Jimmy De Lite
JF-Expert Member
- Jun 10, 2019
- 635
- 2,341
pesa siyo kitu kwenye mapenzi, Ila pesa hukupa urahisi wa kumpata mwanamke yeyote kufanya nae Ngono.
Ni kweliDunia imekaribia mwishoni!
Pesa ndio kila kitu kwani ingekuwa wewe unatifuliwatifuliwa na hupewi hata kifuta jasho utajisikiaje??Aseee waseeee! Hivi Hawa Dada zetu wa miaka hii kwanini hawana mapenzi ya Kweli wanapenda sana pesa??!
Yani kwa miaka hii ukiwa na pesa ndefuu hakuna mwanamke utakaemkosa unamla utakaemtakaa, aseee mbona bibi zetu hawakua hivi? Wanakwama wapi???
Ukitongoza tu mwanamke utaskia oooh! "my Nina shida naomba ela mambo yangu yakikaa poa takulidishiaa"
Aseee kizinga kinakuja kwa style ya kukopa na kama huwezi kumkopesha ujue Ndio imekula kwa mkorea hiyoooo K hupati na unawekwa blacklist aseee!
Eebanae! Hawa watu wanakwama wapi aseee?
mbona wewe hata pesa umekataa?Pesa ndio kila kitu kwani ingekuwa wewe unatifuliwatifuliwa na hupewi hata kifuta jasho utajisikiaje??
hao wanaume wa hivyo ni hao wanaokukaza, wwngine hatupo hivyo1. Hampendeki
2.hamuaniki
3.hamna shukurani
4.hamuwezi mapigo yetu
5.kutuzalisha kazi hadi tuende kijijini mjini asilimia kubwa zeroooo.
6.mnashida sana mnapiga wadada
7.mko kama vichaa hamjiamini
So tunachukua hela mnaenda hamna pesa tunakaa kimya tunawapotezea presha yanini
ni kweliKama ni business tupatane atoe k ichapwe nimpe chake asepe.
Nyie hampo hivyo mpoje??hao wanaume wa hivyo ni hao wanaokukaza, wwngine hatupo hivyo
hilo ndilo la maanaTafuta hela wape kula mzigo sepa.
nakuja PMNyie hampo hivyo mpoje??
Sawanakuja PM