Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Upendo na pesa kama vipo na ukajua kuvipangilia vizuri itapendeza zaidi. Ni vitu vinavyotakiwa kwenda pamoja katika maisha ya wapendanao.

Pia ni vyepesi hata utakapoishiwa pesa, mwenzako anaweza kukuelewa.View attachment 1179940
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 anaeweza kukuelewa ni mama yako aliekuzaa tu. Starehe ya kulala Ramada kipindi cha likizo ibadilike na kuwa kulala Gwami Lodge manzese mahakama ya Ndizi???

Kutoka kutembelea Land Cruiser VX V8 na Range Rover Sport hadi kukodi Bajaji na kushika bomba kwenye mwendokasi?

Watoto kutoka Marian Girls na Feza Boys kwenda Shule ya Sekondari Jangwani.

Hujawajua wanawake bro, omba kila siku usishuke katika kiwango ulichopo sasa. Omba sana mungu aendelee kukupandisha chati ilio juu zaidi ila usiporomoke sakafuni hata kidogo. Wanaoweza kulielezea hili vyema ni wale jamaa waliowahi kupoteza kazi zao ghafla.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mission acomplished[emoji122][emoji122]
 
pesa pesa yani kila komenti pesa.

pia mapenzi bila kondom hayawezekani mana wenye afya ndio wenye umeme megawati milioni.
 
pesa pesa yani kila komenti pesa.

pia mapenzi bila kondom hayawezekani mana wenye afya ndio wenye umeme megawati milioni.
Sijawai waza pesa ndo iniweke kwa mwanaume mana kila mtu analia pesa uyu chapaa uyu money..mm nampenda mwanaume kwa moyo wote afu namuacha ajiongeze akishindwa plan B nnayo..mimi sio malaika.
 
Mkuu kwa sasa huwezi kuniaminisha tena kama UPENDO unaweza kuimarisha penzi. Yaani nimeshaamua kujikita katika kutafuta pesa tu yani PESA ndo kila kitu mkuu. Nimeamini
Nakubaliana na wewe asilimia 200% bila pesa upendo wako unageuka kero. Upendo unapoambatana na pesa basi unaonekana ni wa kweli.
 
Sijawai waza pesa ndo iniweke kwa mwanaume mana kila mtu analia pesa uyu chapaa uyu money..mm nampenda mwanaume kwa moyo wote afu namuacha ajiongeze akishindwa plan B nnayo..mimi sio malaika.
Alafu mbona fursa zipo wazi kwani kuna mwanamke kakatazwa kutafuta pesa?? nyi endeleeni kuhonga..ifike mda mue ata mnaongopa miezi mitano mfululizo mwambie mambo hayako sawa mnyime ela mwambie umetuma kwa mama ako..mwambie unasomesha wadogo zako..mwambie account yako zimefanana majina na mtu mwingine so imefungwa kwa mda na mliefanana yuko mkoani..Kifupi mnyime ela kwa mda akikupotezea sio mke uyo mana siku utamtambulisha kwa boss wako yaan lazma atagongwaa tuu na Boss au marafiki zako
wenye maisha ya juu kuliko ww si unajua wanaangaliaga nani ana ela zaidi.....haya kaz kwenu 😂😂
 
kinachonogesha mapenzi ni kibamia tyuuuu na mbunye tyuuuu
 
Wanaosema pesa wanamaanisha madem wa dzain hii..
Screenshot_20190813-110707.jpeg
 
Mamii naomba nkuDM
Alafu mbona fursa zipo wazi kwani kuna mwanamke kakatazwa kutafuta pesa?? nyi endeleeni kuhonga..ifike mda mue ata mnaongopa miezi mitano mfululizo mwambie mambo hayako sawa mnyime ela mwambie umetuma kwa mama ako..mwambie unasomesha wadogo zako..mwambie account yako zimefanana majina na mtu mwingine so imefungwa kwa mda na mliefanana yuko mkoani..Kifupi mnyime ela kwa mda akikupotezea sio mke uyo mana siku utamtambulisha kwa boss wako yaan lazma atagongwaa tuu na Boss au marafiki zako
wenye maisha ya juu kuliko ww si unajua wanaangaliaga nani ana ela zaidi.....haya kaz kwenu [emoji23][emoji23]
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 anaeweza kukuelewa ni mama yako aliekuzaa tu. Starehe ya kulala Ramada kipindi cha likizo ibadilike na kuwa kulala Gwami Lodge manzese mahakama ya Ndizi???

Kutoka kutembelea Land Cruiser VX V8 na Range Rover Sport hadi kukodi Bajaji na kushika bomba kwenye mwendokasi?

Watoto kutoka Marian Girls na Feza Boys kwenda Shule ya Sekondari Jangwani.

Hujawajua wanawake bro, omba kila siku usishuke katika kiwango ulichopo sasa. Omba sana mungu aendelee kukupandisha chati ilio juu zaidi ila usiporomoke sakafuni hata kidogo. Wanaoweza kulielezea hili vyema ni wale jamaa waliowahi kupoteza kazi zao ghafla.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hao wanawake wasiojua shida mnakutanaga nao wapi?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] anaeweza kukuelewa ni mama yako aliekuzaa tu. Starehe ya kulala Ramada kipindi cha likizo ibadilike na kuwa kulala Gwami Lodge manzese mahakama ya Ndizi???

Kutoka kutembelea Land Cruiser VX V8 na Range Rover Sport hadi kukodi Bajaji na kushika bomba kwenye mwendokasi?

Watoto kutoka Marian Girls na Feza Boys kwenda Shule ya Sekondari Jangwani.

Hujawajua wanawake bro, omba kila siku usishuke katika kiwango ulichopo sasa. Omba sana mungu aendelee kukupandisha chati ilio juu zaidi ila usiporomoke sakafuni hata kidogo. Wanaoweza kulielezea hili vyema ni wale jamaa waliowahi kupoteza kazi zao ghafla.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aniulize yalionikuta...
 
Alafu mbona fursa zipo wazi kwani kuna mwanamke kakatazwa kutafuta pesa?? nyi endeleeni kuhonga..ifike mda mue ata mnaongopa miezi mitano mfululizo mwambie mambo hayako sawa mnyime ela mwambie umetuma kwa mama ako..mwambie unasomesha wadogo zako..mwambie account yako zimefanana majina na mtu mwingine so imefungwa kwa mda na mliefanana yuko mkoani..Kifupi mnyime ela kwa mda akikupotezea sio mke uyo mana siku utamtambulisha kwa boss wako yaan lazma atagongwaa tuu na Boss au marafiki zako
wenye maisha ya juu kuliko ww si unajua wanaangaliaga nani ana ela zaidi.....haya kaz kwenu [emoji23][emoji23]
Nimeupenda huu ubongo. Excellent √
 
Pesa,chapaa ,mkwanja,mshiko..Omba Mungu upate hata ya kubadili mboga ,watoto wale ,huyo demu/sijui mke apate uhakika wa kwenda chooni,nina mfano wa jamaa yangu alimpenda mume wake kwa dhati na alikubali kuishi nae kwa maisha magumu
ila kumbuka haya maisha magumu ila ni standard life kibongo bongo,jamaa kashuka na upepo wa Magu,jamaa yake yupo kitaa,mwanamke anataka kula plus family..kipato cha wife wake cha kuunga ..aisee wife wake anapigwa na jamaa mwingine ili maisha yaende
 
Back
Top Bottom