Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Nipo najiuliza mara kumi kumi, hivi ni kipi muhimu zaidi kuliko kingine katika maisha ya sasa?

Ukiambiwa uchague kimoja kati ya hivo viwili unachagua kipi na for what reason?
 
Let love reign.
Kuna watu wanamiliki mabilioni ya pesa lakini kwasababu wamekosa mapenzi maisha yao hayana amani na wengine huishia kujitoa uhai au kuua watu wa karibu yao.
Najua masadukayo wengi hapa watachagua pesa.
 
Embu mkuu nani huyo popoma kiasi hiko? Hivi unaijua dhiki vyema kweli mkuu?
Let love reign.
Kuna watu wanamiliki mabilioni ya pesa lakini kwasababu wamekosa mapenzi maisha yao hayana amani na wengine huishia kujitoa uhai au kuua watu wa karibu yao.
Najua masadukayo wengi hapa watachagua pesa.
 
Ukiwa huna hela upo kwenye uwezekano mkubwa wa kukosa hicho cha kwanza.
Lakini ukiwa na pesa upo kwenye uwezekano mkubwa wa kupata vyote.
Nakuelewa sana mimi mwenyewe saa hizi na mpenzi wangu tumechuniana tu bila hata sababu ya msingi ila kila nikipiga hesabu tatizo "njaa".

Penye njaa hapanaga amani kuna mambo yanamvuruga vuruga halafu kamanda sina msaada wowote basi nami naonekana tatizo!
 
So ohe hahe ndio wanapendwa mkuu?

Tutafute hela tusitake kujifariji uongo hapa[emoji3][emoji38]. Kwenye njaa hakukaliki.
Ukiwa na pesa wengi watakutamani lakini sio kukupenda.

Ndio maana unakuta mke wa bilionea anadate na dereva bodaboda.
 
Kiongozi mleta uzi anaonekana bado mtoto, ajawahi kuexperience tatizo la njaa

Kuanzia leo, kaa ukifahamu sio Mapenzi tu, kuanzia Amani, furaha, kucheka, usingizi hadi Kunya vzuri Bila PESA ni shidaaa.

Achana na movie sijui series mnaita, tafuta pesa kijana.
 
vyote nibora kwa nafasi yake japo kuna kimoja kinamtegemea zaid mwenzie
 
Nakuelewa sana mimi mwenyewe saa hizi na mpenzi wangu tumechuniana tu bila hata sababu ya msingi ila kila nikipiga hesabu tatizo "njaa".

Penye njaa hapanaga amani kuna mambo yanamvuruga vuruga halafu kamanda sina msaada wowote basi nami naonekana tatizo!
Yoooooooo
 
Usilinganiahe pesa na vitu vya kijinga. Kinachoizidi pesa thamani ni uhai na afya tu. Vingine vyote vinauzwa
 
pesa kwanza kwa sababu utapata mtu mnayependana hata iweje .mbn bill Gates mwnyw yeye na mkewe wamedatana kinyamaa....

love doesn't ask why maana ake pesa pia yaweza kumvuta yulee atakayekupenda kwa dhati
 
Vijana mnachekesha sana eti, mapenzi sio pesa nani kakuambia? Dunia imechange sana hakuna mwanamke atayekupenda kama hauna pesa. Tuanzia hapa pango, chakula, nauli, ada, nguo mahitaji yote muhimu bila pesa uwezi kupata.

Sasa mwanamke gani atakayekubali ujinga ujinga, mwanaume lazima uwajibike pesa kwanza mapenzi baadae.

Dunia ya leo ili mapenzi yaende kuna mambo lazima yawepo ili upendo upatikane.

Kama unabisha jaribu halafu utapata majibu yake. Na kama uko na mwanamke anajifanya kukupenda wakati ni Mario jua ni mnafiki huyo.

Pesa ndio kiungo cha mapenzi, najua wapo watakao pinga ila no money no love.

Ni unafiki tu.
 
Back
Top Bottom