Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Sio kila kitu kama ushanunua kila utakacho na still zimejaa kwa bank. Ila kwa sie tunaozichanga ni balaa, personally tafsiri yangu juu ya hela ni opposite na mtazamo wako.

ulichokiongea kwa akili ndongo ato kuelewa) ila umeongea bonge la point mnoooooo.
 
Unaweza mpata unaemtaka lakini akakusumbua ile ile mpaka usione thamani ya pesa zako.
Muangalie Ally na Tunda. Ally hawa slay queens wa bongo akitaka kumla yeyote anakula tu lakini moyo wake upo kwa Tunda ila kijana Whozu hata hela ya maana hana kampindua Ally.
Hata kama una hela tafuta atakaekula hela zako kwa sababu unajua anakupenda ila ukiforce penzi ndugu yangu utateseka tu na pesa zako
Sasa katika Couple ambayo haitachukua hata miezi mitatu ni ile ya whozu na tunda. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yani pale hamna kitu
 
kwenye mapenzi ni bora ukawa na vyote viwili pesa na mapenzi ya kweli kosa pesa mapenzi yatakufariji kosa mapenzi pesa itakufariji kosa vyote uone.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] siku hizi kupata mapenzi na hela huna shukuru sana Mungu
 
Katika zama hizi ambapo wadada wanapenda hela kuliko kitu chochote chini ya jua hakika Mwanamke asikusumbue kama una PESA....Yani hata kama una kibamia Nasema ASIKUSUMBUEEE...!!
Akikusumbua mpaka unaomba ushauri wewe ni Bwegee.
Mwisho.
Sio bwege tu mkuu, falaaa kabisa 😂😂😂
 
Kitu gani kinachoyafanya mapenzi yawe bora zaidi tukiachana Na pesa

Binafsi naamini upendo ndo ananogesha kila kitu

Karibu wadau!!!
Ni kipi kipaumbele kipaumbele chako.
*Mwanamke Na pesa samaki Na maji
 
Upendo na pesa kama vipo na ukajua kuvipangilia vizuri itapendeza zaidi. Ni vitu vinavyotakiwa kwenda pamoja katika maisha ya wapendanao.

Pia ni vyepesi hata utakapoishiwa pesa, mwenzako anaweza kukuelewa.
IMG-20190810-WA0044.jpeg
 
Back
Top Bottom