupewa bila kutoa jasho.... wengi wa watoaji hutangaza na kudhalilisha wapokeaji hata kama wanaonekana wastaarabu wakati wa kutoa

KWENYE NDOA NDIO KABISAA, MKEO MATUMIZI YANAZIDI VIPATO NA BADO TUNALALA NA KUGUGUMIA
 
Umevutiwa na mshiko? MJ1 keshajifunza..hachunwi tena mwenzio!

...sijapenda pesa zake nimependa atakuwa hanichuni yaani matumizi kwa kifupi yatapungua kwangu mimi na yeye tutakuwa tunashare cost..tofauti na hawa wengine tunao wapata mtu anakutegemea mpaka umnunulie kuanzia sabuni,mafuta mpaka nguo n.k yaani kama unamlea mtoto vile wakati unakuta mtu ana kazi yake.
 
Back
Top Bottom