haszu
JF-Expert Member
- Oct 10, 2017
- 1,559
- 3,812
earn enough before you believe that non senseMoney cant buy happiness
earn enough before you believe that non senseMoney cant buy happiness
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]earn enough before you believe that non sense
Pogba umtoe hapo maana ni quality. Fred ni quantity. Halaf huwez sema kante ni bora kuliko pogba wakat wanacheza nafas tofauti kila mmoja.[emoji23][emoji23][emoji23]quality kama Kante Ngolo eeh ..sio quantity kama akina Pogba, Fred,..
Money cant buy happiness
Acha uboya man,pesa ni kilainishi tu
Ndio maana kuna wenye nazo na bado mapenzi kwao ni kizungumkuti
Hata Mimi aisee nimejijengea mentality ya kuwaza pesa most of the times.Tafuta pesa then jenga furaha mpya inakayo itaji pesa na mapenzi iwe ziada...amini utakuwa na mapenzi ya furaha
Mtu mwenye pesa ambaye anaumizwa na mapenzi namuona mshamba tu.Acha uboya man,pesa ni kilainishi tu
Ndio maana kuna wenye nazo na bado mapenzi kwao ni kizungumkuti
Ukiongelea hao wasanii mfano wako hauwezi kuwa sahihi.Unaweza mpata unaemtaka lakini akakusumbua ile ile mpaka usione thamani ya pesa zako.
Muangalie Ally na Tunda. Ally hawa slay queens wa bongo akitaka kumla yeyote anakula tu lakini moyo wake upo kwa Tunda ila kijana Whozu hata hela ya maana hana kampindua Ally.
Hata kama una hela tafuta atakaekula hela zako kwa sababu unajua anakupenda ila ukiforce penzi ndugu yangu utateseka tu na pesa zako
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sio dunia hii ya Sasa mkuu labda unaongelea ya mwaka 1964.kwenye mapenzi ni bora ukawa na vyote viwili pesa na mapenzi ya kweli kosa pesa mapenzi yatakufariji kosa mapenzi pesa itakufariji kosa vyote uone.
Ukiwa na pesa una uwezo wa kufanyiwa chochote utakacho.Utakuja mtu amekondeana Kama mfupa wa samaki, ila pesa ikiingia anakuwa kibonge sababu ya raha ya pesa!! Pesa ni kila kitu, maisha ni pesa. Ndio maana watu wamekufuru ketika kutafuta pesa. Raha zote hapa duniani unazipata ukiwa na pesa. Pesa pesa pesa pesa pesa pesa shikamoo.
Na kuipata true love kwa Sasa katika wanawake 100 labda mmoja tu ndio ana true love waliobaki ni pesa mbele.Pesa na mapenzi vinaenda pamoja..ila pesa na true love ndo haviendi sawa
Ni ushamba wa kiwango cha SGR..Mtu mwenye pesa ambaye anaumizwa na mapenzi namuona mshamba tu.
Wakati ukiwa na pesa unauwezo hata wa kwenda kuchukua mke Rwanda au Somalia na ukamuweka ndani akatulia.
Sababu wanaume ni maboya..Pesa sio kila kitu katika hii dunia. We hujiulizi kwanini kuna baadhi ya wanawake wameolewa na wanaume wenye pesa lakini bado nje wanatafunwa na watu wa ajabu ajabu wasio na mbele wala nyuma?